Jicho la tatu la kijasusi Israel kurudisha ndege zake nyuma kuto ishambulia Iran

Jicho la tatu la kijasusi Israel kurudisha ndege zake nyuma kuto ishambulia Iran

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
111
Reaction score
223
Natamani nimjue alie mpa elimu ya ujasusi netanyau maana ana akili kubwa sana.
Kweny ujasusi kuna kitu kinaitwa False flag.

FALSE FLAG;a political or military action that is made to appear to have been carried out by a group that is not actually responsible:
Credit definition Geogle

Walicho fanya Israel ni kupoteza maboya .

False flag ni operation

(A)inayotafuta sababu ya operation flani au inakua kama chanzo au kisababishi cha operation flan let's say urusi anaweza kuwavalisha wanajeshu wake mavazi ya kijeshi ya Ukraine na kujisha mbulia ili aonekane anashambulishwa ili azidi kuishambulia Ukraine,

(B) false flag inakua kama cover ya main Operation

Nataman nichambue sana ila ... Acha nieshimu taaluma za watu tuendelee kula mtori nyama zipo chini

By mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera
 
Mkuu njoo utupe madini! Naamini huenda wewe ni mtaalam wa mambo hayo.
Hata hivyo siyo akili ya Netanyahu! Ni kazi ya Intelligency and Security system ya Israel.
Kazi ya Netanyahu kama Amir Mkuu ni kutoa go ahead tu baada ya kuletewa mipango yote ya kwenda vitani na Waziri wake wa Ulinzi pamoja na Baraza lake la maswala ya vita.
Tusiwe kama sisi na nyimbo za Chama-Samia ameleta Maendeleo amejenga shule,amejenga hospitali,nk wakati hakushika hata tofali moja kwa mikono yake!
Karibu Mkuu!
 
Israel hayachanganyikiwa, anafanya kitu ambacho ana uhakika nacho, magaidi yameungana dhidi ya Israel na Ayatolah amesema waarabu tuungane ili tuisngamize Israel, huku vikundi vya kigaidi vinapewa sapoti na Iran na Rudia ili waitwangwe Israel, huku UN na baadhi ya mataifa ya Ulaya wanasema Israel usimamishe vita ila ipigwe na hezibollah, hamas, youth na Iran.Kwa mfano Hezibollah alikuwa na sababu gani za kuipiga Israel? Pia Iran ameshasema tumezunguka Israel pande zote. Israel akipigwa hakuna anayelaani ila Israel akipiga kelele ni nyingi sana
 
Israel hayachanganyikiwa, anafanya kitu ambacho ana uhakika nacho, magaidi yameungana dhidi ya Israel na Ayatolah amesema waarabu tuungane ili tuisngamize Israel, huku vikundi vya kigaidi vinapewa sapoti na Iran na Rudia ili waitwangwe Israel, huku UN na baadhi ya mataifa ya Ulaya wanasema Israel usimamishe vita ila ipigwe na hezibollah, hamas, youth na Iran.Kwa mfano Hezibollah alikuwa na sababu gani za kuipiga Israel? Pia Iran ameshasema tumezunguka Israel pande zote. Israel akipigwa hakuna anayelaani ila Israel akipiga kelele ni nyingi sana


 
Natamanu nimjue alie mpa elimu ya ujasusi netanyau maana ana akili kubwa sana.
Kweny ujasusi kuna kitu kinaitwa False flag.

FALSE FLAG;a political or military action that is made to appear to have been carried out by a group that is not actually responsible:
Credit definition Geogle

Walicho fanya Israel ni kupoteza maboya . Nataman nichambue sana ila ... Acha nieshimu taaluma za watu tuendelee kula mtori nyama zipo chini

By mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera
Acheni hizo illusions zenu na Conspiracy theory. Mahaba na itikadi zinawafanya kuwa wajinga sana. KIMSINGI HUMU JF HAKUNA ANAYEJUA KAMA NI KWELI ISRAEL ILITUMA F - 35 kuelekea Iran , na kama ni kweli zilikuwa zinakwenda zikarudia njiani HAKUNA ANAYEJUA NI KWANINI ZILIRUDI.

