Jicho la tatu: Mgunda ndiyo mtu wa kwanza anayefaa kulaumiwa kwa matokeo mabovu Simba

Jicho la tatu: Mgunda ndiyo mtu wa kwanza anayefaa kulaumiwa kwa matokeo mabovu Simba

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kama unajua Mpira, unajua fitina za Mpira utajua wazi kuwa Mgunda ndie anayemshauri vibaya Mbraziri ili aharibu timu, kifupi anaharibu timu kwa tamaa za muda mfupi.

Falsafa alizokujanazo Mbrazili toka mechi ya kwanza ni kasi, kutumia wachezaji wote, kufanya sub mapema sana akiona anakosea, ila sasa ni kama Mgunda kamzidi fitina.

Sasa Mzungu nae anaanza na Boko na kumuacha hadi dk 70, hata kama anarukaruka tu, Mzungu kutowatumia kabisa Okra, Banda na kumpunzisha mapema Sacko, wachezaji wenye kasi wanaoendana na mfumo anaoutaka na kutumia wazee watatu Boko, Saidoo na Chama kwa pamoja.

Tukubali Mzungu alikuwa na program ambazo zingeweza kuwatumia baadae vizuri Kibu, Kyombo, Banda na vijana wote ambao wapo Simba.

Ila utaratibu wa kuanza tena kusumbuka na akina Boko, Mkude, Saidoo kwa pamoja na utake matokeo ni vichekesho.

Wazee, Simba anatakiwa abaki Onyango na Chama tu, wengine wapenzi wa Mgunda hatupaswi kuwanao kabisa.
 
Tunahtaji kukuona na Kasi Yako lakini hiyokasi inasadia nn uwapo na mpira au kukimbia TU ilimradi
 
Kama unajua Mpira, unajua fitina za Mpira utajua wazi kuwa Mgunda ndie anayemshauri vibaya Mbraziri ili aharibu timu, kifupi anaharibu timu kwa tamaa za muda mfupi.

Falsafa alizokujanazo Mbrazili toka mechi ya kwanza ni kasi, kutumia wachezaji wote, kufanya sub mapema sana akiona anakosea, ila sasa ni kama Mgunda kamzidi fitina.

Sasa Mzungu nae anaanza na Boko na kumuacha hadi dk 70, hata kama anarukaruka tu, Mzungu kutowatumia kabisa Okra, Banda na kumpunzisha mapema Sacko, wachezaji wenye kasi wanaoendana na mfumo anaoutaka na kutumia wazee watatu Boko, Saidoo na Chama kwa pamoja.

Tukubali Mzungu alikuwa na program ambazo zingeweza kuwatumia baadae vizuri Kibu, Kyombo, Banda na vijana wote ambao wapo Simba.

Ila utaratibu wa kuanza tena kusumbuka na akina Boko, Mkude, Saidoo kwa pamoja na utake matokeo ni vichekesho.

Wazee, Simba anatakiwa abaki Onyango na Chama tu, wengine wapenzi wa Mgunda hatupaswi kuwanao kabisa.
Hiyo inaitwa disco kaingia masai😂
 
Simba sijawaelewa vizuri. Kila neno la kwenu.... Juzi mlianza kompleni za quality y wachezaji Mara timu nzima hakuna mchezaji kama Mayele. Mkasahau Chama, Mkasahau Mwenye goli zuri afrika nzima, Mkasahau kabisa aliekubali mfumo wa simba Kwa kushinda 3 mechi ya kwanza. Mm silaumu kocha wala wachezaji... Nalaumu mashabiki mana miluzi mingi Kolo nyinyi
 
Kama unajua Mpira, unajua fitina za Mpira utajua wazi kuwa Mgunda ndie anayemshauri vibaya Mbraziri ili aharibu timu, kifupi anaharibu timu kwa tamaa za muda mfupi.

Falsafa alizokujanazo Mbrazili toka mechi ya kwanza ni kasi, kutumia wachezaji wote, kufanya sub mapema sana akiona anakosea, ila sasa ni kama Mgunda kamzidi fitina.

Sasa Mzungu nae anaanza na Boko na kumuacha hadi dk 70, hata kama anarukaruka tu, Mzungu kutowatumia kabisa Okra, Banda na kumpunzisha mapema Sacko, wachezaji wenye kasi wanaoendana na mfumo anaoutaka na kutumia wazee watatu Boko, Saidoo na Chama kwa pamoja.

Tukubali Mzungu alikuwa na program ambazo zingeweza kuwatumia baadae vizuri Kibu, Kyombo, Banda na vijana wote ambao wapo Simba.

Ila utaratibu wa kuanza tena kusumbuka na akina Boko, Mkude, Saidoo kwa pamoja na utake matokeo ni vichekesho.

Wazee, Simba anatakiwa abaki Onyango na Chama tu, wengine wapenzi wa Mgunda hatupaswi kuwanao kabisa.
Yule mdhungu hashauruki..... Mgunda alipigwa pini hata kushangilia goli!

Jana alivyoona maji yamedi unga akaamua kumsimamisha Mgunda!
 
Simba mna matatizo sana

Mlivyokuwa mnamsifu Mgunda leo tena na yeye analaumiwa?

Dah Simba kuna matatizo kuliko invyoonekana kwa nje. Hii ni kuanzia mashabiki, wachezaji na uongozi
 
Yule mdhungu hashauruki..... Mgunda alipigwa pini hata kushangilia goli!

Jana alivyoona maji yamedi unga akaamua kumsimamisha Mgunda!
Halafu mwanzisha mada hili la kumpiga pini mgunda hutaona analizungumzia,hii inaonesha kocha mkuu ni mbabe ki vipi aingiliwe majukumu ya kupanga kikosi na mgunda!
 
Tupe ushahidi kuwa hao wakina Boko wanspangwa kwa shinikizo wa Mgunda badala ya maamuzi ya kocha mkuu. Au huwa unakuwepo wakati wa upangaji wa kikosi? Acha hisia
Unataka ushahidi gani!? Kwani mahakamani hapa? Simba hamjuagi vitu vizuri kutwa kuhangaika na kupaparika
 
Simba haujawa wa kwanza wala hautakuwa wa mwisho kupitia kupanda na kushuka ndivyo ilivyo katika dunia tunayoishi .

By the way napenda sana vile kocha Robatinyo anavyopenda kwenda na mdundo wa sisi mashabiki hasa tukifunga goli anashangilia na sisi na tukifungwa analia na sisi .
 
Back
Top Bottom