JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

mshana kuna makopo pia humu...

kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...

huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)

lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] CC : JLW
 
Sky Eclat namkubali ni kichwa . mada zake zimetulia sana..(ni great thinker in the real sense. Mbitiyaza ana comment za ufahamu mkubwa .miss natafuta anasumbuliwa na kutafuta bado ila ana brain nzuri. Kapeace namkubali kwa ufahamu wa jinsia yake na kuitendea haki. Ila wanaume mkubali tu wanaochangia mada humu wengi ni mind za above average. Mabinti wengi akijaribu ni kuwa hawawezi tu. Sasa MTU anakosea hats spelling za kiswahili hapo kunua kitu kweli (sidhani=sizani ) gharama-=galama) ndiyo Wa mitaani wanavoandika (Jamii Forum) mabinti wa humu ni vichwa tusibishe.
 
Yaani ile unajua uligesi ulikoseagaaaaa pwaaaaaaaaaaa

Siku ukijua najua utawahi PM kuniambia mimi ni nani.. ila unajua kamwe huwezi.. nimekupa bonge la challenge najua hivyo eeeeeh
Poa tu japo nina hakika sijakosea
 
mshana kuna makopo pia humu...

kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...

huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)

lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
Wow!
 
Back
Top Bottom