The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Umejuaje kama nimechukulia serious? hivi anayeuliza na anayekasirikia watu humu JF ni yupi anayechukulia vitu serious? hivi umetafakari kwanza kabla ya kutoa huo ushauri? mimi nadhani wewe ndiye unayechukulia kila kitu serious.Mh, usichukulie kila kitu serious sanaa[emoji23]
Uwe na sikukuu njema
Usipende sana kusaidiwa,matokeo yake mara nyingi hua sio mazuri.Nashukuru umenisaidia [emoji23][emoji23][emoji23] maana watu hum bwana hata haoni kuwa hii ni chitchat
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo matokeo yasiyo mazuri yatakuwa kwangu au na wewe yatakuhusu?Usipende sana kusaidiwa,matokeo yake mara nyingi hua sio mazuri.
Jibu mbona limo tayari ndani ya hiyo comment yangu? isome tena utaelewa tu,au kuuliza kwako hivyo ndio style yako ya kujitutumua tu ili mradi nawe uonekane umeuliza jambo?Hayo matokeo yasiyo mazuri yatakuwa kwangu au na wewe yatakuhusu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia yako mkuu yangu hayakuhusuJibu mbona limo tayari ndani ya hiyo comment yangu? isome tena utaelewa tu,au kuuliza kwako hivyo ndio style yako ya kujitutumua tu ili mradi nawe uonekane umeuliza jambo?
JF is an open forums,ukiweka bandiko au comment hapa, basi inakua sio mali yako tena,mtu yeyote yupo huru kuchangia,kama hutaki watu kuchangia unayoyaleta humu ni bora uwe unawaandikia wakwenu huko ili muwe mnasoma na kuchangia huko huko kwenu tu.
SawaJF is an open forums,ukiweka bandiko au comment hapa, basi inakua sio mali yako tena,mtu yeyote anaweza kuchangia,kama hutaki watu kuchangia unayoyaleta humuni bora uwe unawaandikia wakwenu huku ili muwe mnasoma na kuchangia huko huko kwenu tu.
Tehtehteh...Mi kwangu iende kwa wana JF wote na ujumbe mkubwa kwangu ni wote tukae chini na kutafakari je tunaishi kwa malengo na je malengo ya mwaka huu unaoisha tumeyatekeleza kwa asilimia ngapi? [emoji848]
Tukishayajua yote hayo yabidi sasa mwaka mpya ukianza yasiyoisha tuyamalizie huku tukiwa na malengo mapya ya 2020. Na kwa wale msio ishi kwa malengo muda ndio huu wa kupanga kipi unadhamiria kufanya kwa mwaka ujao.
Happy new year in advance.
Lugha tu hiyo Kaka. 😎😎
Nipo chini..wacha ninyanyuke basi.Lugha tu hiyo Kaka. [emoji41][emoji41]
Au wataka kukaa chini kweli? Hapo hapo kitini waeza tafakari pia.
#Nimeedittayari
Sawa sawa! Haya chukua kile kijitabu chako uangalie mangapi yametimia kwa mwaka huu 2019.Nipo chini..wacha ninyanyuke basi.
asante, heri ya mwaka mpya na kwako pia.Aisee. Tuseme Heri ya mwaka mpya