Jicho la tatu: Kombe la Dunia Qatar litautangaza zaidi ushoga kuliko kuupunguza

Jicho la tatu: Kombe la Dunia Qatar litautangaza zaidi ushoga kuliko kuupunguza

Sasa mzee si uwe kama Kikwete tu, inakuaje unakuja kuuzungumzia tena huku?
 
Kitu mm sipendi ni watot wadogo kulawitiwa na wakubwa hilo ninmbaya na tukemee sana hayo ila wakubwa tuwaache na siri zao
 
Yah alfu unakuta mpka hao waarabu ndio wazamini wakubwa wa ligi hyo sas kuna nin sas hv ,waarabu ni wanafiki san

Wafalme wao ndio wanamiliki vilabu vikubwa na vinavyo sapoti ushoga
Umiliiki una structure yake kabla ya kuandika inabidi ufuatilie kwanza umiliki wao upo vipi ? mfano Simba Mo ndiye mmiliki lakini hana umiliki wa asilimia zote na wakati mwingine maaamuzi hayatoki kwake Moja kwa Moja.
 
Mambo mengine (hasa mambo ya hovyo kama ushoga) ukitaka yasienee hutakiwi kuyazungumzia kabisa.

Nguvu wanayo itumia Qatar kupambana na ushoga kwenye kombe la DUNIA itafanya hata wale ambao walikuwa hawajui ushoga ni nini wawe curious kujua ni kitu GANI hicho.

Sasa hivi ushoga unatajwa mara nyingi zaidi kuliko hata kombe lenyewe.

Nahisi walio peleka kombe Qatar agenda yao kuu ilikuwa ni kuutangaza ushoga in an indirect way (there is no bad publicity)

Walijua waarabu wataingia mkenge na kutumia nguvu kubwa kudeal na ishu ya ushoga jambo ambalo lita upromote ushoga in the process.

Kama watu wa Intelligence wa Qatar hawaku waza hiki ninacho kiwaza mimi basi tayari wamekwisha feli unless otherwise ndani ya serikali ya Qatar wapo mapandikizi wa USA and co ambao WANAJUA kitu GANI wanakifanya.

Nipo nimekaa pale mtakuja kuniambia.

JK akiwa Rais aliwahi kuulizwa swali na mwandishi wa CNN.

Mwandishi: Nini misimamo wako kuhusu haki za mashoga.

J.K: katika jamii ninayo ishi baadhi ya mambo ni taboo/mwiko hata kuyazungumzia KWA hiyo sina chochote cha kukujibu.

FANTASTIC ANSWER. AND THIS IS WHAT I AM TALKING ABOUT
Mzee unaona mambo kwa jicho la 3,nilisema hapa kuwa ushoga utapelekwa Qatar ila watu walibaki kusema eti Qatar wameiheshimisha dinin ya kiisalam kumbe loo hakuna kitu
 
Mzee unaona mambo kwa jicho la 3,nilisema hapa kuwa ushoga utapelekwa Qatar ila watu walibaki kusema eti Qatar wameiheshimisha dinin ya kiisalam kumbe loo hakuna kitu
Yeah kabisa mkuu
 
Ninachokidhania mimi huenda wazungu nao pia suala la ushoga hawakulipanga wala kuliwaza hapo awali, isipokuwa ni kama zali la mentali, hivyo muarabu naye alivyo mweupe kichwani kajaa mulemule na misimamo yake ya kidini bila kutumia akili. Kilichobaki ni kumwachia autangaze mwenyewe.
Wenzetu akili nyingi sanaa
 
Mambo mengine (hasa mambo ya hovyo kama ushoga) ukitaka yasienee hutakiwi kuyazungumzia kabisa.

Nguvu wanayo itumia Qatar kupambana na ushoga kwenye kombe la DUNIA itafanya hata wale ambao walikuwa hawajui ushoga ni nini wawe curious kujua ni kitu GANI hicho.

Sasa hivi ushoga unatajwa mara nyingi zaidi kuliko hata kombe lenyewe.

Nahisi walio peleka kombe Qatar agenda yao kuu ilikuwa ni kuutangaza ushoga in an indirect way (there is no bad publicity)

Walijua waarabu wataingia mkenge na kutumia nguvu kubwa kudeal na ishu ya ushoga jambo ambalo lita upromote ushoga in the process.

Kama watu wa Intelligence wa Qatar hawaku waza hiki ninacho kiwaza mimi basi tayari wamekwisha feli unless otherwise ndani ya serikali ya Qatar wapo mapandikizi wa USA and co ambao WANAJUA kitu GANI wanakifanya.

Nipo nimekaa pale mtakuja kuniambia.

JK akiwa Rais aliwahi kuulizwa swali na mwandishi wa CNN.

Mwandishi: Nini misimamo wako kuhusu haki za mashoga.

J.K: katika jamii ninayo ishi baadhi ya mambo ni taboo/mwiko hata kuyazungumzia KWA hiyo sina chochote cha kukujibu.

FANTASTIC ANSWER. AND THIS IS WHAT I AM TALKING ABOUT
Kwani Qatar hakuna ushoga?
 
Eti intelligence ya Qatar hawakuliona hilo ila wewe wa huko Namtumbo ndio umeliona!
basi hapo mwenyewe unajiona bonge la great thinker Eee? 😀😀

Qatar hataki ushoga kwenye nchi yake,wanaolalamika ni hao waliokataliwa kufukuana mitaro kwenye nchi ya watu wastaarabu,fukuaneni mitaro kwenu huko ila Qatar amegoma,mtafungua thd mpaka michuano itaisha ila Machoko ni big no in Qatar.
 
Eti intelligence ya Qatar hawakuliona hilo ila wewe wa huko Namtumbo ndio umeliona!
basi hapo mwenyewe unajiona bonge la great thinker Eee? 😀😀

Qatar hataki ushoga kwenye nchi yake,wanaolalamika ni hao waliokataliwa kufukuana mitaro kwenye nchi ya watu wastaarabu,fukuaneni mitaro kwenu huko ila Qatar amegoma,mtafungua thd mpaka michuano itaisha ila Machoko ni big no in Qatar.
Ok
 
Back
Top Bottom