Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,606
- 1,711
Japo nimempigia kura Gaijin, naomba nimpigie kampeni anayeongoza: H@ki Ngowi: Mheshimiwa Regia Mtema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That is the spirit....Inshallah!kwa kweli kura yangu ningempa Mzee mwanakijiji..
kwa sasa inakua ngumu, ila kwa hekima kidogo nlizonazo nitapiga kura!
Nami natangaza nia: Man of the year 2011
Nina imani si wingi wa comments that matters but the quality...watch this space!
WAPENDWA
Naombeni mniondoe kwenye mchakato huu kwa sababu zifuatazo:
1. 2009 Nilibahatika kushirikishwa na nikawa "mshindi" - nawashukuruni wale wote walionipa heshima hii
2. 2010 - apatikane mwingine tena. JF tunapigania ushirikishwaji mpana wa watu wengi kwenye fursa mbalimbali.Kwangu mimi tayari ninazo fursa nyingi nje ya hapa na hivyo basi ningefurahi kuachia wenzangu wengine nao washiriki.
Asanteni kwa uelewa.
Asanteni
WAPENDWA
Naombeni mniondoe kwenye mchakato huu kwa sababu zifuatazo:
1. 2009 Nilibahatika kushirikishwa na nikawa "mshindi" - nawashukuruni wale wote walionipa heshima hii
2. 2010 - apatikane mwingine tena. JF tunapigania ushirikishwaji mpana wa watu wengi kwenye fursa mbalimbali.Kwangu mimi tayari ninazo fursa nyingi nje ya hapa na hivyo basi ningefurahi kuachia wenzangu wengine nao washiriki.
Asanteni kwa uelewa.
Asanteni
Superman, JEC iangalie uwezekano wa kupata jina jingine la kuziba nafasi ya Mwanakijiji, namaanisha yale yaliyopigiwa kura na akawa na kura nyingi!
Umewahi kuzipitia thread ulizozianzisha?
Tafakari. Chukua hatua kabla ya kupost.
QK hebu tusaidiane kuwahamasisha wadau watumie haki yao.
Cheers.
Mkuu Superman kwanza hongera kwa hili jambo ila nina malalamiko yangu kwa JEC kuhusiana na usiri wa Kura ukizingatia kwamba hapa JF watu ni washkaji sasa huoni kwamba kama nikiamua kumpa kura mtu nitampa kwa sababu ya ushkaji? Kwamba Ngabu anaweza kuona majina ya waliompigia kura huono kama hapo kuna tatizo na ndilo lilichongia watu engi wasijitokeze kupiga kura
Kwani kama mwakani ulichaguliwa ina maana huruhusiwi kuchaguliwa tena??? Au mnaogopa kushindwa na kuonekana umaarufu umeshuka???
Superman - una hoja ya kujibu kuhusu hoja ya mgombea binafsi. Soma thread tafadhali