strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Nimeshasema mara nyingi sana,wakurya,na mastaa si wakuolewa,they're just for fun.
Heeee kumbeeeeee ni balaaaaa atiii,hadi wanaume anawagongaa loo
Mmh jide ni mgumu sana wa kusamehe, yani ukimkosea tu jua hakuna kupatana naye milele. Afu kumbe mzee wa bamaga alimfata gardner kuomba msamaha afu still jide akachomoa duuh, jide ana roho ya kisasi kupita maelezo
Yes, sio sifa nzir, sam machozi alikataa kumsamehe, clouds pia kakataa kupatana nao, kumbe na global nao walikuwa kwenye bifu na akakataa kuongea nao mpaka gadner akaingilia kati, kwa kwel huyu dada apa tu ana aribu cv yake.
Pia wakati mwingine binadamu sio watu wa kuwaamini, sam machoz alipendwa sana na jide ilikuwa kila kitu yeye, baadae akamgeuka na kuanza kumsema maneno machafu sana yeye na mumewe gadner, gpl nao ni wanafki , clouds kama wanavyojulikana ila sometimes vinyongo sio ishu na ndio maana bibi yule hanenepi kwa kuwek vitu rohon utafikr yeye malaika au mungu
Huyu mwanamke ana roho ngumu sana ambayo si ya kawaida.
Nyie global ni wahuni tu. Mlitaka jide akalala na baba zenu. Mmekaa kiumbeya umbeya tu.
Mbona hamfuatilii mambo ya maana mnahangaika na masuala ya watu binafsi.
Hahaha binamu me hapo tu napokupendea, jide unamfil sana but kwenye mapungufu yake unamsema tu. Jide inabidi ajifunze kusamehe wenzie, kinyongo au uchungu unaweza ukakukosesha baraka zako. Ana roho ya kinyongo mno, labda yeye hakoseagi mwenzetu
Acha mambo ya ajabu wewe ulishasema wee kama nani? Na kama kabila lako ndilo la kuoa mbona wewe hujaolewa? Ina maana wewe ulioa wakurya wote ndio mpaka ukagundua kuwa sio wa kuoa?, Na pili nani kakwambia kuwa lady jay dee ni mkurya?
Kwa nn Sasa
Unachosahau ni kwamba masupa staa wanapenda wenyewe kuandikwa...usipoandikwa unasahaulika...wengine wanapeleka ma niwzi wenyewe...
Ukija kwa zile fumanizi za kitaa ambazo si za mastaa unachoshitaki nini wakati mi evidensi kibao...
Udaku ni magazeti kama mengine...wako kazini na wao...
Kwa mfano kama ndoa ilikua na migogoro kwa habari hizi si ka wanazidi kuchochea kuni ndoa ife........
Jide bila gadner hawez kabisa, sijui lakin labda yamfike shingoni, maana yule bwana anawavua chupi wasichana aiseeh, too much hata kama umalaya aiseeh jamaa too much, ila ndo hakuna mkamilifu, maana jamaa ni mnyenyekevu sana na ana hekima, sio mkorofi ila kwa uko chini kwa bibi sasa ndo umwambii kitu
Mmh,kwani yule mh."mguu" hayuko nae tena?au nafasi yake imezibwa na huyo dogo????
Unamsingizia bhna, jide hana tatizo, kwanz alimpenda jamaa mwenyew ila mshkaj kiwembe n we no that
Gadner sio mkorofi na ni manager mzur, tatizo lake,anapenda sana uchi mno, yan too much, anapenda sana kugegeda watu, kuna ka jamaa pale nyumban lounge kinaitwa wancy sijui, kakatomb san mpak jide akajua still bad akaendelea kumsamehe ila jamaa too much