Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Bajeti za Afrika Mashariki zilisomwa kwa pamoja siku ya Alhamisi lakini magazeti na vyombo vya habari vya Tanzania havijajadili bajeti ya mtanzania bali kuanzia bungeni hadi mtaani mjadala ukuwa wa mbowe na masihala na mjadala wa bajeti unaohusi maisha ya watanzania ukawekwa kapuni.
Kwa nchi za Kenya na Uganda vyombo vyao vilijikita kwenye bajeti na kuangalia inamanufaa gani kwa mataifa yap na kwa mwananchi wa kawaida na kumpa raia summary ya mambo makuu ya bajeti na ajipange vipi tofauti na kwetu
Mjadala unaendelea Star TV
Kwa nchi za Kenya na Uganda vyombo vyao vilijikita kwenye bajeti na kuangalia inamanufaa gani kwa mataifa yap na kwa mwananchi wa kawaida na kumpa raia summary ya mambo makuu ya bajeti na ajipange vipi tofauti na kwetu
Mjadala unaendelea Star TV