JF Udaku.. Special Edition!! 2014.

Kaizer anahusika kwenye ujauzito wa Lady doctor

Najua unajipendekeza uran, naona skendo yako ya ku pm wake za watu haijaisha unatafuta ingine.

Waume za watu wanajiletaga wenyewe. Arushaone siachani nae hata kwa lipi.... na hao wengine pia. Wote wangu.

Mtunze mumeo azawais I have room for him.
 
Last edited by a moderator:
Jamani huu umbea nimeanza lini tena? lakini huyo miss nedy kwa hajui kama mumewe yuko kwenye hiyo team nadhani anajua ila ukipenda ua penda na boga lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…