Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Mkuu C6 unaweza kutusaidia hapa ufafanuzi,labda nijibu nijibu majibu kadhaa katika hayo hapo,kwanza mkuu wangu me sina account ya CRDB naona mizinguo tu hao me natumia Barclays nina account ya Shillings,Pound na Dollars so sipo sure sana kwa hao CRDB wenyewe process zao zinakuwaje hasa ila kwa jinsi ninavyojua upande wa Barclays mfano me nikinunua anything with online banking huwa sikatwi amount yoyote ile seller ndio anakatwa kila kitu,kuhusu kwenye makato hamna anayeangalia bidhaa gani umenunua hiyo haijalishi mkuu wangu....

Nimegundua hizi bank za Tanzania wizi mwingi sana unafanyika na wanawaumiza sana wananchi kwa ---- service na charge za ovyo ovyo zisizokuwa na maana yoyote ile ila still nashangaa watu bado wanaangaika na bank za CRDB....

Nadhani kuna majibu mengine sijajibu maana sina uwakika nayo hasa ila mzigo wako kutumia postal fulani ni hatari bora ufikie ofisini kwa mtu moja kwa moja ni bora zaidi ila ukisema ufatilie kwenye postal wanazingua sanaaaa.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

nataka kuandika makala kuhusu kununua vitu online, ntagusia changamoto kama vile mabenki wanavyotuibia
 
Last edited by a moderator:
naomben mnijuze kuhusu paypal coz wengne n wagen wa mambo hayo

Ina maana hiyo paypal ni co.inayosimamia mambo ya security juu malipo yanayofanyika online nayo huwa inakata commision kidogo ina link na ebay so ili kununua on ebay lazima malipo yafanyike through paypal for security na lazima uwe umejisajili na hiyo paypal na ili kujisajili na paypal lazima kadi yako ya master card iwe activated na benki yako kwanza km CRDB au whatever, na aliye uliza kuusu baadhi ya items not shipped to tz hiyo inakuwa ni muuzaji labda hafanyi hivo lakini unaweza tembelea wauza wengine ukakuta wanatuma tz maana wauzaji wapo wengi kwenye ebay yaani wa ebay uk,ebay usa,ebay Australia n.k ila mind you kuna baadhi ya item km ni kubwa TRA huwa wanaingilia ili kulipiwa ushuru but for compuer is free duty so ni uwezo wako
 
nataka kuandika makala kuhusu kununua vitu online, ntagusia changamoto kama vile mabenki wanavyotuibia

Hamna tatizo mkuu wangu inabidi ugusie hiyo kitu maana mwananchi endapo anatumia online banking kununua vitu hapaswi kuchajiwa na bank yoyote labda kama ni sheria ya nchi but ni free of charge....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Samahani kwa hili. Naomba kujua ni process zipi ulianza nanzo kuanzia unapoanza kui order na kuanza kulipia benk mpaka kukamilisha malipo yote na kusubiria product? Product naziona ila nashindwa kujua kuwa naanzia benk, au nafanyaje malipo. yaniunisaidie kujua kuanzia ulipoanza mpaka kukamilisha taratibu zote

Nadhani mkuu C6 ameshajibu hili swali na nini cha kufanya jaribu kufatilia hii thread toka mwanzoni mkuu ukikosa majibu rudi tutakujibu step by step...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
1. nenda ebay.com kisha register chagua customer au kama wewe ni muuzaji chagua akaunti ya merchant.

2. kujiunga inabidi kadi yako ya benki (visa/mastercard) iwe imesajiliwa kwanza kununua mtandaoni, kisha nenda paypal.com weka details zako na za kadi yako kisha watakutumia verification code (yangu nilichukua crdb) hapo kadi yako itakuwa verified tayari na paypal.

3. nenda sehemu yoyote. wanayokubali paypal nunua chochote, ingiza. detail za paypal, watakata gharama za icho kitu basi umemaliza

very easy

. Asante nilikuwa najiuliza nitajiungaje
 
hapana. sijaeleweka vizuri. nazungumzia step ya kwanza mpaka ya mwisho. yani process zote za kwenda benk pamoja makubaliano ya kutuma mzigo ikiwa tayar hela imeshalipwa
 
hapana. sijaeleweka vizuri. nazungumzia step ya kwanza mpaka ya mwisho. yani process zote za kwenda benk pamoja makubaliano ya kutuma mzigo ikiwa tayar hela imeshalipwa

calm down, nitaandika kuhusu hilo pia
 
simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mru humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.

Kimeo changu kimevunjika kioo sehemu ndogo nimekimbilia eBay nachek kioo ni 120$ nikajiuliza hapa bongo si ndo wata nambia 200k, Nafikiria kununua hawa posta wasije kunibambiza nikalia na 120$, VP kuhusu DHL shipment inakuaje??
 

Kimeo changu kimevunjika kioo sehemu ndogo nimekimbilia eBay nachek kioo ni 120$ nikajiuliza hapa bongo si ndo wata nambia 200k, Nafikiria kununua hawa posta wasije kunibambiza nikalia na 120$, VP kuhusu DHL shipment inakuaje??
ntakupa feedback jioni naenda ofisi za dhl na ems(posta) leo kuulizia maana nataka kununua laptop ebay ila naona nikilizwa posta ntakufa
 
ntakupa feedback jioni naenda ofisi za dhl na ems(posta) leo kuulizia maana nataka kununua laptop ebay ila naona nikilizwa posta ntakufa

i'm also looking forward to your reply lad
 
simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mru humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.
je kama umeagiza kifaa mfano ukubwa wa tv utapokelea wapi?
 
