Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ushindi katika vita ya nyuklia hautamuliwa na ubora wa Jeshi wala silaha nchi husika ilizonazo, bali ni nani atamuwahi mwenzake katika kutumia nyuklia kushinda/ kumaliza vita.

Kwa msingi huo, msitegemee Marekani asuburi Russia atumie nyuklia ndio nae ajibu mapigo, bali atamuwahi akishajiridhisha kwa asilimia 100 kuwa Russia anakwenda kutumia nyuklia.

Katika hili, sitarajii Biden atasubiri idhini ya Bunge bali litachukuliwa kama ni jambo la dharau linalohitaji Immediate response kwa usalama wa US na washirika wake.

Vile vile wanaweza hata kumzushia katumia nyuklia katika kutafuta justification ya kumshbulia kama walivyofanya kwa Sadam Hussein walipodai kuwa alikuwa na silaha zilizopigwa marufuku( weapons of mass destruction).

Kwa sasa Biden anachofanya ni kuiandaa dunia kisaikolojia kupokea taarifa za aina hiyo wakati wowote kuanzia sasa.


Time will tell.
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
 
Ushindi katika vita ya nyuklia hautamuliwa na ubora wa Jeshi wala silaha nchi husika ilizonazo, bali ni nani atamuwahi mwenzake katika kutumia nyuklia kushinda/ kumaliza vita.

Kwa msingi huo, msitegemee Marekani asuburi Russia atumie nyuklia ndio nae ajibu mapigo bali atamuwahi akishajiridhisha kwa asilimia 100 kuwa Russia anakwenda kutumia nyuklia.

Katika hili, sitarajii Biden atasubiri idhini ya Bunge bali litachukuliwa kama ni jambo la dharau linalohitaji Immediate response kwa usalama wa US na washirika wake.

Vile vile wanaweza hata kumzushia katumia nyuklia katika kutafuta justification ya kumshbulia kama walivyofanya kwa Sadam Hussein walipodai kuwa alikuwa na silaha zilizopigwa marufuku( weapons of mass destruction).

Kwa sasa Biden anachofanya ni kuiandaa dunia kisaikolojia kupokea taarifa za aina hiyo wakati wowote kuanzia sasa.


Time will tell.
Sure.
 
Ushindi katika vita ya nyuklia hautamuliwa na ubora wa Jeshi wala silaha nchi husika ilizonazo, bali ni nani atamuwahi mwenzake katika kutumia nyuklia kushinda/ kumaliza vita.

Kwa msingi huo, msitegemee Marekani asuburi Russia atumie nyuklia ndio nae ajibu mapigo bali atamuwahi akishajiridhisha kwa asilimia 100 kuwa Russia anakwenda kutumia nyuklia.

Katika hili, sitarajii Biden atasubiri idhini ya Bunge bali litachukuliwa kama ni jambo la dharau linalohitaji Immediate response kwa usalama wa US na washirika wake.

Vile vile wanaweza hata kumzushia katumia nyuklia katika kutafuta justification ya kumshbulia kama walivyofanya kwa Sadam Hussein walipodai kuwa alikuwa na silaha zilizopigwa marufuku( weapons of mass destruction).

Kwa sasa Biden anachofanya ni kuiandaa dunia kisaikolojia kupokea taarifa za aina hiyo wakati wowote kuanzia sasa.


Time will tell.
Haka ka weekend utadhani sio mwisho wa mwezi...... Hebu Putin mwaga manenoooooooo
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Hata Mrusi aliiaminisha dunia kuwa ana Jeshi bora na silaha bora kabisa duniani lakini leo anaumbuka. Hivyo, usiamimini sana katika huo ufanisi unaoelezwa maana sometimes ni exaggeration tu.
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Not sure. USA and eur wapo a head of Russia
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Urusi nilikua namwamini sana ila tokea vita ya Ukraine nimemuona maneno mengi tu kama Ali Sahafu...yaani asumbuke na Ukraine mwezi wa nane atishie Dunia sio kweli...
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Wauza kahawa wanajua vita sana kuliko hata hao miamba akina Put in
 
Ushindi katika vita ya nyuklia hautamuliwa na ubora wa Jeshi wala silaha nchi husika ilizonazo, bali ni nani atamuwahi mwenzake katika kutumia nyuklia kushinda/ kumaliza vita.

