JF Woman and Man of The Year 2010: Mchakato Wa Kuwapata

Ni Nani Anafaa Kuwa "JF Man of the Year 2010"?

  • Acid

    Votes: 23 40.4%
  • Kiranga

    Votes: 12 21.1%
  • Nyani Ngabu

    Votes: 22 38.6%

  • Total voters
    57
  • Poll closed .

TANMO;

JEC imekaa na kuyapitia malalamiko yako na kuyaona kuwa ni ya msingi sana. Pamoja na kuwa mchakato wa kura za maoni ulishapita ambapo hasa pingamizi hili lilitakiwa liwekwe, tumeona ni vema pia tusikilize na upande wa pili wa NN kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho.

Mwishoni, kama unaweza ukatuletea ushahidi wa malalamiko unayoyatoa utakuwa umetusaidia sana, na NN atatakiwa kuyatolea maelezo, bila shaka.
 
Max Shimba yumo humu humu, hajaenda popote, fungueni macho mtamuona!
 
Mmewapa somo wagombea kuwa matokeo yakitangazwa hakuna kukataa???
 

Mheshimiwa, Nakumbuka Ushahidi wangu ulifutwa na mamod's ili kurejesha hali ya amani baada ya kutokea malumbano baada ya kukejeliwa na huyu Muungwana.

Ila kimantiki naweza kuwasilisha ushahidi huu hapa:

I am disqualified already. Damn!!!

Lakini pouwa....lazima kuna mtu atanipendekeza kwa ile au zile ID zangu tofauti....

Swali langu ni: Je ninyi wenyewe hamkuliona hili kuwa huyu Bwana mwenyewe anajijua kuwa hafai na bado mkamweka ashiriki shindano?
 

TANMO, nimekusoma.

JEC bado inasubiri maelezo ya NN, baada ya siku tatu kama hakutakuwa na utetezi, JEC itachukua hatua stahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…