je kama umeagiza kifaa mfano ukubwa wa tv utapokelea wapi?
kutegemeana na njia utakayotumia kuleta huku, hivyo kuna maelekezo ya shipping, utaambiwa mzigo utaupataje
 
i'm also looking forward to your reply lad


Kimeo changu kimevunjika kioo sehemu ndogo nimekimbilia eBay nachek kioo ni 120$ nikajiuliza hapa bongo si ndo wata nambia 200k, Nafikiria kununua hawa posta wasije kunibambiza nikalia na 120$, VP kuhusu DHL shipment inakuaje??
nimeenda dhl, jamaa wanachaji kwa uzito, ukitaka kutmumiwa mzigo kwa dhl lazima anayeutuma apeleke mzigo kwenye ofisi za dhl huko aliko na umpe physical address yako au care off dhl ya karibu na wewe, atakutumia tracking number na ukifika utaenda kuuchukua kama ni dar es salaam au popote ulipoelekeza mzigo uje, itabidi uwe na tin number kwa mzigo wowote pia unaweza kuchajiwa ushuru kutegemeana na mzigo wenyewe

gharama za kubeba kifurushi cha kilo 3.5 ni kama laki na themanini (kutoka tanzania kwenda marekani, jamaa hakiwa na exact figure kutoka us kuja huku)
 
nimeenda dhl, jamaa wanachaji kwa uzito, ukitaka kutmumiwa mzigo kwa dhl lazima anayeutuma apeleke mzigo kwenye ofisi za dhl huko aliko na umpe physical address yako au care off dhl ya karibu na wewe, atakutumia tracking number na ukifika utaenda kuuchukua kama ni dar es salaam au popote ulipoelekeza mzigo uje, itabidi uwe na tin number kwa mzigo wowote pia unaweza kuchajiwa ushuru kutegemeana na mzigo wenyewe

gharama za kubeba kifurushi cha kilo 3.5 ni kama laki na themanini (kutoka tanzania kwenda marekani, jamaa hakiwa na exact figure kutoka us kuja huku)
Kama unaagiza Laptop hapo full ila kwa bidhaa ndogo Hiyo bei aisee(Kizuri Gharama), I'll take a risk ntaagiza kwa Posta
 
nimeenda dhl, jamaa wanachaji kwa uzito, ukitaka kutmumiwa mzigo kwa dhl lazima anayeutuma apeleke mzigo kwenye ofisi za dhl huko aliko na umpe physical address yako au care off dhl ya karibu na wewe, atakutumia tracking number na ukifika utaenda kuuchukua kama ni dar es salaam au popote ulipoelekeza mzigo uje, itabidi uwe na tin number kwa mzigo wowote pia unaweza kuchajiwa ushuru kutegemeana na mzigo wenyewe

gharama za kubeba kifurushi cha kilo 3.5 ni kama laki na themanini (kutoka tanzania kwenda marekani, jamaa hakiwa na exact figure kutoka us kuja huku)

Mkuu nashukuru kwa maelezo uliyotoa kutokea mwanzo mpaka mwisho hapa ulipofikia. Ni kweli watu wanang'ang'ania CDRB lakini mimi nilienda ABC na kununua VISA kwa U$20 kama gharama ndiyo basi tena hadi itakoisha muda wake. Kwa maana hawana monthly charges wala fee charge kama ukinunua online. Ni wazuri kiukweli.

Kitu kilichonifanya mpaka nachangia ni kuwa niliagiza battery mbili toka China lakini jamaa akatuma mpaka tracking no lakini Singapore Post wakapoteza mzigo kwenye distpating process. Seller akatuma nyingine kwangu baada ya kumjulisha mbona sioni updates yoyote. Akanitumia tena kupitia China Post na tracking no nyingine na sasa naambiwa zimeshasafirishwa Bongo.

Sema nimeshituka sana baada ya kuambiwa uwizi ulipo Posta zetu. Na mimi nilikuwa nafanya kama jaribio ili niagize video camera kubwa ambayo nipo tayari kulipia kodi.

Ngoja nisubiri kamanitazipata week hii ili nije nitoe ushuhuda juu ya Posta za Tanzania.
 
Mkuu nashukuru kwa maelezo uliyotoa kutokea mwanzo mpaka mwisho hapa ulipofikia. Ni kweli watu wanang'ang'ania CDRB lakini mimi nilienda ABC na kununua VISA kwa U$20 kama gharama ndiyo basi tena hadi itakoisha muda wake. Kwa maana hawana monthly charges wala fee charge kama ukinunua online. Ni wazuri kiukweli.

Kitu kilichonifanya mpaka nachangia ni kuwa niliagiza battery mbili toka China lakini jamaa akatuma mpaka tracking no lakini Singapore Post wakapoteza mzigo kwenye distpating process. Seller akatuma nyingine kwangu baada ya kumjulisha mbona sioni updates yoyote. Akanitumia tena kupitia China Post na tracking no nyingine na sasa naambiwa zimeshasafirishwa Bongo.

Sema nimeshituka sana baada ya kuambiwa uwizi ulipo Posta zetu. Na mimi nilikuwa nafanya kama jaribio ili niagize video camera kubwa ambayo nipo tayari kulipia kodi.

Ngoja nisubiri kamanitazipata week hii ili nije nitoe ushuhuda juu ya Posta za Tanzania.
kama ukitumia ems ambayo iko kama dhl mzigo wako unafika haraka na salama, sema sasa gharama za shipping kwa ndege hapo ndo utamu unapoanzia
 
ntakupa feedback jioni naenda ofisi za dhl na ems(posta) leo kuulizia maana nataka kununua laptop ebay ila naona nikilizwa posta ntakufa

Nami nataka kununua Profesional Video Camera sasa uwizi wa Posta naigopa kabisa sijui hata nifanyeje!!!
 
Back
Top Bottom