Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ushindi katika vita ya nyuklia hautamuliwa na ubora wa Jeshi wala silaha nchi husika ilizonazo, bali ni nani atamuwahi mwenzake katika kutumia nyuklia kushinda/ kumaliza vita.
Kwa msingi huo, msitegemee Marekani asuburi Russia atumie nyuklia ndio nae ajibu mapigo, bali atamuwahi akishajiridhisha kwa asilimia 100 kuwa Russia anakwenda kutumia nyuklia.
Katika hili, sitarajii Biden atasubiri idhini ya Bunge bali litachukuliwa kama ni jambo la dharau linalohitaji Immediate response kwa usalama wa US na washirika wake.
Vile vile wanaweza hata kumzushia katumia nyuklia katika kutafuta justification ya kumshbulia kama walivyofanya kwa Sadam Hussein walipodai kuwa alikuwa na silaha zilizopigwa marufuku( weapons of mass destruction).
Kwa sasa Biden anachofanya ni kuiandaa dunia kisaikolojia kupokea taarifa za aina hiyo wakati wowote kuanzia sasa.
Time will tell.
Kwa msingi huo, msitegemee Marekani asuburi Russia atumie nyuklia ndio nae ajibu mapigo, bali atamuwahi akishajiridhisha kwa asilimia 100 kuwa Russia anakwenda kutumia nyuklia.
Katika hili, sitarajii Biden atasubiri idhini ya Bunge bali litachukuliwa kama ni jambo la dharau linalohitaji Immediate response kwa usalama wa US na washirika wake.
Vile vile wanaweza hata kumzushia katumia nyuklia katika kutafuta justification ya kumshbulia kama walivyofanya kwa Sadam Hussein walipodai kuwa alikuwa na silaha zilizopigwa marufuku( weapons of mass destruction).
Kwa sasa Biden anachofanya ni kuiandaa dunia kisaikolojia kupokea taarifa za aina hiyo wakati wowote kuanzia sasa.
Time will tell.