Wabongo ni wajuaji sana sisi na maneno meeeengi, kutengeneza Scenarios tu zisizo na ukweli. Eti " False Flag operation ". Yaani ulivyoandika kana kwamba wewe ulikuwa katibu kwenye kikao cha mpango mkakati cha MOSAD au AMAN .

Wabongo kwa ujuaji nadhani mnaweza kueleza maisha ya Sayari ya Mars kuliko hata wataalam wa NASA
 
Haya makundi yenye msimamo mkali ni hatari sana ukiingia nayo kwenye mchuano. Sio kwamba wanashida ya kushinda vita la hasha, lengo lao ni kuleta hofu na mashaka juu ya eneo Fulani. Mfano, Hezbollah wata hakikisha eneo la Kaskazini mwa Israel na milima ya Goran hakukaliki. Yaani kwa ufupi Yale maeneo Kaskazini kama Tiberias, Safed na Galilee Sasa hivi hakunogi ni mwendo wakujificha Kwenye mahandaki mpaka Hezbollah watakapoacha mashambuzi.
 
Natamanu nimjue alie mpa elimu ya ujasusi netanyau maana ana akili kubwa sana.
Kweny ujasusi kuna kitu kinaitwa False flag.

FALSE FLAG;a political or military action that is made to appear to have been carried out by a group that is not actually responsible:
Credit definition Geogle

Walicho fanya Israel ni kupoteza maboya . Nataman nichambue sana ila ... Acha nieshimu taaluma za watu tuendelee kula mtori nyama zipo chini

By mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera


 
Natamanu nimjue alie mpa elimu ya ujasusi netanyau maana ana akili kubwa sana.
Kweny ujasusi kuna kitu kinaitwa False flag.

FALSE FLAG;a political or military action that is made to appear to have been carried out by a group that is not actually responsible:
Credit definition Geogle

Walicho fanya Israel ni kupoteza maboya . Nataman nichambue sana ila ... Acha nieshimu taaluma za watu tuendelee kula mtori nyama zipo chini

By mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera
Kwahiyo hiyo false flag unadhani ni wewe tu na Netanyahu ndo mnaifahamu,majeshi mengine hawajui kitu hicho!!
 
Mkuu njoo utupe madini! Naamini huenda wewe ni mtaalam wa mambo hayo.
Hata hivyo siyo akili ya Netanyahu! Ni kazi ya Intelligency and Security system ya Israel.
Kazi ya Netanyahu kama Amir Mkuu ni kutoa go ahead tu baada ya kuletewa mipango yote ya kwenda vitani na Waziri wake wa Ulinzi pamoja na Baraza lake la maswala ya vita.
Tusiwe kama sisi na nyimbo za Chama-Samia ameleta Maendeleo amejenga shule,amejenga hospitali,nk wakati hakushika hata tofali moja kwa mikono yake!
Karibu Mkuu!
Uko sahihi mkuu ila kwa bahati mbaya vita itamkumbuka Netanyahu kama vile Churchill na Hitler au Truman wanavyokumbukwa
 
Natamanu nimjue alie mpa elimu ya ujasusi netanyau maana ana akili kubwa sana.
Kweny ujasusi kuna kitu kinaitwa False flag.

FALSE FLAG;a political or military action that is made to appear to have been carried out by a group that is not actually responsible:
Credit definition Geogle

Walicho fanya Israel ni kupoteza maboya . Nataman nichambue sana ila ... Acha nieshimu taaluma za watu tuendelee kula mtori nyama zipo chini

By mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera
Jumapili leo mwambie nabii wako akuombee kwa mungu wa Israel ununue gari kaa yake,ila yeye umpe hela😀😃😆.
Wakristo WA bongo wanajuaga uyahudi ni Ukristo😄
Screenshot_20241004-184152.png
 
Natamanu nimjue alie mpa elimu ya ujasusi netanyau maana ana akili kubwa sana.
Kweny ujasusi kuna kitu kinaitwa False flag.

