Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Sababu ya kuingiza process ya kusajili card (mteja kukubali kutumia kadi kwa manunuzi 'online' ni kumlinda mteja. Akiwa amessjili inakuwa akijuwa kwamba manunuzi Yanayofanywa kwenye internet 'online' ameyaidhimisha kwa hiyo ana wajibu wa kulinda taarifa (namba na namba ya siri ya card) yake. Benki haitakubali kubeba risk ya wateja wake kufanya miamala kwenye internet bila kujua athari za kufanya hivyo! Tunaombavwateja wazingatie 'terms and conditions'

Za kila huduma ili waepuke matatizo! Msibaki tu kulaumu processes/procedures za Benki kwani zote zinalenga kulinda usalama wa fedhaza wateja!
Happy New year!
 
Sababu ya kuingiza process ya kusajili card (mteja kukubali kutumia kadi kwa manunuzi 'online' ni kumlinda mteja. Akiwa amessjili inakuwa akijuwa kwamba manunuzi Yanayofanywa kwenye internet 'online' ameyaidhimisha kwa hiyo ana wajibu wa kulinda taarifa (namba na namba ya siri ya card) yake. Benki haitakubali kubeba risk ya wateja wake kufanya miamala kwenye internet bila kujua athari za kufanya hivyo! Tunaombavwateja wazingatie 'terms and conditions'
Za kila huduma ili waepuke matatizo! Msibaki tu kulaumu processes/procedures za Benki kwani zote zinalenga kulinda usalama wa fedhaza wateja!
Happy New year!
Mbona Eqiuty bank hakuna kujisajili.
 
Unachoweza kufanya ni kutumia hyo kadi yako kama ya visa card au master card kununua tu kwa kuwa wao wanaruhusu manunuz kwa kutumia hyo visa ja master card. Hatari yake ni kwamba wao wanakata pesa moja kwa moja kutoka kwenye account yako ambayo umeisajil kama visa au master kwa manunuzi mtandaoni na hawatatumia tena watu wakat kama vile paypal ambayo huwa ina act kama namna ya usalama kwa pesa yako.
 
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.













JIBU: UncleUber replied; mzigo wako utaupokelea posta au mahala popote ambapo utakuwa umeomba mzigo wako upelekwe; mfano unaweza(kama umelipia gharama za kuuleta kwa njia husika) kuja DHL au USPS n.k utaukuta kwenye ofisi husika, mara nyingi uwa wanakupigia simu kifurushi chako kikifika (hata posta wanapiga simu)
Duuuh napenda sna kufanya manunuzi mtandaon ila mashaka tele
 
Duuuh napenda sna kufanya manunuzi mtandaon ila mashaka tele
Kwa usalama zaid na kujitoa mashaka nunua kwa kutumia paypal kwa kuwa wao security yao ni ya hali ya juu sana ila shida yao ni kwamba nao wanafanya deductions ya vicent kdg kwa ajili ya conversion ya exchange rate ya pesa.
 
sasa km nina paybal nifanyeje kujiunga na ali pay ni sh ngapi?
Haina kujiunga unaweka tu number ya Kadi yako basi fasta tu Alipay na ipo secure vile vile kama PayPal.. Download tu application ya AliExpress hamna usumbufu
 
Kwa usalama zaid na kujitoa mashaka nunua kwa kutumia paypal kwa kuwa wao security yao ni ya hali ya juu sana ila shida yao ni kwamba nao wanafanya deductions ya vicent kdg kwa ajili ya conversion ya exchange rate ya pesa.
Poa poa
 
1. nenda ebay.com kisha register chagua customer au kama wewe ni muuzaji chagua akaunti ya merchant.

2. kujiunga inabidi kadi yako ya benki (visa/mastercard) iwe imesajiliwa kwanza kununua mtandaoni, kisha nenda paypal.com weka details zako na za kadi yako kisha watakutumia verification code (yangu nilichukua crdb) hapo kadi yako itakuwa verified tayari na paypal.

3. nenda sehemu yoyote. wanayokubali paypal nunua chochote, ingiza. detail za paypal, watakata gharama za icho kitu basi umemaliza

very easy
hawazidishi hata thumuni au?
 
*HAYA TENA KWA MARA NYINGINE TENA BAHATI HAIJI MARA MBILI* *JE, WAJUA BANDO NA SIMU YAKO NI MTAJI TOSHA?*Kama huna ajira na unataka kuongeza kipato chako *Furusa hiyo fungua link hii http://jamiiforums.com/?refcode=102945
ujipatie pesa haraka sana kuliko kupoteza bando bila faida yoyote jaribu sasa uwaambie na members wengine watumie furusa hii*
 
Usiogope mkuu ni raisi sana. Unapata vitu genuine kwa bei nafuu sana.
Mkuu unaweza nisaidia na mimi nikaanza kufanya manunuzi online hivi kwanini USA na UK hawatumi mizigo Africa haswa tz kama sikosei na wanakwambia ukitaka utumiwe huku contanct the seller na hivi nawezaje kuagiza mzigo kupitia dhl tz
 
Back
Top Bottom