JF: The only place you can meet real beautiful women

KUNA UKWELI FULANI HAPA
 
Humu kuna vibungo hatari vinavyojua kutumia smartphone! Na wengine ni wanawake waliozeeka wale wa kwny 35-60 na kuendelea!! Ni vikongwe hatari!
 
..wengine wanaogopa kujulikana sababu ya ID fake
 
Huku wanawake wengi ni smart kuwa fb au insta haimaanishi wewe ni muhuni ila jinsi utakavyoitumia account yako kuonesha upuuz wako ndio kunaonesha akili yako ni kiasi gani kuna watu kwenye sociasocial net zingine pia wenye akili timamu anaongea vitu vya hekima sio kujianika kama kikahaba ila %kubwa wanawake wa jf ni smart zaidi au Twitter mitandao hii haijakaa kijinga
 
Asnte saaaana mshana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…