JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Arudishe tu kwani ni deni useme pesa yangu itaniuma!! Mawakala wapo wengi tu mbona.
Si hadi umpate wakala atakayekubali sasa. Akituma halafu akapiga Voda irudishwe majanga si yatakuwa yako
 
Fo now voda ukituma hela umetuma , hakuna habar ya irudishwe.
Duu na nyie mmedikiria had huko!!![emoji3166][emoji3166][emoji47] au ndo usha kutana na janga hilo?
Si hadi umpate wakala atakayekubali sasa. Akituma halafu akapiga Voda irudishwe majanga si yatakuwa yako
 
Tutajie tu mpenzi... usimsahau nanihjj
Yaani acha dizaini wanakera kama nini?

espy manengelo niudhini basi niwatajie wote wenye tabia za kimama.

Kwanza mi mtu akinisumbua pm huwa najua na wenzangu pia wanasumbuliwa, yaani iko kama mifisi.
 
Back
Top Bottom