JF: The only place you can meet real beautiful women

Hahaha
Napenda ila wataniiba ujue!!! We nisifie tukiwa wawili tuu, halafu ujue nimemisi mbebisho eeeh
Hahahaa! Mbebisho baadaye bhana..! Mambo yalikuwa mengi tuu..!

Mtu akukuiba ajue ataenda kukuaa nafasi iliyoachwa wazi na babu seya pale ukonga.
 
Hahahaa! Mbebisho baadaye bhana..! Mambo yalikuwa mengi tuu..!

Mtu akukuiba ajue ataenda kukuaa nafasi iliyoachwa wazi na babu seya pale ukonga.
Hahaha
Sawa bwana!!! Sio kwa vitisho hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…