strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Nimeshasema mara nyingi sana,wakurya,na mastaa si wakuolewa,they're just for fun.
Acha mambo ya ajabu wewe ulishasema wee kama nani? Na kama kabila lako ndilo la kuoa mbona wewe hujaolewa? Ina maana wewe ulioa wakurya wote ndio mpaka ukagundua kuwa sio wa kuoa?, Na pili nani kakwambia kuwa lady jay dee ni mkurya?