Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
UmeonaeeeKwakweli tunajijua wenyewe tu na uzuri wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmeonaeeeKwakweli tunajijua wenyewe tu na uzuri wetu
Sizani kama katania kumtaja hali ya kua hayupo kwa huu uzi.Hivi kaka Angel Nylon ni mkeo ukweli ukweli samahani lakini
[emoji2] [emoji2] [emoji2] CC : JLWmshana kuna makopo pia humu...
kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...
huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)
lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
Ndio mana nimeuliza sababu mara nyingi huwa anamtajaSizani kama katania kumtaja hali ya kua hayupo kwa huu uzi.
Watu na wake zao humu
Kweli kabisaSonga mbele... Hutapendwa na wote hutachukiwa na wote... Muhimu asilimia
Yatosha kumuamini sasaNdio mana nimeuliza sababu mara nyingi huwa anamtaja
Nimekuelewa kwa sauti nzitoKuna ajali huwa haziepukiki
Mara ngapi sasa[emoji13] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Wow!mshana kuna makopo pia humu...
kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...
huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)
lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
[emoji126] [emoji126] [emoji126] nakuja uskuPoa fanya uniroge