darhood
Senior Member
- Dec 29, 2013
- 116
- 192
Mm ilikuwa chupa ya dawa fulani ilikuwa marked na seller kuwa itakuwa shipped kwa USPS
USPS iko priority mail na standard mail nahisi kuna moja iko fast na naona nao tracking number zao ziko kama hakina dhl kwamba unajua kila step ya parcel na wako fasta pia nahisi 5days utakuwa umefika
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-biashara-na-uchumi/63743-usps-package-to-tanzania-anybody.html
Aisee mid nimetumiwa text hiyo Leo nashindwa kuelewa bado kwamba ndo mzigo umekuja au ni nini labda???!! Naomba mwenye uzoefu bandugu
🔙Why be a "king"👑 When you can be "God"💰🔚