Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

hawa ni Allibaba cimu hii hapa kwa uzuri wa kutosha
IMG_20220318_205149.jpg
 
Mkuu maelezo kidogo hapo unapo sema unatumia box la chuo, je kuna mtu hua anakuchukulia au inakuaje, na je ikitokea mzigo wako ukachukuliwa na mtu ambae sio wewe??
Hauwezi kupewa mtu mwingine maana pale Pana namba yako ya simu wanakupigia unaenda na vitambulisho vyako kwa ufupi
 
Taalifa ambazo zinajazwa PayPal, eBay na Bank lazim ziwe sawa?? mfano Anuani ya posta iliyo jazwa bank ni lazima ifanane na itakayo jazwa ,eBay na PayPal??
pia je wanapokea mabadiliko ya anuani pale mtu atakapo kua kabadili location??
Ukibadili anuani pia kwenye ukurasa wa PayPal unabadili,inawezekana sana. Hata kadi pia unaweza kubadili au kuongeza
 
ukiwa unanunua watakuuliza shipping adress iwe sawa na paypal au utabadili, ila details za paypl lazima ziwe sawa na card
Unaponinua kitu wakati wa kulipia itakupeleka kwenye page yako ambayo pia anwani yako ya kutumia mzigo ipo,baadaye unabofya unalipa
 
Je wewe ni mgeni wa product za China?
Je nini hasa unachohitaji?

Kama wahitaji simu za hakika na sio product za kichina basi hama toka alibaba/ aliexpress na nenda mitandao ya UK au USA kama amazon .com

Mkuu. Fanya kuuendeleza huu uzi. Maana si unajua wabongo wengi tunaangalia kwenye Unafuu kuliko ubora.

Binafsi huwa natamani sana kufanya manunuzi kutoka amazon japo bei zao ni juu, ila kinachonifanya nishindwe ni pale kwenye shipping na import fee, Amazon price zao ziko juu sana.
 
uzuri wa paypal ya hapa bongo hata kama hauna uwezo wa kutoa pesa direct kwenye bank (NMB,CRDB) au mobile money unaweza ukatumia hii njia ya kununua bidhaa mtandaoni baadae ikifika unauza na kupata pesa yako..
 
Wakuu habari zenu samahani naomba kujuzwa kwa wazoefu wa kuogiza parcel, apo mzigo wangu utakua umefika wapi na lini natalajia kupokea
Screenshot_20220822-215739.jpg
 
Ebay ni soko kama unavyosema kkoo ebaya haiibi wala haipo trusted kama vile soko halikuibii wala haliaminiki. wanaoiba ni watu ndio maana unatakiwa unaponunua kitu ebay au amazon uwe unaangalia review za muuzaji.
mkuu kwema?
naomba msaada wako nishida na kioo cha samsung note 9, naona kununua bongo bei kali sana
 
wakuu kwema?
naomba msaada wako nishida na kioo cha samsung note 9, naona kununua bongo bei kali sana

na kwa anaeweza nisaidia

@chiefmkwawa @mlwcrt au yeyote
 
mkuu kwema?
naomba msaada wako nishida na kioo cha samsung note 9, naona kununua bongo bei kali sana
Aliexpress unapata sema bei rahisi na copy za kutosha kama unaangalia unafuu huko.

Masoko ya USA utapata OG ila bei itakuwa juu. Imategemea mwenyewe umejipanga vipi.
 
Back
Top Bottom