Jiandaeni kisaikolojia kushuhudia haya kwenye mchezo wa Tanzania prisons vs Simba SC

Mpira ni mchezo wa wazi.

Wenye busara wanaangalia mechi halafu wanaongea. Wapumbavu ndiyo mnaocheza mechi mtandaoni
 
Wanakosea BBC wasema KUMRADHI Mimi Nani nisikosee??

Punguza ushubwada.
Ni mwanzo mzuri kwa kichaa kujua alikosea.Kuna matumaini ya kufanikiwa kwa tiba.Kichaa mwenyewe huwa anatizama BBC😅
 
Kama walivyobebwa Ihefu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…