Jicho la Tatu: Bashite na Diamond rudini studio Upya,Tumewasitukia

Jicho la Tatu: Bashite na Diamond rudini studio Upya,Tumewasitukia

Nimetoka kusikiliza wimbo mpya wa Diamond sasa hivi..,

Diamond (I'm not his fan though, nasikiliza nyimbo zake tu) kaimba "ufala" mwingi sana hapo ndani.., ukitulia na kusikiliza vyema huo wimbo.., tayari amekuwa sided na upande fulani katika hili.., amechagua upande, ingawa amewaficha wasikilizaji wake.., ukiwa inaendeshwa na "ufuasi" ukisikiliza wimbo huu unanasa mara moja..

Sikiliza kuna sehemu Diamond anasema _*"badala ya kutafuta senti, wanabishana tu kuhusu mambo ya vyeti.."*_ anaendelea tena, _*"media pande zote wanalalama kiongozi atoke..."*_

.., hapo ndio unagundua yuko upande upi.., yaani Diamond haoni umuhimu wa "kudai vyeti" isipokuwa anamtetea rafiki yake (Bashite)

Pia, jana kabla ya kusambaa kwa wimbo wake huo, kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika upuuzi, aliandika kuhusu Mange Kimambi (though hakutaja jina) katika bandiko hilo ameweka picha yake akiwa na Daudi Albert Bashite.., still bado mnashindwa kuunganisha dots kwenye hili suala!?

Kitu kingine., ROMA na wenzake wamepotea tarehe 5 halafu jana tarehe 7 wimbo wa Diamond Umetoka wenye kuzungumza kuhusu ROMA.., sasa baada ya hapo tazama haraka ya meneja wake (Babu-Talent) kuwakutanisha wasanii na kutaka wakamuone Bashite.., this thing is staged to overwhelm Bashite and atleast to flame him on this.., anatafuta ushujaa..

Binafsi nafikiri, wimbo huo wa Diamond, umekuja kwa mikakati rasmi, anataka kurejesha mjadala wa Bashite kujadiliwa, huu mpango unatumiwa na WASAFI kwa kutumia package ya mashabiki wao.., Diamond kapiga hesabu, huu ni Mkakati wao (WCB na Bashite)., wanataka wimbo huo wenye jina la Bashite ndani usikilizwe, uchezwe redioni ma mitaani, Diamond kaamua "kujilipua" kumsaidia rafiki yake kwenye hili..

Wimbo huu ni maalum kuwafanya watanzania kumchukia Askofu Gwajima na Mange Kimambi ambao kimsingi ni watu wamecheza na Bashite mguu-kwa-mguu.., wimbo huu una ujumbe hasi kwa watu wawili hao, usikilize tena.,

tulieni na muunganishe dot na mtaelewa, Diamond anawatumia na anatumika.., atafanya biashara hapo na atakuwa amefanikiwa kuhamisha mjadala wa kudai vyeti.., wala sio kwamba anasema kuhusu ROMA.., ninyi mashabiki wake milioni 2 mkinunua wimbo huo kwa Tsh 300/= bwana Nassibu anakuwa amekomba tsh 600,000,000/= Shtukaaaa!

Anyways..., hizi mambo za kutekana katika jiji la Mzizima.., ipo siku "watatekana" wenyewe kwa wenyewe na siri zitatoka., maana hizo shughuli zimekithiri sasa.., Diamond anasema anatamani kusema lakini amefundishwa kunyamaza.., kuna mengi ya "ovyo" labda anayafahamu.., muda ni rafiki mzuri..
 
Unadai Vyeti unataka kumpa kazi! Kama unadhani kaiba nenda mahakamani kafungue kesi ili mahakama itoe hukumu. Vyeti havidaiwi kwenye mitandao, we nani kakuulizia cheti chako humu. NENDA MAHAKAMANI haki utaipata kama ni yako lakini!
Halafu Meya wao si kaenda kumshtaki tayari? Kwa nini wasiende kwa Meya kupata mrejesho? Hii Nchi vilaza ni wengi. Watu mnatumiwa na makahaba walioko ughaibuni na midume mizima inaingia King. Fanyeni kazi acheni porojo
 
