Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuuMemkwa au?
Memkwa wako vizuri sana na utakuwa fit kujenga hoja na wanajf wengi ambao walisoma kwa njia ya posta (critical thinkers) [emoji23]Ndio mkuu
😂😂 na uzuri awachapMemkwa wako vizuri sana na utakuwa fit kujenga hoja na wanajf wengi ambao walisoma kwa njia ya posta (critical thinkers) [emoji23]
Vipo vingi unakaribishwaHivi hizo elimu mnazoendaga kuongeza, uwa mnajifunza kitu gani kipya?🤔
Kama professor MrumaUnataka uwe msomi mpumbavu?
Hapana. Mi nilipoishia pananitosha🙂Vipo vingi unakaribishwa
Unaenda madrasat halafu unajinadi unaenda shule!? Nayo ni shule hiyo?JF Members mmefanya niende shule this year bila kupenda kisa matus yenu ya hapa.
Ngoja niende nikaongeze elimu af nitarudi JF tena
haha usiogope mkuuHapana. Mi nilipoishia pananitosha🙂
Unaenda madrasat halafu unajinadi unaenda shule!? Nayo ni shule hiyo?