n zinatosha kwa eka 2mkuu umbali wa shimo hadi shimo inategemea na mbegu unayotumia, kwa assila tunapiga cm30 shimo na shimo na cm60 mstari hadi mstari
assila uwa tunanunua arusha kwa dar sifahamu zinapatikani wapi
Ningependa kuwasiliana Nawe kwa simu tafadhaliSame here, lkn ukitumia miti michumo inaongezekaView attachment 853062
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nitumie number yako tafadhali
Kweli kabisa mkuu kantangaze akishaingia shambani ni ngumu kumdhibiti inatakiwa upambane asiingie shambaniKanintangaze ni hatari sana, ila ukipiga dawa from the begin inasaidia kumthibiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa nitakupigiaNaomba unipatie naomba yako m nko morogoro pia natak kujifunza zaid na huu mwak nna plan za kulima nyanya za kisasa namba yangu 0767459480. Naomba nipgie
Ndio mkuu na sasa hivi nipo shambaMkuu habari,bado unaendelea kulima nyanya?
Nitatengeneza group nitaweka link hapa anayependa atajiunga, tatizo wengine hawapendi mambo ya whatsappLingeanzishwa whatsapp group kwa mada hii ingesaidia sana
OkNaomba nitumie number yako tafadhali
Mkuu hiyo link nimejaribu kuingia ila inaandika Web page not availableWakuu anayependa kujiunga na group la whatsapp la kilimo cha nyanya anaweza kujiunga link hii hapa
Kilimo cha nyanya
Nitumie namba pm nikuungeMkuu hiyo link nimejaribu kuingia ila inaandika Web page not available
Mkuu tayari nimekutumia
Mkuu Mungu akubariki sana, shukrani sana kwa kujitolea na kwa kujali kwako.
Shukrani mkuu pamojaMkuu Mungu akubariki sana, shukrani sana kwa kujitolea na kwa kujali kwako.