the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Ndio ni kweli mm nasimamia upande wa mkulima tu simuangalii mfanyabiashara, ndomana tunauzia shamba kila mtu anakufa na chake
Nikimuuzia mfanyabiashara nyanya pink nampa faida sn alafu mm inanikata
Kuhusu nyanya kuharibika hiyo sio hoja, ndomana tunanunua mbegu za gharama sn sababu zinakaa muda mrefu bila kuharibika, pia kuna dawa za kukomaza matunda uwa tunapiga yani tunda linakomaa haliharibiki
Mfano nyanya ikiwa box 10,000/= mnunuzi akitaka pink lazima aongeze hela ndio nimchumie tofauti na hapo aende zake, wanunuzi wapo wengi
Mm nikipambana nyanya ikifika wakati wa kuvuna sichek na mtu sababu mm ndio nimeumia shamba, sipangiwi nyanya zipi nichume zipi niache
Okay sawa sawa but naamini kuna mwaka utafika utafanya yote yaani utakua unalima na kuuza mwenyewe ili upate faida yote wewe sababu mkulima pia anaweza kua mfanyabiashara sababu hata hao wanaonunua kwenu na kwenda kuuza ni watu kama sisi wakulima wakawaida ndugu yangu why miaka nenda rudi tuwanufaishe wao [emoji1433][emoji1433][emoji1433]