Kwa msingi huo, msitegemee Marekani asuburi Russia atumie nyuklia ndio nae ajibu mapigo bali atamuwahi akishajiridhisha kwa asilimia 100 kuwa Russia anakwenda kutumia nyuklia.

Katika hili, sitarajii Biden atasubiri idhini ya Bunge bali litachukuliwa kama ni jambo la dharau linalohitaji Immediate response kwa usalama wa US na washirika wake.

Vile vile wanaweza hata kumzushia katumia nyuklia katika kutafuta justification ya kumshbulia kama walivyofanya kwa Sadam Hussein walipodai kuwa alikuwa na silaha zilizopigwa marufuku( weapons of mass destruction).

Kwa sasa Biden anachofanya ni kuiandaa dunia kisaikolojia kupokea taarifa za aina hiyo wakati wowote kuanzia sasa.


Time will tell.
Ok...umeandika vizuri...hiyo inaitwa ' first strike'....Lakini kitu ambacho pengine hujui na kwa maana hiyo hujaainisha hapa ni kuwa Russia kwenye 'First strike' Russia ana Kinga mbaya Sana kwa maadui zake nayyo ni kitu kinachoitwa ' hand of death'...Maana yake hapa ni kuwa hata Kama Russia amewahiwa na wenzake na hasa USA kwa first strike' Lakini Russia ana system ambayo mitambo ya nyuklia itajilipua yenyewe bila kuwepo na mkono wa binadamu kubonyeza vitufe...
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Putin alishasema hatoivamia Ukraine, ni mazoezi ya kawaida mpakani,

Urusi alisema atakayemsaidia Ukraine will be playing with fires
PUtin ni mwongo na Russia have Soviet mechanics, hawana light touch killing machines
Hata hizo nuclear zao zitateguka na kupiga baharini
 
Ok...umeandika vizuri...hiyo inaitwa ' first strike'....Lakini kitu ambacho pengine hujui na kwa maana hiyo hujaainisha hapa ni kuwa Russia kwenye 'First strike' Russia ana Kinga mbaya Sana kwa maadui zake nayyo ni kitu kinachoitwa ' hand of death'...Maana yake hapa ni kuwa hata Kama Russia amewahiwa na wenzake na hasa USA kwa first strike' Lakini Russia ana system ambayo mitambo ya nyuklia itajilipua yenyewe bila kuwepo na mkono wa binadamu kubonyeza vitufe...
Endeleeni kuamini chai za Russia..hawana maajabu
 
Wauza kahawa wanajua vita sana kuliko hata hao miamba akina Put in
Putin anaomba msaada kwa vijana wote wakapigane ila huku wakalia mabenchi wana siraha zote na ma bush master yote washamkabidhi Putin wakidhani Vita na kama gemu za kwenye Video..
 
Urusi nilikua namwamini sana ila tokea vita ya Ukraine nimemuona maneno mengi tu kama Ali Sahafu...yaani asumbuke na Ukraine mwezi wa nane atishie Dunia sio kweli...
Isanga ndipo ilpo hii hospitali?Au Isanga nyingine?
JamiiForums897782019.jpg
 
Putin alishasema hatoivamia Ukraine, ni mazoezi ya kawaida mpakani,

Urusi alisema atakayemsaidia Ukraine will be playing with fires
PUtin ni mwongo na Russia have Soviet mechanics, hawana soft touch killing machines
Hata hizo nuclear zao zitateguka na kupiga baharini
Unafikiri yangekua hayaogopeshi wamarekani wangekua hawajamvamia mpaka leo? Kama silaha zake hazina kitu marekani angekua anahangaika kila siku kutumia pesa nyingi kuweka military bases kumzunguka Urusi?

Mnafikiri marekani ni wajinga kutokupambana na Urusi mpaka leo?
 
Back
Top Bottom