Hana hoja ya kujibiwa, majibu yake atapewa bungeni.Nani aliyekudanganya maisha ni lazima uwe mbunge. Jibuni hoja za mpina, acha mbambambaaa we shangazi.
Naona hoja imekushinda unakuja na viroja, ongea kwa hoja wacha kubwabwaja na kuhororoja hovyo.Ndio mtetezi wa dini ya mnyazi unatetea dhulmat ccm ninani mpaka mtanzania halali asiingie bungeni kisa ccm? Mtetezi wa dini ya mnyazi? Ndio maana mnapigwa mabomu na mayahudi kwa usaliti huu.
Nimeona unamshupalia kuwa hatarudi bungeni hiyo 2025. Tuwe taifa lenye kutenda haki. Na mtu muongo aoneshwe uongo wake.Hana hoja ya kujibiwa, majibu yake atapewa bungeni.
Ufataani wake ushastukiwa mapema kabla hajauanza.
Ni nani alikwambia wewe kuwa maisha ni ubunge tu? Unazusha?
Kwahiyo ccm ndio huwa inaamua nani awe mbunge na sio kura za wananchi?Sivyo.
Mpina kaona hana ushahidi kwa yalioongelewa siku ile na akaona awahi kusambaza uongo wake.
Kashastukiwa ndiyo maana Tulia anaendelea lufata taratibu na sheria.
Mpina kajinyonga mwenyewe. Ana sababu za kufanya hivyo.
Anajuwa wazi kabisa kuwa mwaka 2025 atastukizwa kuukosa ubunge, anataka ahame mapema awahi kujifanyia kampeni, akumbuke tu, CCM kama haitaki uwe mbunge hata uhamiwe chama kipi, hata paa la bunge hautaliona.
Hahahaah kwamba CCM wamechoka ufisadi? Acha utani, labda useme kuna wezi wanataka nao kula kwenye sekta ya kilimo ila CCM haiwezi kufukuzana kisa ufisadi.Maana yake nini kuna watu washamchoka Bashe kwenye maswala ya usalama na ulinzi kwa ufisadi wake (ndio wanaoweza pokea info zote hizo), Mpina anapewa tu, ni messenger.
You are clever, that I know that.Hahahaah kwamba CCM wamechoka ufisadi? Acha utani, labda useme kuna wezi wanataka nao kula kwenye sekta ya kilimo ila CCM haiwezi kufukuzana kisa ufisadi.
Very basic infoIgweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote.
Kwanza tuanze kwanini Mh Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Awali ya yote nilazima mjuwe Mh Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha a na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu. Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.
Wewe umeelewa nini mkuu 'Rabbon', mimi nimetoka kimasomaso.Umeeleweka!!
Huku juu nimekuelewa vizuri.Msikilize Mpina na amount of first hand evidence alizotaja.
Jiulize ule ushahidi wa Mpina hata ingekuwa wewe kama ungeweza toa bila ya msaada wa watu wa ndani. Kutoka Idara mbali mbali zenye uwezo wa kukusanya hizi Info na kumpa mtu.
Chaka la kilimo jamaa washalichoka Bashe ni actor tu wa kujifanya anajali, Iła wingi wa budget walaji ni wengi.
Hela ni mwanaharamu kwa sababu Bashe kweli alikuwa na lengo la kuwasaidia wakulima na kukuza sector.
Hela ni mwanaharamu kwa sababu Bashe kweli alikuwa na lengo la kuwasaidia wakulima na kukuza sector.
Changamoto ni kwamba “shibe mwana malevya, njaa mwana malegevya”
Tamaa ya utajiri wa ghafla imemtoa Bashe kwenye mstari.
Wewe Mpina ana kundi kubwa ndani ya system,vile vielelezo alivyonavyo mtu wa kawaida utavitoa wapi?Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.
Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.
Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Mwenzio kaeleza vizuri kabisa. Wewe unatwangatwanga tu!Shadow war. Keep silent 🤫 🙊
Uandishi wa kipuuzi sana anaoutumia huyo mtu.Mleta mada umeandika pasipo kuwa na lengo mahususi (main body). Ulitaka kusema nini?
1. Kwamba Bashe na Mpina wana bifu?
2. Kwamba Mpina siyo mtu wa mchezo mchezo?
3. Kwamba Mpina anatumika na kundi fulani la siasa?
4. Kwamba nchi (kitalu kama ulivyokiita) inaenda inaenda kusambaratika kwasbb ya sakata hili?
liouleta ni uongo mtupu, ungekuwa siyo uongo angesubiri Spika aupitie, kilichomfanya azikiuke kanuni za bunge ni nini?Wewe Mpina ana kundi kubwa ndani ya system,vile vielelezo alivyonavyo mtu wa kawaida utavitoa wapi?
Mnawachukulia poa watu wa kanda ya ziwa wakati wao ndiyo wengi humo CCM na wana uwezo wakuichanachana CCM na huyo Bi.Kizimkazi akarudi Zanzibar.
Subiri 2025,Kuna Askofu Msukuma anachukua nchi na Samia atafyata!!
Screen shot this comment!
Kipo nonachojua kuhusi hiii issue ya sukari namna Bashe na Mama Abdul wanachofanya ikiwemo kuanzishwa kwa Kampuni ya Magogoni Sugar na kushinikiza kupewa eneo kubwa kwa ajili ya kuanzisha mashamba ya miwa na kiwanda cha Sukari.Halafu hao wachache Ni wahindi na wasomali wa ITEL na ZENJ LTD.
Bora ingekua wasukuma wajukuu zangu hela wangewekeza humu humu tz.
ITEL 49% INAMILIKIWA NA INDIAN NATIONALS.
Yule yupo kimkakati, bi kizimkazi kamuweka pale kwa makusudi. Kimskngi, Bashe ni mtu aliyekwisha feli muda ila kwa kuwa ni mujahidina kama mama abdul na pia amekaa pale kwa lengo la kupiga madili na mama abdul atabaki. Kafeli kwenye kila kiyu kuanzia Mabilioni ya BBT hadi kwenye kuwekeza Bilions of Money kwenye umwagiliaji kwa kutumia surface water wakati kila siku level of surface water inapungua duniani.Kwa zile nondo za Mpina, Bashe hana pa kutokea
Kaka Bashe hayuko peke yake kwenye ulaji.Huku juu nimekuelewa vizuri.
Lakini hapo chini, ukanipoteza kabisa!
Lakini kiujumla, ninakubaliana nawe sana. Bashe angeweza kuisogeza mbele kidogo wizara ile; kwa sababu akili nzuri ya kudadavua mambo anayo. Sasa sijui kama ni tamaa iliyomwingia yeye, au katekwa na majambazi wenzake huko CCM?
Hatorudi. Kumbuka hilo.Nimeona unamshupalia kuwa hatarudi bungeni hiyo 2025. Tuwe taifa lenye kutenda haki. Na mtu muongo aoneshwe uongo wake.
Isiwe kutishanatishana. Sote ni watanzania, tunahitaji kila jambo lifanyike kwa nia njema pasipo kuwa na kujifaidisha nyuma ya pazia.
Ni muda sahihi wa Sukuma Gang kuungana na Chaga Gang ila Sukuma Gang wajue kabisa ukifika muda wa kugawana keki lazima wadhulumiwe na Chaga Gang.Hapana hii ni ndoano kwa chadema chonde chonde @erthryocite msimpokee mpina hii muvi inapangwa kwa chadema
Hatuwezi kukuelewa mzee wa mahaba na CIA, MOSSAD, FBI! Unajiona una akili na maarifa kulilko watu wote! Unapenda uogopwe kumbe kiazi! Unapenda sana sifa za kijinga!mtanielewa baadae.