Jicho la tatu la kijasusi Israel kurudisha ndege zake nyuma kuto ishambulia Iran

Jicho la tatu la kijasusi Israel kurudisha ndege zake nyuma kuto ishambulia Iran

Acheni hizo illusions zenu na Conspiracy theory. Mahaba na itikadi zinawafanya kuwa wajinga sana. KIMSINGI HUMU JF HAKUNA ANAYEJUA KAMA NI KWELI ISRAEL ILITUMA F - 35 kuelekea Iran , na kama ni kweli zilikuwa zinakwenda zikarudia njiani HAKUNA ANAYEJUA NI KWANINI ZILIRUDI.

Wabongo ni wajuaji sana sisi na maneno meeeengi, kutengeneza Scenarios tu zisizo na ukweli. Eti " False Flag operation ". Yaani ulivyoandika kana kwamba wewe ulikuwa katibu kwenye kikao cha mpango mkakati cha MOSAD au AMAN .

Wabongo kwa ujuaji nadhani mnaweza kueleza maisha ya Sayari ya Mars kuliko hata wataalam wa NASA
Mm nime tafuta hiyo taarifa kua israel imepeleka ndege 4 kushambulia irani nime angalia kwenye zile Sources za uhakika sijaona kabisa hiyo taarifa zaidi ya yule mzee anae jiita Mathanzua
 
Mm nime tafuta hiyo taarifa kua israel imepeleka ndege 4 kushambulia irani nime angalia kwenye zile Sources za uhakika sijaona kabisa hiyo taarifa zaidi ya yule mzee anae jiita Mathanzua
Sources za uhakika zipi,CNN?Aljazeera?BBC, SkyNews etc.?Mkuu to some of us sources kama hizo ni udaku and fake news.Halafu huwezi kuona taarifa hizo huko,Kwa kuwa MSM ni washirika wa Israel.Taarifa kama hizo unaweza kuzipata tu kwenye Independent News sources.

Hata hivyo baada ya Urusi kuwapa Iran taarifa, Israel wamebadilisha strategy,IDF wameamua sasa instead watatumia surface to surface missiles.
 
Natamanu nimjue alie mpa elimu ya ujasusi netanyau maana ana akili kubwa sana.
Kweny ujasusi kuna kitu kinaitwa False flag.

FALSE FLAG;a political or military action that is made to appear to have been carried out by a group that is not actually responsible:
Credit definition Geogle

Walicho fanya Israel ni kupoteza maboya . Nataman nichambue sana ila ... Acha nieshimu taaluma za watu tuendelee kula mtori nyama zipo chini

By mkulima wa kahawa misenyi mkoani kagera
wayahudi wa yombo vituka mna vituko sana...nimecheka sana hii,km kajamaa kama wewe unajua ujasusi wa israel basi basi israel si lolote si chochote kwa iran
 
Sources za uhakika zipi,CNN?Aljazeera?BBC, SkyNews etc.?Mkuu to some of us sources kama hizo ni udaku and fake news.Halafu huwezi kuona taarifa hizo huko,Kwa kuwa MSM ni washirika wa Israel.Taarifa kama hizo unaweza kuzipata tu kwenye Independent News sources.

Hata hivyo baada ya Urusi kuwapa Iran taarifa, Israel wamebadilisha strategy,IDF wameamua sasa instead watatumia surface to surface missiles.
Maaaniner walah hizo independent source zako ndo nazitaka uweke link apa ama screenshot sio maneno matupu utazan upo kweny war cabinet ya israel et surface to air missile pfuuuuu!!!!.
 
Maaaniner walah hizo independent source zako ndo nazitaka uweke link apa ama screenshot sio maneno matupu utazan upo kweny war cabinet ya israel et surface to air missile pfuuuuu!!!!.
Mkuu ungekuwa unanilipa ungeni-force kufanya unavyotaka,lakini kwa kuwa hunilipi,I do what I want.
 
Mahaba mmezidisha., hata wakinya mavi mtasema keki., hata kama hizo ndege zingefika na kudunguliwa mngekuja na hoja yahudi alikuwa anapima uwezo wa iran kutungua ndege,, hao mayahudi mnavyowapamba kwa kila kitu wakikuombeni mikundundru mtawapa na kujisifu mmefilwah na wateule wa mungu,, mijinga kabisa.
Kwa hio nyie mkiwasifia WA Iran na hedhibollah Huwa mnakuwa ni nyege zinawaongoza mkitamani waje siku moja wawaombe mikundru yenu??? Muwasifie wanajihadi kwamba wamechezea mbolea zenu???
 
Acheni hizo illusions zenu na Conspiracy theory. Mahaba na itikadi zinawafanya kuwa wajinga sana. KIMSINGI HUMU JF HAKUNA ANAYEJUA KAMA NI KWELI ISRAEL ILITUMA F - 35 kuelekea Iran , na kama ni kweli zilikuwa zinakwenda zikarudia njiani HAKUNA ANAYEJUA NI KWANINI ZILIRUDI.

Wabongo ni wajuaji sana sisi na maneno meeeengi, kutengeneza Scenarios tu zisizo na ukweli. Eti " False Flag operation ". Yaani ulivyoandika kana kwamba wewe ulikuwa katibu kwenye kikao cha mpango mkakati cha MOSAD au AMAN .

Wabongo kwa ujuaji nadhani mnaweza kueleza maisha ya Sayari ya Mars kuliko hata wataalam wa NASA
Wasamehe wabongo,unajua tatizo liko wapi? nakueleza hapa,tatizo ni wabongo waliowengi wanazipata hizi habari za machafuko ya huko mashariki ya kati kupitia habari zinazorushwa kwenye Youtube ambako zimejaa channel za uzushi,yaani wanarusha habari kwa kucopy video zao kwenye Tv mbalimbali na kuzitia maneno yenye chumvi,channel zinazoongoza kwa uwongo ni zile za India hawana hiana kabisa,habari zinazohusu vita huwa zimefumbwa na kufichwa mambo mengi,kila upande huwa unavutia kwake.
 
Akishambulia Iran ndio itakuwa mwisho wa Israel hapo Middle East. Msitishike na hizo kelele za Israel na US wanatafuta njia wambembel3ze Iran Israel apige target Iran waseme Israel ka revenge hicho kitu Iran kakataa kabisa
 
Jumapili leo mwambie nabii wako akuombee kwa mungu wa Israel ununue gari kaa yake,ila yeye umpe hela😀😃😆.
Wakristo WA bongo wanajuaga uyahudi ni Ukristo😄View attachment 3116543
73.8% of the Israel poulation is Jewish? This is fake news.Labda aliyechapisha taarifa hiyo angesema "73.8 of the Israel population call themselves Jews but are actually not."
 
Back
Top Bottom