Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Urusi nilikua namwamini sana ila tokea vita ya Ukraine nimemuona maneno mengi tu kama Ali Sahafu...yaani asumbuke na Ukraine mwezi wa nane atishie Dunia sio kweli...
Kwani Ukraine unaichukuliaje mkuu? Unadhani Ukraine ni kama Somalia au Yemen?


Hebu ingia google uangalie GDP ya Ukraine kabla ya vita alafu urudi hapa tujadili. Pia uangalie marekani amepambana kwa muda gani Afghanistan, na alitumia muda gani Vietnam.


Kuna vitu mnaviongea kishabiki tu bila kujua undani wake.
 
Hivi nyie mnashindwa kujua kuwa Putin ni MTU wa mikwala? Usifanye masihara na nuclear weapons aisee maana hata yeye mwenyewe Putin ana familia na NDUGU pia wanahitaji uhai.
Leo kuna taarifa zinasema kuwa Putin anajiamulia mambo pekeyake bila kushirikisha Baraza lake la mawaziri hii yote inatokana na kushindwa kwake vita
 
Kwani Ukraine unaichukuliaje mkuu? Unadhani Ukraine ni kama Somalia au Yemen?


Hebu ingia google uangalie GDP ya Ukraine kabla ya vita alafu urudi hapa tujadili. Pia uangalie marekani amepambana kwa muda gani Afghanistan, na alitumia muda gani Vietnam.


Kuna vitu mnaviongea kishabiki tu bila kujua undani wake.
Kunielewa inatakiwa uwe makini sana mkuu sio unasoma tuu na kujibu...Ukraine ndio Nchi inayoaminiwa na UN kwenye mission zake za kijeshi kama huko DRC na kwingineko wanajua sana vita ya guerilla hao jamaa wakiwa na siraha ni hatari kuliko unavyodhania...kwao pana vita wengine wapo DRC na bado Urusi anasumbuka huko...
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Haijawahi kutokea hivyo inabaki kuwa maneno ya binadamu wanasiasa.
 
Putin anaomba msaada kwa vijana wote wakapigane ila huku wakalia mabenchi wana siraha zote na ma bush master yote washamkabidhi Putin wakidhani Vita na kama gemu za kwenye Video..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Urusi nilikua namwamini sana ila tokea vita ya Ukraine nimemuona maneno mengi tu kama Ali Sahafu...yaani asumbuke na Ukraine mwezi wa nane atishie Dunia sio kweli...
Ukraine au UN? A.K.A "NATO"? mahaba yanatesa sana Watu kuwa mazezeta badala ya kukubali uhalisia [emoji28]
 
Urusi nilikua namwamini sana ila tokea vita ya Ukraine nimemuona maneno mengi tu kama Ali Sahafu...yaani asumbuke na Ukraine mwezi wa nane atishie Dunia sio kweli...
Vita ya Ukraine na Russia wala sio kipimo! Na kama kwako ni kipimo basi tumia kipimo hichohicho kwa US na Taliban pale Afrganistan!

Wala usijidanganye kuwa NATO haipo kwenye Operation ya Urusi dhidi ya Ukraine, hipo tena hipo kwelikweli, Interegensia zote za NATO zinafanyakazi pale Ukraine.

Zaidi ya Satellite 70 zipo upande wa kuwasaidia Ukraine tena zikiongozwa na za Elon Musk zinaisaidia Ukraine

Ukraine anapokea Siraha, wanajeshi na Interejensia toka west! Inshort anafanyiwa kila kitu na West, tuseme tu kuwa NATO iko mzigoni Ukraine dhidi ya Russia.

Russia anapigana na mataifa zaidi ya 20 pale Ukraine yaliyoungana na kujificha kwenye mgongo wa Ukwaine, we juulize ni siraha ngapi wameleka mpk leo? Kwanini bado Russia anawasumbua? Basi Russia yuko vizuri banah kijeshi.

Angel Merkel amewaambia EU msije mkadhani mtakuwa salama kwa kuendeleza vita baridi dhidi ya Urusi, EU yenye aman ni ile ambayo itakuwa na maelewano mazuri ya Russia.

Sasa mtendaji kata wa kwa Mpalange andelea kuiona Russia dhaifu.
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Hakika
 
Mbona watu mnaweweseka Russia unaposema tutatumia kila njia kujilinda mlio wengi mnawaza Nuclear nazo si zake?
Kwani walitengeneza mapambo yale?
 
Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".
Bashaelewa mkuu umemaliza kila kitu
 
Unafikiri yangekua hayaogopeshi wamarekani wangekua hawajamvamia mpaka leo? Kama silaha zake hazina kitu marekani angekua anahangaika kila siku kutumia pesa nyingi kuweka military bases kumzunguka Urusi?

Mnafikiri marekani ni wajinga kutokupambana na Urusi mpaka leo?
Mmarekan anampasua kila mtu atakavyo?
Kiuchumi na kijeshi... Russia ameshauvagaa atapigwa na anapigwa kiuchumi mpaka anyooke
Wewe kwa akili yako Putin aliposema atakayemsaidia Ukraine atachexea Moto ulidhan USA atatishika???
 
Urusi nilikua namwamini sana ila tokea vita ya Ukraine nimemuona maneno mengi tu kama Ali Sahafu...yaani asumbuke na Ukraine mwezi wa nane atishie Dunia sio kweli...
Hakutaka kupiga kama [emoji631] anavyoshambulia mpaka watoto wa shule na mahospitali kama alivyofanya katika sehemu nyingi duniani
Mrusi ameheshimu sana hii vita na isitoshe ni ndugu tu

America wao wakinyanyua makombora wanapiga hata desert popote iwe kambi ya jeshi au walipojihami wananchi ni kupiga tu

Nakumbuka bunker busters alizotumia Iraq huku akisema ni wameficha silaha kali wakati ni mahandaki ya kujificha watu

Ila vita mbaya ni kuisikia kwa jirani tu
 
Mmarekan anampasua kila mtu atakavyo?
Kiuchumi na kijeshi... Russia ameshauvagaa atapigwa na anapigwa kiuchumi mpaka anyooke
Wewe kwa akili yako Putin aliposema atakayemsaidia Ukraine atachexea Moto ulidhan USA atatishika???
Maliza ugoro huo ulale maana hujui unachokiandika
 
Back
Top Bottom