Kila mtu na uhuru wake wa kufanya kitu. Wewe umehamasisha lipi kwa yanayoendelea Tanzania kwa sasa? Anza kampeni ukiwa umeshika bango kuelekea ikulu sio blablaa za jf tu
Uhuru wa mawazo
 
Sasa wewe mama bashite unayajua maisha yangu?. Nyinyi ndiyo kula kulala na kukesha jf mkimtetea jambazi bashite. Hukuwa na sababu za kupitia kwenye uzi.
Ungekuwa namaisha yako usingeendelea kumjadili mtu ambae huna uwezo wa kumtoa alipo
 
daimond naye si bashite....tuuu sanaa bila elimu ni kupoteza muda tuu....dai anapoteza muda....na muda utatoa jibu....walikuwepo kina T.I.D, mr, NICE , FEROUz na wengine wengi leo hii wapo kama hawapo....hivyo dai nae ajiangalie sana...Tanzania si nchi ya kujipendekeza kwa viongozi hata kidogo watamtumia kama toilet paper wakisha jifutia uchafu wao wanamzima kama taa.
Wewe tupe elimu yako tuone. Na kama unayo ni ile ya kufanyiwa mtihani. Stupid minds, fanyeni kazi. Kulalamika na kuwa wafuasi wa makahaba yanayoishi ughaibuni gakutawasaidia.
 
Kwa wanaojua mziki na maana yake haswa ya kila neno kinaloimbwa dimond katoa bonge moja ya somo,,na uzur kaongea linalomkera kwa ustad wa kisanii ambayo hauwez kumtia hatiani.. Anawachamba bila wao kujijua,anatuchamba kufuatilia yasiyotuhusu bila sisi kuelewa,,kapiga kila mahal bila lugha ya kukera.. Huu ndio usanii..

Suala la Makonda nadhan tatizo sio kumzungumzia au kumfufua km ameterereka kwa sasa,nadhan tatizo we mwenyewe unashindwa kuuvumilia moyo wako kumtaja,unavumiliaaaa bado kama kikohoz linakuja tu,,bas hakuna kibaya kam moyo ushindane na akili,,akili haitak kukumbuka huku moyo unakuuma mwsho unakuja kuanzia uzi kuhusu wewe,,,hapo kitaalam umefeli sekta ya maamuz..
Somo kwamba Mange ndiyo kawagombanisha Bashite na Gwajima??
yani anamaamisha Mange ndiyo kamtuma Bashite avamie clouds Media na silaha za vita kuwatisha wanahabari warushe kipindi cha kumchafua Gwajima?
 
Sasa wewe mama bashite unayajua maisha yangu?. Nyinyi ndiyo kula kulala na kukesha jf mkimtetea jambazi bashite. Hukuwa na sababu za kupitia kwenye uzi.
Ungekuwa na maisha ya kueleweka, ungewasaidia kwa mawazo ya kujikwamua kiuchumi, vijana humu, ambao hawana ajira, kuliko mada zako za Bashite kila kukicha.

Huoni aibu kwambs wazo lako la Bashite halijafanyiwa kazi unavyotarajia. Kama una akili timamu ungekwisha kujiuliza kwa nini Bashite wako siyo huyo unayemdhania hadi kupoteza usingizi, muda na fedha ya 'bundle'!
 
Diamond amepiga kotekote,ukiusikiliza huu wimbo utaona amegusa pande zote,kwa serikali na kwa wachochezi

Kiukweli mapigano siyo mazuri,hayana tija,yanatisha
Huyo kahaba Mange ni kahaba tu kama makahaba wengine....hana analolijua zaidi ya kutumika tu ili apewe visenti na Chadema
 
Wimbo ni mistari ya mashairi siyo Melody wala umarufu wa mtu
Wimbo huu umekuja ki mkakati umekuja kulifanya jina la MAKONDA lijadiliwe
Liimbwe na media zilizomkataa, Dai kajilipua kumsaidia aliyekataliwa asikike
Ni akili kubwa imecheza ili tusiye mtaka arejee vinywani mwetu kupitia ushawishi wake,wapenzi wake kimuziki[emoji15][emoji15][emoji15]

Tunachezeshwa kwa sauti nyororo yenye kujaa huruma huku yeye akiwa anacheza dili ya kumfufua mfu kisiasa na kimadili

