JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Lazima una target zako, huenda umeshazifikia au bado...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]
 
Hapana kaka sina agenda yoyote ya siri wala hata ile ya 2020....

Jr[emoji769]
 
Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue

Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Kwani wewe ni single mother, maana humu hasira za watu ndio zinaishia huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kitu mshana Jr anachokitafuta sijakivumbua mpaka sahiv nimerudia mara tatu kusoma lkn nimetoka kappa [emoji848] sijaelewa kitu

Mbona unataka kudanganywa umma brother Mshana huo utafiti wako umelenga vigezo vp mpaka ukaqualify na kutoa script Kama hii mbele ya umma kukiwa na CEO na watu wenye IQ kubwa dunian



Unataka kuaminisha umma kwamba wanawake wa JF Ni Bora in and out according to their Life style mm napinga tunaweza hata kupigana hapa.Mara ngap nasoma Nyuzi za girls hovyo kwenye Ndoa zao leo hii unakujakuwasafisha .hard Sana kuamini .Ww umekutana nao just for different issues ndo ikakupelekea kuja kuwaanzishia Uzi wa kuwapromote

Mm mwanamke akijiunga JF sioi nasema hafai huyo hata nikikuta ana App ya jamii forum napiga chini fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana Morg najua ninachokiongea... Shida ni moja inayowasumbua wengi hapa JF... Wanadhani humu kuna malaika na mabikira halafu ni wazuri kwa vigezo vya uzuri wa kibongo..
Kitu kimoja nataka nikuhakikishie wapo wenye vigezo vya uzuri kwa maana yoyote ile na juu ya hilo WANAJITAMBUA.. vimeo pia wapo hawakosekani hata huko kwingine kote
Washamba pia wapo kama huko kwingine kote
Wadangaji, matapeli, wenye uswahili nknk.. Lakini bado wa JF ni much much far better kuliko huko kwingine
Hiki kitu mshana Jr anachokitafuta sijakivumbua mpaka sahiv nimerudia mara tatu kusoma lkn nimetoka kappa [emoji848] sijaelewa kitu

Mbona unataka kudanganywa umma brother Mshana huo utafiti wako umelenga vigezo vp mpaka ukaqualify na kutoa script Kama hii mbele ya umma kukiwa na CEO na watu wenye IQ kubwa dunian



Unataka kuaminisha umma kwamba wanawake wa JF Ni Bora in and out according to their Life style mm napinga tunaweza hata kupigana hapa.Mara ngap nasoma Nyuzi za girls hovyo kwenye Ndoa zao leo hii unakujakuwasafisha .hard Sana kuamini .Ww umekutana nao just for different issues ndo ikakupelekea kuja kuwaanzishia Uzi wa kuwapromote

Mm mwanamke akijiunga JF sioi nasema hafai huyo hata nikikuta ana App ya jamii forum napiga chini fasta

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Sijawah Kutana na mwanajf hata mmoja japo wengi namba zao ninazo I wote ni me mfano bro or Prof Mshana Jr ..ngoja niwinde wa kike watano nimit nao nijue uzuri anayosema bro mahaba..UZURI WA ROHO
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
Sijawah Kutana na mwanajf hata mmoja japo wengi namba zao ninazo I wote ni me mfano bro or Prof Mshana Jr ..ngoja niwinde wa kike watano nimit nao nijue uzuri anayosema bro mahaba..UZURI WA ROHO

Jr[emoji769]
 
Huo uliousema Mkuu ndio ukweli halisi wa wanawake walio wengi wanaopatikana jf na kama wapo nje ya ulichokiandika basi ni wachache.

Ila niwe mkweli kwa sifa hizi hii siku ya leo itakuwa nzuri humu jf japokuwa kuna wapingaji wanaojifanya kuwafahamu wanawake wa jf kwa hisia watakuja kubisha
Mi ni nani nipinge hili mtani.
 
Back
Top Bottom