Jaribu kuopitia hee thread vizuri majibu yote yapo humu mkuu ila kwa ufupi kidogo ni kwamba Hii inategemea na sites utakayotumia,cha msingi ogopa kufanya payment kwenye sites zisizo na mfumo ulio organized/centralized kwa ajili ya malipo yaani sites ambazo individual seller anaweza ku access credit card information zako kwahiyo kuna hatari badae akazitumia kwa manufaa yake.
Sites kama Amazon,Aliexpress,Alibaba na nyingine(ambazo bado sijazifahamu) wao wanamifumo yao ya secure payment amazon payments,Alipay,Escrow respectively.
Pia online merchants nyingi kama geekbuying,gearbest,pandawill,banggood nk ni salama kwenye credit card payments nilishawahi kudokoa vitu vya gharama ndogo among hizo sites na sijawah experience tatizo.
The most important thing ni kuangalia reviews kitoka kwa wanunuaji.All the best sorry kwa maelezo marefu