Jibu swali kibashite bashite hapa. Ukiulizwa kushoto wewe jibu kulia!!

Jibu swali kibashite bashite hapa. Ukiulizwa kushoto wewe jibu kulia!!

Awamu hii tunajifunza mengi sana!! Viongozi wetu ukiwauliza hiki wanakujibu kile!! Kwa mfano waziri wa viwanda ukimuuliza maendeleo ya viwanda walivyoahidi anakujibu vyungu vya kukaangia karanga za kuzungusha kwa ungo nacho ni kiwanda. Kana kwamba ndio ilikua ahadi yao ya kwenye kampeni. Hivyo kuonyeshwa kukelwa na majibu yao , hebu tuulizane maswali hapa huku tukijibu tofauti na swali la msingi ili kuenzi utamaduni wa viongozi wetu.

Mfano mkubwa zaidi angalizia (piga chabo) kwa bashite. Anaulizwa vyeti anajibu madawa ya kulevya, anauliza kuvamia clouds anajibu ninayajua mabaya mengi ya Rughe.

Natoa mifano kadhaa,, mwenzio akiuliza swali wewe jibu unavyojisikia kinyume na swali la muulizaji.

tikatika; swali.> tanzania tuna uhuru wa vyombo vya habari ??

Dogidogi; jibu> raisi wetu kesho anapokea taarifa ya mihogo ilivyo michungu!!

Swali,>Kwanini nape aliondolewa katika uwaziri??
Jibu;> bashite ana maendeleo siku hizi kajenga bonge la mjengo mwanza!!

Karibu tuzoee majibu wa viongozi wetu,,!
swali>> BASHITE NI KONDAKTA??
jibu>> TERENI RA MWENDO KASI RITAISHIA MROGORO
 
swali.
>>a mheshimiwa unazungumziaje kashfa ya kufoji vyeti.

jibu:
>>hakiya Mungu nawaambieni ningekuwa mimi wale wanaoandamana kudai nyongeza ya mishahara ningewachapa viboko...
 
Swali. Mh. Rais kwanini umezuia Watu kufanya Siasa mpaka 2020

Jibu: Mayala ki kwetu maana yake ni Njaa!

Swali: Ile Kesi ya kumshtaki Makonda Mahakamni imeishia wapi?

Jibu: hatujatendewa haki kunyimwa Mike Msibani!

Swali: unazungumziaje Kujiuzulu kwa Mwnykt wenu Yusuph Manji?

Jibu: Mwaka wa Sita huu Simba hawajawahi kuchukua Kombe

Swali:Unazungumziaje kutumuliwa kwny Uwaziri wa Habari?

Jibu: Oneni Jeraha hiki Mkononi! Mie nimekitoa Chama shimoni kilikuwa kinakufa
 
Swali:unamfahamu askofu Gwajima.
Jibu:mimi nilikua najiandaa kusherekea mwaka mmoja wa ukuu wa mkoa na nilipita pale maji yameshuka bei kwa unit maharage ya mbea ni matamu sana ndio maana nimevimbiwa na madaraka.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona mnajiuliza wenyewe
Hii inatakiwa we unauliza mi najibu haya twende

Mheshimiwa.. Usitishwaji wa ajra mpaka lini?
 
Unaniuliza kwani mimi nilimuwepo kwa faru john kuhamia dodoma.
 
Back
Top Bottom