Wewe ndo ungenipa jicho...maana hisabati zangu wewe utasubiri sana.Hussna ili kuwa bado kidogo nikugonge kitanda kimoja na mdogo wako nasra cjui mngenipa jicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo ungenipa jicho...maana hisabati zangu wewe utasubiri sana.Hussna ili kuwa bado kidogo nikugonge kitanda kimoja na mdogo wako nasra cjui mngenipa jicho?
Duuh umenikumbusha ID yangu ya 2009...ngoja niicheki🙂 (ila acha ufala kutwa unatrack namba za simu...mwambie Mwira akuhamishe)Au sio endelea basi kusutana na wadada wenza Eric otieno
ahahaaa dogo una vitukoUmenishindwa mm utampenda mshana jr ?? pumba kabisa
Nani anataka sifa mbaya kwani!! Raha jipe mwenyewe.Ahhahahaha we kibokoo
HahahahaahahaMwenye picha yangu jamani aje tu tu negotiate maana kuwekana uchi sio vyema[emoji120] [emoji119]
Haahhaahah aiseee subirinii tunakujaa na uzi mnenen ulioshiba,,mpaka mtuheshimu safari hiii na mipicha yenu ya mipumbu juuuIshatumwa nimeiona... kuwa mpole tu.
Nani atauleta?Haahhaahah aiseee subirinii tunakujaa na uzi mnenen ulioshiba,,mpaka mtuheshimu safari hiii na mipicha yenu ya mipumbu juuu
Aisee mna mambo makubwaa kweliii nyie si mnatudhalilisha tulieni tuTafadhali sana mama saby
Hata mim tu au yeyote,,wanawake tunabeba siri sisiNani atauleta?
Kama wewe hauna madhara kwangu.Hata mim tu au yeyote,,wanawake tunabeba siri sisi
MimiHapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Unajitetea eeeKama wewe hauna madhara kwangu.
Nitafanyaje sasa ila hakuna muungano/makubaliano ya wanawake yaliyowahi kufanikiwa.Unajitetea eee
Naona unaanza kujipa moyo, nimecheka.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nitafanyaje sasa ila hakuna muungano/makubaliano ya wanawake yaliyowahi kufanikiwa.
teh,Naona unaanza kujipa moyo, nimecheka.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukweli ni kuwa wanawake sie ni kama malaika, tuna utu mnooo. Basi tu mnajitoa ufahamu.
Sali sana kesho bomu linalipukaateh,
ntaachaje kujipa moyo
Wiki nzima hamunioni humu[emoji125] [emoji125]Sali sana kesho bomu linalipukaa
Tunataka ubakii tunamuomba mods ubaki hatoki mtuuuWiki nzima hamunioni humu[emoji125] [emoji125]