Mchizi boti huku ujingani uko timu gani?Mgunda alianza vizuri mkaja mwaribiya falsafa zake sasa anawatonya wachezaji wagome kimya kimya.
Simba nguvu moja.
Ni under ze kapeti. Anaambiwa asipowatumia washabiki na viongozi watamtemaTupe ushahidi kuwa hao wakina Boko wanspangwa kwa shinikizo wa Mgunda badala ya maamuzi ya kocha mkuu. Au huwa unakuwepo wakati wa upangaji wa kikosi? Acha hisia
Alichokuwa anakifanya mzungu Ni kuzuia watu wawili kusimàma kwenye benchi Ni makosa. Kama ambavyo nabi hafanyi. Ila akikaa Mgunda anaruhusiwa kutoa maelekezo vizuri tuYule mdhungu hashauruki..... Mgunda alipigwa pini hata kushangilia goli!
Jana alivyoona maji yamedi unga akaamua kumsimamisha Mgunda!
Ni mchezaji mzuri, lkn umri umeenda. Anamuda ata wa miaka mitatu minne kucheza Kama akicheza na wachezaji wenye spidi. Acheze maalumu apandishe timu. Utamu wa chama utauona akiwa na phiri, Banda, socko, na okra.kutumia wazee watatu Boko, saidoo na chama kwa pamoja.
Yaan ina maana leo hii CHAMA mwamba wa LUSAKA kawa mzee
Huu ndo ukweli mweupe. Wewe kweli ni shabiki wa mpira. Timu ina mashabiki hawana uvumilivu, timu ina mashabiki wote ni makocha. Timu ina mashabiki wote wasemaji wa timu!!!?Wafukuze kocha alafu wengine tunakaa paleeee! Hakuna kocha anaweza kufanya kazi Simba! Tunakoenda makocha watakuwa wanaikataa Simba kulinda CV zao! Simba ni vichaa kuanzia mashabiki hadi viongozi wao.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Halafu Eti hawamtaki Pape sakho, fungaji la goli bora la caf 😁😁😁kutumia wazee watatu Boko, saidoo na chama kwa pamoja.
Yaan ina maana leo hii CHAMA mwamba wa LUSAKA kawa mzee
Hahaha uku ujingani nikogo Yanga mchiz boti yani hii Yanga wanaleta kidogo aueni yani tunatafuta maali pa kujifichiyaMchizi boti huku ujingani uko timu gani?
Simba ama Yanga?
Kama unajua Mpira, unajua fitina za Mpira utajua wazi kuwa Mgunda ndie anayemshauri vibaya Mbraziri ili aharibu timu, kifupi anaharibu timu kwa tamaa za muda mfupi.
Falsafa alizokujanazo Mbrazili toka mechi ya kwanza ni kasi, kutumia wachezaji wote, kufanya sub mapema sana akiona anakosea, ila sasa ni kama Mgunda kamzidi fitina.
Sasa Mzungu nae anaanza na Boko na kumuacha hadi dk 70, hata kama anarukaruka tu, Mzungu kutowatumia kabisa Okra, Banda na kumpunzisha mapema Sacko, wachezaji wenye kasi wanaoendana na mfumo anaoutaka na kutumia wazee watatu Boko, Saidoo na Chama kwa pamoja.
Tukubali Mzungu alikuwa na program ambazo zingeweza kuwatumia baadae vizuri Kibu, Kyombo, Banda na vijana wote ambao wapo Simba.
Ila utaratibu wa kuanza tena kusumbuka na akina Boko, Mkude, Saidoo kwa pamoja na utake matokeo ni vichekesho.
Wazee, Simba anatakiwa abaki Onyango na Chama tu, wengine wapenzi wa Mgunda hatupaswi kuwanao kabisa.
Kwani Mgunda ndio mwajiri wake hadi atishike na maneno kama hayo? Unaona humu wote watoto wadogo wa kuwaongopea?Hii
Ni under ze kapeti. Anaambiwa asipowatumia washabiki na viongozi watamtema