Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
NDo yale yale mambo, kuandika ooh chanza cha karibu na staa huyo kumbe chanzo chenyewe jf au instagram
Na hiyo issue ya kujifanya mara tulimpigia msanii apokei simu au et namba yake haipatikan kumbe hawana ni ujanja tu, awa mbona wataumbuka mwaka huu??
zamani ilikuwa ukichafuliwa na magazet bhaaas huna pa kujitetea sasa iv mitandao kibaooooo dah nimeopenda hii kutoka kwa jide
Mitandao imerahisisha mambo watu washawajua uongo wao mie hata kununua hayo magazeti sinunui
Gazeti nililonunua ni la story nilowapa nayo wakaja kunikera walivyojaza uongoooo