ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Uko siriasi na nini jogoo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]nko siriasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko siriasi na nini jogoo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]nko siriasi
Na hili pia unanogesha genge?😀😂😂😂sasa unanitongoza mm alafu hapo hapo tena unaniuliza km mzigua ana tackle?
Si hadi umpate wakala atakayekubali sasa. Akituma halafu akapiga Voda irudishwe majanga si yatakuwa yakoUnampa ya wakala.
Yaani acha dizaini wanakera kama nini?Afu kweli. Mscheeeww. Mtu sina hela limtu linakutumisha mimeseji hata vocha hatoi na humzimikii wala nini.
hyo true bestNa hili pia unanogesha genge?😀😂
PM basi huko kuna mambo😀😁hyo true best
Hii pwenti kama yoooteeSi hadi umpate wakala atakayekubali sasa. Akituma halafu akapiga Voda irudishwe majanga si yatakuwa yako
🔥🔥🔥PM basi huko kuna mambo😀😁
Si hadi umpate wakala atakayekubali sasa. Akituma halafu akapiga Voda irudishwe majanga si yatakuwa yako
Ila hawezi kufanya hivyo maana muda huo atakuwa anafukuzia papuchi si ndio?Arudishe tu kwani ni deni useme pesa yangu itaniuma!! Mawakala wapo wengi tu mbona.
Ila hawezi kufanya hivyo maana muda huo atakuwa anafukuzia papuchi si ndio?
Si hadi umpate wakala atakayekubali sasa. Akituma halafu akapiga Voda irudishwe majanga si yatakuwa yako
Usiniambie[emoji32][emoji32] nimeshawahi kufanya kazi mtandao wa simu kwa hiyo kesi za aina hiyo nimekutana nazo nyingi sanaFo now voda ukituma hela umetuma , hakuna habar ya irudishwe.
Duu na nyie mmedikiria had huko!!![emoji3166][emoji3166][emoji47] au ndo usha kutana na janga hilo?
😀😁😂
Kuntu!Ila hawezi kufanya hivyo maana muda huo atakuwa anafukuzia papuchi si ndio?