JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Amini nakuambia mkuu Mshana Jr, 90% waliomo jf ndio hao hao wapo fb, badoo, inst, twit na kwingineko, tena wanatamani sana mambo ya huko wayalete huku sema kwa kua tuna Id fake wanaogopa kujulikana,
Kuna wa3 humu nawajua wa2 rafiki wa kitaa, na mwingine ashawahi kua demu wangu (nilijuana nae fb tunampigia kampeni Lowasa, na nilijua yupo humu baada ya kua na mahusiano nae) na kati yao mmoja maarufu sana humu, ila ukiona Mbwembwe zao fb na ista hutaamini kama nia wao.
Mmmh, kwakuwa kawa demu wako ndo mana unamponda, mmmh wanaume nyie
 
Umeandika vizur kaka, tokea nijiunge jf kiukweli sijaona maluweluwe km yaliyopo kweny mitandao ile[emoji117][emoji117][emoji117], by the way tunawapenda sana Dada zetu mliopo humu maana mnatufanya tutembee kifua mbele wanaumme tuliopo humu ! Happy new all of u!
 
Umeandika vizur kaka, tokea nijiunge jf kiukweli sijaona maluweluwe km yaliyopo kweny mitandao ile[emoji117][emoji117][emoji117], by the way tunawapenda sana Dada zetu mliopo humu maana mnatufanya tutembee kifua mbele wanaumme tuliopo humu ! Happy new all of u!
Ila ukumbuke kuwa jins unavo endaga kuyaona maluweluwe kule kwenye mitandao na wao huwa wapo hukohuko, huenda ni miongon mwa wale ambao huwa unawaona wapo humu.
 
Amini nakuambia mkuu Mshana Jr, 90% waliomo jf ndio hao hao wapo fb, badoo, inst, twit na kwingineko, tena wanatamani sana mambo ya huko wayalete huku sema kwa kua tuna Id fake wanaogopa kujulikana,
Kuna wa3 humu nawajua wa2 rafiki wa kitaa, na mwingine ashawahi kua demu wangu (nilijuana nae fb tunampigia kampeni Lowasa, na nilijua yupo humu baada ya kua na mahusiano nae) na kati yao mmoja maarufu sana humu, ila ukiona Mbwembwe zao fb na ista hutaamini kama nia wao.
Samboko naona wanaume wenzangu wengi hawajanielewa.... Na wengine wakaenda mbali hata kunitusi.. Hakuna niliposema hawa wanawake ni walokole.. Hakuna! Nilichosema ni kwamba wanajitambua... Kujitambua ni kujua wewe ni nani uko wapi unafanya nini na kwanini
 
Nadhani kuongea matusi hasa viungo vya siri inapunguza hadhi na ubinadamu Wa mhusika ndio maana wale greatest thinkers like Sky Ecla t hajacomment tusi tangu aanze ,likewise Mbitiyaza . Lakini mama Sabrina una jazba bibie,. Lakini labda nahisi ni kunogesha soga humu jf. Hivi humu ukitumia tafsida in unkuwa mshamba? Anyway I think you mean with a light touch..?
 
Nadhani kuongea matusi has a viungo vya siri inapunguza hadhi na ubinadamu Wa mhusika ndio maana wale greatest thinkers like Sky Ecla t hajacomment tusi yangu aanze ,likewise Mbitiyaza . Lakini mama Sabrina una jazba bibie,. Lakini labda nisi kunogesha soga humu jf. Hivi humu ukitumia tafsida in aduwa mshamba? Anyway I think you mean with a light touch..?
 
Back
Top Bottom