Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Mko vizuri waheshimiwa hata me nimejifunza na ntaendelea kujifunza. Big up guys
 
Ndugu zangu!!

Nimekuwa nikitamani sana kununua vitu kama vitabu, vifaa vya kielektroniki nk katika mitandao. Naona watu wengi wananunua Bestbuy, Amazon na Ebay.

Katika pitapita zangu mitandaoni, nimekuta mitandao wa Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com na pia Hot mobile phones, tablets online sales, Electronics Products online shop In the Middle East | Kingsouq.com kwamba unaweza kununua vitu kutoka kwao. Nimeona wana bidhaa nzuri sana na zinauzwa bei nafuu sana.

Ombi langu kwenu na hasa kwa wenye ufahamu. Vipi uaminifu na uhakika wa Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com na Hot mobile phones, tablets online sales, Electronics Products online shop In the Middle East | Kingsouq.com Maana nisije nikauvaa mkenge.
 
Ndugu zangu!!

Nimekuwa nikitamani sana kununua vitu kama vitabu, vifaa vya kielektroniki nk katika mitandao. Naona watu wengi wananunua Bestbuy, Amazon na Ebay.

Katika pitapita zangu mitandaoni, nimekuta mitandao wa Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com na pia Hot mobile phones, tablets online sales, Electronics Products online shop In the Middle East | Kingsouq.com kwamba unaweza kununua vitu kutoka kwao. Nimeona wana bidhaa nzuri sana na zinauzwa bei nafuu sana.

Ombi langu kwenu na hasa kwa wenye ufahamu. Vipi uaminifu na uhakika wa Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com na Hot mobile phones, tablets online sales, Electronics Products online shop In the Middle East | Kingsouq.com Maana nisije nikauvaa mkenge.

Jaribu kwa kuanza kununua vitu vya thamani ndogo ambayo haizidi dola kumi ukikipata hicho kitu sasa unaweza ukanunua vitu vingine
 
Ndugu zangu!!

Nimekuwa nikitamani sana kununua vitu kama vitabu, vifaa vya kielektroniki nk katika mitandao. Naona watu wengi wananunua Bestbuy, Amazon na Ebay.

Katika pitapita zangu mitandaoni, nimekuta mitandao wa Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com na pia Hot mobile phones, tablets online sales, Electronics Products online shop In the Middle East | Kingsouq.com kwamba unaweza kununua vitu kutoka kwao. Nimeona wana bidhaa nzuri sana na zinauzwa bei nafuu sana.

Ombi langu kwenu na hasa kwa wenye ufahamu. Vipi uaminifu na uhakika wa Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com na Hot mobile phones, tablets online sales, Electronics Products online shop In the Middle East | Kingsouq.com Maana nisije nikauvaa mkenge.

Jaribu kwa kuanza kununua vitu vya thamani ndogo ambayo haizidi dola kumi ukikipata hicho kitu sasa unaweza ukanunua vitu vingine
 
naombeni kujua kiundani zaidi kuhusu hiyo 22,000/=inauokatwa na CRDB kwa kila online transaction, ...alaf pia katika kumalizia kulink CRDB na PayPal wamenambia nisubir code kupitia statement, naombeni kujua je ntazipata vipi?
 
naombeni kujua kiundani zaidi kuhusu hiyo 22,000/=inauokatwa na CRDB kwa kila online transaction, ...alaf pia katika kumalizia kulink CRDB na PayPal wamenambia nisubir code kupitia statement, naombeni kujua je ntazipata vipi?

Sidhani kama wanakata kiasi kikubwa hivyo cha fedha lets say unanunua kitu cha thamani ya sh 20,000 watakata kiasi gani? Mimi natumia bank ya NBC iko poa sana wala sikatwi na nikikatwa ni kidogo sana.
 
Wakuu naombeni msaada hivi nikitaka kuagiza kitu eBay ni lazima ue na Credit card!??!?
 
Hivi product ikiandikwa free shipping halafu kwenye shipping details ikaandikwa "ship to: world wide " Inamaana mzigo utanifikia TZ bila shipping cost yoyote au wanakuwa specific kwa nchi husika(let's say USA kwa ebay US).
 
Hivi nikitaka kuagiza kitu kwa eBay ni lazima niwe na credit card!?
 
Hebu tupe idea unafikiri unawezaje kumlipa mtu alieko ulaya au Marekani?
 
Nimepata somo, swali : vp kuhusu Ems Je,nilazima uwe na box la posta ili kupokea mzigo?
 
Naombeni kujua kiundani zaidi kuhusu hiyo 22,000/=inauokatwa na CRDB kwa kila online transaction, ...alaf pia katika kumalizia kulink CRDB na PayPal wamenambia nisubir code kupitia statement, naombeni kujua je ntazipata vipi?

Ingia kwenye website ya CRDB contact centre then watumia mail ukiwaomba wakuangalizie hizo code...watumie nambari ya account yako pia ktka hyo mail.
 
Jamani naomba kuelekezwa jinsi ya kupokea mzigo kutumia DHL au wakala mwingine tofauti na Posta.
 
kama ni for single user strictly kama antivirus basi uki uninstall ndo imeisha hivo nafikiri

Ila kuna software nyingine ali mradi una keys basi hata rafiki zako wanaweza kutumia.....

Kilichonichekesha ni hicho tu cha Kulipia Utube downloader wakati ziko free
Mkuu angalia pm yangu.
 
jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
 
Na mimi Nina HTC one x nataka nibadili kioo kimevunjika.

Nimeona kioo hichow eBay kwa 9 dollars na shipping ni 5 dollars. I hope it's worth trying. Ni Mara yangu ya kwanza buying stuff online.



kimekuja na posta, nilitumia slp ya mwanza, so nimekikuta mwanza home nilipofika.

pale jambo la muhimu ni kuangalia wauzaji, wapo ambao wanajulikana, pia angalia shipping bure au unalipia? maana kama shipping ni bure ujue itachukua wiki 3 mpaka 4, kama ni kulipia inachukua less than 7days inategemea wapi unaponunulia.
chief-mkwawa ningeweka picha ya box uone walivyoandika ila kuna jina langu halisi, ntakutumia kwa whatsapp.

cc DecisionMaker
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom