Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Siku kadhaa zilizopita, nilileta uzi hapa JF nikiwaeleza MATAGA kuwa kwakuwa wanamuhujumu Mama, kuna hatari ya Mama kjjbu mapigo kwa kuweka hadharani madudu ya Mwendazake kwani kinachoendelea ni kumfanya Mama aonekane hatoshi kumlinganisha na Mwendazake.
Binafsi naamini hata hii habari yenye tuhuma nzito tunayoisoma hapa JF leo, imevujishwa kwa makusudi katika muendelezo wa haya mapambano baina ya makundi haya mawili ndani ya chama husika na huenda press ya jana ya yule kijana wa Mwendazake, ndio imepelekea hili bomu kulipuliwa leo.
Kwa kifupi, hii vita ya maneno ndio inashika kasi huku nyumba zote ambazo zote ni za vioo, zikianza kupasuka vipande vipande na mwisho wa siku wadanganyika watapata fursa ya kuona yaliyomo ndani katika hizi nyumba(tuombe Mungu wenye pressure wasije kushindwa kuhimili watayoyaona humo ndani tukapata misiba ya mfululizo).
Last but least: Reshuffle is imminent any time from now(according to my observation).
Binafsi naamini hata hii habari yenye tuhuma nzito tunayoisoma hapa JF leo, imevujishwa kwa makusudi katika muendelezo wa haya mapambano baina ya makundi haya mawili ndani ya chama husika na huenda press ya jana ya yule kijana wa Mwendazake, ndio imepelekea hili bomu kulipuliwa leo.
Kwa kifupi, hii vita ya maneno ndio inashika kasi huku nyumba zote ambazo zote ni za vioo, zikianza kupasuka vipande vipande na mwisho wa siku wadanganyika watapata fursa ya kuona yaliyomo ndani katika hizi nyumba(tuombe Mungu wenye pressure wasije kushindwa kuhimili watayoyaona humo ndani tukapata misiba ya mfululizo).
Last but least: Reshuffle is imminent any time from now(according to my observation).