FALSE FLAG;a political or military action that is made to appear to have been carried out by a group that is not actually responsible:
Credit definition Geogle

Walicho fanya Israel ni kupoteza maboya . Nataman nichambue sana ila ... Acha nieshimu taaluma za watu tuendelee kula mtori nyama zipo chini

By mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera
Mahaba mmezidisha., hata wakinya mavi mtasema keki., hata kama hizo ndege zingefika na kudunguliwa mngekuja na hoja yahudi alikuwa anapima uwezo wa iran kutungua ndege,, hao mayahudi mnavyowapamba kwa kila kitu wakikuombeni mikundundru mtawapa na kujisifu mmefilwah na wateule wa mungu,, mijinga kabisa.
 
Israel hayachanganyikiwa, anafanya kitu ambacho ana uhakika nacho, magaidi yameungana dhidi ya Israel na Ayatolah amesema waarabu tuungane ili tuisngamize Israel, huku vikundi vya kigaidi vinapewa sapoti na Iran na Rudia ili waitwangwe Israel, huku UN na baadhi ya mataifa ya Ulaya wanasema Israel usimamishe vita ila ipigwe na hezibollah, hamas, youth na Iran.Kwa mfano Hezibollah alikuwa na sababu gani za kuipiga Israel? Pia Iran ameshasema tumezunguka Israel pande zote. Israel akipigwa hakuna anayelaani ila Israel akipiga kelele ni nyingi sana
Eti Hezbollah alikua anasababu gani ya kumpiga Israel
Jmn msiwe mna comment kama hamjui kinachoendelea
Kuimba kupokezana
 
Ngoja tuwamalize Magaidi Hezbollah alafu itafuata Magaidi hakina Khomeini.

GOD BLESS ISRAEL
 
Eti Hezbollah alikua anasababu gani ya kumpiga Israel
Jmn msiwe mna comment kama hamjui kinachoendelea
Kuimba kupokezana
Hawafatilii chochote ni kufuata mkumbo tu unategemea nini?? Kwa bongo usikute mtu mkubwa huyo serikalini.
 
Mahaba mmezidisha., hata wakinya mavi mtasema keki., hata kama hizo ndege zingefika na kudunguliwa mngekuja na hoja yahudi alikuwa anapima uwezo wa iran kutungua ndege,, hao mayahudi mnavyowapamba kwa kila kitu wakikuombeni mikundundru mtawapa na kujisifu mmefilwah na wateule wa mungu,, mijinga kabisa.
Mkuu Huwa unatoa madini kweli, ila tu profile picture yako ndo kizingumkuti
 
Israel hayachanganyikiwa, anafanya kitu ambacho ana uhakika nacho, magaidi yameungana dhidi ya Israel na Ayatolah amesema waarabu tuungane ili tuisngamize Israel, huku vikundi vya kigaidi vinapewa sapoti na Iran na Rudia ili waitwangwe Israel, huku UN na baadhi ya mataifa ya Ulaya wanasema Israel usimamishe vita ila ipigwe na hezibollah, hamas, youth na Iran.Kwa mfano Hezibollah alikuwa na sababu gani za kuipiga Israel? Pia Iran ameshasema tumezunguka Israel pande zote. Israel akipigwa hakuna anayelaani ila Israel akipiga kelele ni nyingi sana
Umesema ukweli 100%
 
Israel hayachanganyikiwa, anafanya kitu ambacho ana uhakika nacho, magaidi yameungana dhidi ya Israel na Ayatolah amesema waarabu tuungane ili tuisngamize Israel, huku vikundi vya kigaidi vinapewa sapoti na Iran na Rudia ili waitwangwe Israel, huku UN na baadhi ya mataifa ya Ulaya wanasema Israel usimamishe vita ila ipigwe na hezibollah, hamas, youth na Iran.Kwa mfano Hezibollah alikuwa na sababu gani za kuipiga Israel? Pia Iran ameshasema tumezunguka Israel pande zote. Israel akipigwa hakuna anayelaani ila Israel akipiga kelele ni nyingi sana
Israel hawezi vita hasira anamalizia kwenye kushambulia hospital na shule
 
Back
Top Bottom