Jicho la tatu: Mgunda ndiyo mtu wa kwanza anayefaa kulaumiwa kwa matokeo mabovu Simba

Jicho la tatu: Mgunda ndiyo mtu wa kwanza anayefaa kulaumiwa kwa matokeo mabovu Simba

Mimi nimeshasema humu mara kwa mara, Simba wamejaribu kucheza mpira wa Robertinho kwa game kama 2 au 3 tu za mashindano, baada ya hapo kelele zikawa nyingi kuwa Simba sasa wanabutua butua, watu wakashauri si vyema kuingiza mfumo mpya sasa hivi bali aende tatatibu. Kama una access, angalia zile game tena uone kama ndiyo mpira wa sasa wa Simba.

Toka wakati huo, Robertinho akaenda kwao, tena akiwa kwao Simba walicheza game 1 au mbili na hawakutumia style ya Robertinho, Simba wakarudi kucheza mpira wa kipindi cha Mgunda, mpira wa pasi fupi fupi, back passes nyingi na wakiwa na shida ya kupenya ngome ya adui wakifika final third.

Huo ndiyo UKWERI.
 
Hata kama ni mimi namuhujuma uyo mbrazil,nimeipeleka timu group stage tena timu ikiwa inayumba kimatokeo alafu ghafla unanilea mtu niwe chini yake.
wakati na mimi ni kocha na nahitaji kupandisha cv yangu ya ukocha,nimepefika group stage,nimefika robo n,k
 
Toka mwanzo nilisema, Mgunga anapaswa ondolewa ili tumpime kocha vizuri
 
Hii
Tupe ushahidi kuwa hao wakina Boko wanspangwa kwa shinikizo wa Mgunda badala ya maamuzi ya kocha mkuu. Au huwa unakuwepo wakati wa upangaji wa kikosi? Acha hisia
Ni under ze kapeti. Anaambiwa asipowatumia washabiki na viongozi watamtema
 
Yule mdhungu hashauruki..... Mgunda alipigwa pini hata kushangilia goli!

Jana alivyoona maji yamedi unga akaamua kumsimamisha Mgunda!
Alichokuwa anakifanya mzungu Ni kuzuia watu wawili kusimàma kwenye benchi Ni makosa. Kama ambavyo nabi hafanyi. Ila akikaa Mgunda anaruhusiwa kutoa maelekezo vizuri tu
 
kutumia wazee watatu Boko, saidoo na chama kwa pamoja.

Yaan ina maana leo hii CHAMA mwamba wa LUSAKA kawa mzee
Ni mchezaji mzuri, lkn umri umeenda. Anamuda ata wa miaka mitatu minne kucheza Kama akicheza na wachezaji wenye spidi. Acheze maalumu apandishe timu. Utamu wa chama utauona akiwa na phiri, Banda, socko, na okra.
Lazima Tukubali tu saidoo mikiki hawezi abaki kucheza na prison na dodoma- jiji.

Boko akili inataka mwili hautaki,
 
Wafukuze kocha alafu wengine tunakaa paleeee! Hakuna kocha anaweza kufanya kazi Simba! Tunakoenda makocha watakuwa wanaikataa Simba kulinda CV zao! Simba ni vichaa kuanzia mashabiki hadi viongozi wao.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Huu ndo ukweli mweupe. Wewe kweli ni shabiki wa mpira. Timu ina mashabiki hawana uvumilivu, timu ina mashabiki wote ni makocha. Timu ina mashabiki wote wasemaji wa timu!!!?
 
Mkimaliza kumlaumu Mgunda mtahamia kumlaumu mdhungu Kocha Kisha mtamlaumu Mo baadae wachezaji wazee baadae mtamlaumu Barbara then Ahmed Ally baadae mtalaumu mashabiki mkishamaliza kulaumiana masimba nyie mtahamia kumlaumu Eng Hersi then TFF baadae mtamlaumu Haji Manara na mkewe then Mtahamia kumlaumu Matola baada mtahamisha lawama serikalini kwa Mr Tozo Madiluu na Mama yake Chief Hangaya!

Badae sana mtalaumu Yanga Lia Lia kama mimi kwa kuwatabiria mabaya ya kufungwa na inatokea mnapasuliwa kweli kweli imefikia hatua hata Azam kwenu ni kama Real Madrid!

Msichokijua Makolo ni kuwa timu yenu ni nzuri tu na inacheza vizuri ila imezidiwa ubora na Yanga kwa viwango vya wachezaji mmoja mmoja na uwezo binafsi wa Kocha Nabi.

Yanga Ina scouting nzuri nendeni mkajifunze msione aibu mpira si uadui ni utani tu maana mechi za Sasa Simba na Yanga hazina ladha maana Yanga tunawapiga tu kama Ngoma!

Mlisema Yanga haiwezi mechi za CAF mmefeli sie tunaua tu hata ije Brazil sijui Morocco Man city au Barcelona kichapo kikO pale pale.

Nawakumbusha Yanga tayari tumechukua kombe la ligi NBC mwaka wa pili huu na mwakani tunachukua pia inshallah.

Anzeni upya kujenga timu yenu for 4 years mbumbumbu fc nyie mmeanguka na hamuoni
 
Kama unajua Mpira, unajua fitina za Mpira utajua wazi kuwa Mgunda ndie anayemshauri vibaya Mbraziri ili aharibu timu, kifupi anaharibu timu kwa tamaa za muda mfupi.

Falsafa alizokujanazo Mbrazili toka mechi ya kwanza ni kasi, kutumia wachezaji wote, kufanya sub mapema sana akiona anakosea, ila sasa ni kama Mgunda kamzidi fitina.

Sasa Mzungu nae anaanza na Boko na kumuacha hadi dk 70, hata kama anarukaruka tu, Mzungu kutowatumia kabisa Okra, Banda na kumpunzisha mapema Sacko, wachezaji wenye kasi wanaoendana na mfumo anaoutaka na kutumia wazee watatu Boko, Saidoo na Chama kwa pamoja.

Tukubali Mzungu alikuwa na program ambazo zingeweza kuwatumia baadae vizuri Kibu, Kyombo, Banda na vijana wote ambao wapo Simba.

Ila utaratibu wa kuanza tena kusumbuka na akina Boko, Mkude, Saidoo kwa pamoja na utake matokeo ni vichekesho.

Wazee, Simba anatakiwa abaki Onyango na Chama tu, wengine wapenzi wa Mgunda hatupaswi kuwanao kabisa.

Quality ya wachezaji wa simba poor sio umri tu,,, cheki Real Madrid kuna mavetaran wa kutosha lkn ndo wanaongoza kwa kucheza vzuri…..

Ttzo sio kocha lkn poor Quality ya wachezaji mpk uwe unajua mpira ndo utaelewa
Hasa kwenye game tough na ngumu ndo utaona
 
Back
Top Bottom