Kagusa hata Bunge ili kushawishi pande zote ili lengo lake litimie hiyo ni akili kubwa mno[emoji12][emoji12]

Walijipanga vizuri sana kama hujifikirishi sana unanasa tu
Mwanzo nilinasa nikachambua shairi nikagundua baada kujiuliza nini Gwajima, Mange kuhusishwa

Nikagundua Askofu Gwajima na Dada Mange ndo wahanga wa wimbo huu wala siyo Roma
Wimbo upo mahususi kimlinda mtu na kushambulia wanaohoji uharali wa vyeti
Hitimisho ni dharau kwetu kuwa tunakaa vijiweni kujadili VYETI VYA BASHITE badala ya KUSAKA SENTI[emoji15][emoji15][emoji15]

Diamond hayupo na Roma Mkatoriki yupo kutetea Mjadala wa VYETI
TUSANUKE TUSIINGIZWE CHAKA TUDAI VYETI BASHITE TOA VYETI

Allan Bhujo FBI
Anaangalia ugali wake, ameshasoma kwa shilawadu kilichowakuta
Wacha alinde kiporo chake cha ugali😀😀
 
Ninachosikitika siasa zimetugawa, yaani imekuwa kama uadui, na hii sumu wanaisambaza watu wa upinzani ni sumu mbaya sana, itafika kipindi utashindwa kumsaidia mtu tu kisa itikadi zenu tofauti, sasa kosa la diamond platnumz lipo wapi, hii inchi kila mtu yupo free kuchagua anachokitaka ili mradi asivunje sheria, diamond kawasilisha maoni yake kupitia mziki. Kuwa na itikadi tofauti isiwe tatizo, ila Ninachosikitika sana wanasiasa na mitandao ya kijamii inatugawa vibaya sana, mpaka inafikia Kipindi tunaomba mabaya yatokee kwa nchi yetu, ili kuikomoa serikali, yaani mpaka kwenye kusifia tunakosoa na kwenye kukosoa tunasifia.Watu wanaomponda diamond platnumz ndio hao wanalalamika kila siku inchi haina demokrasia, lkn hawajui diamond platnumz ametumia haki yake ya msingi ya demokrasia kawasilisha mawazo yake kupitia mziki wake. Tanzania kwanza, tusilichukulie hili swala la ROMA kisiasa eti ni la upande fulani. Nammlaani sana kimambi, kwani hii sumu anayoisambaza, haina tofauti na kile kituo cha radio Rwanda kilichorusha habari za kibaguzi, mwisho wake kukawa na mauwaji ya Kimbari. Watanzania tuwe makini sana tusiruhusu mitandao ya jamii na wanasiasa watugawe.
This is the best of all facts I've seen today. Thumb up bro
 
daimond naye si bashite....tuuu sanaa bila elimu ni kupoteza muda tuu....dai anapoteza muda....na muda utatoa jibu....walikuwepo kina T.I.D, mr, NICE , FEROUz na wengine wengi leo hii wapo kama hawapo....hivyo dai nae ajiangalie sana...Tanzania si nchi ya kujipendekeza kwa viongozi hata kidogo watamtumia kama toilet paper wakisha jifutia uchafu wao wanamzima kama taa.
Hivi unawezaje kusema Dai anapoteza muda. Umefikiri kimakini kabsa, unahakika ni kiasi gani amejiandaa kwa maisha yake hata akiacha mziki leo. BTW sometimes si kila kitu kipo km kionekanavyo , usijaji mambo kiharaka hivyo
 
We shoga mwenye kibamia rudi kwenu burundi huko,ya watanzania tuachie wenyewe
Tatizo lako ni moja tu unaishi mjini kwakutegemea ukahaba, moja shule huna, pili hujui ulisemalo kumbe umenikumba nashukuru sn maana huduma ya tigo uliyonipa Burundi ilikuwa babu kubwa sn
 
Ninachosikitika siasa zimetugawa, yaani imekuwa kama uadui, na hii sumu wanaisambaza watu wa upinzani ni sumu mbaya sana.

Ni kweli kabisa.. Nakumbuka hata wale wanaCCM waliotaka kwenda kumtembelea Lema gerezani wanasiasa wa upinzani waliwakataza na kuwaambia ni usaliti kwenda huko!
 
Back
Top Bottom