Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Ni kama mfumo wa demoklasia ila huu ni wa aina yake ambayo maamuzi yake hayategemei idadi (kua wengi wape)

Ni haki bin haki ilimradi unastahili.. *
asa nibora anitishe au anisibitishie uwepo wake kuliko kuniacha ili badae anichome moto.!?
 
alieumba kilakitu.! muweza wayote katutelekeza huku dunia kasepa zake kaacha watu wake watudanganye.! kilakitu kimekaa kiuongo uongo tu duniani.!
Bado anakupenda na anakuhitaji pia ni wewe tu ndiyo ulimtelekeza. Alafu embu tafuta uzi wangu wa "wa dalili za mtu anayekaribia kufa" soma alafu nitakuja kukushauri kitu cha maana.
 
Mwanadamu wa zama hizi hatakuwa na sababu yeyote ya msingi mbele ya Mungu katika siku ya Qiyama kuwa ujumbe wa Mungu haukumfikia.

Ujumbe wa Mungu unawafikia watu ila watu wanaukejeli. Mungu yeye anahakikisha anatutumizia mahitaji yetu yote yanayotufanya tuishi hapa duniani kwa muda aliotupangia kuishi. Kisha nasi atakwenda kutuuliza ikiwa tuliitikia ujumbe wake na kumuamini hapa duniani kabla ya kufa kwetu?

Siku ya Qiyama ,yule ambae alikufa hali ya kuwa sio miongoni mwa walioamuamini Mungu na mitume yake,atatamani lau kama angeumbwa mchanga ili asikumbane na maswali ya Mola wake.

Amini kwamba hakuna hasara kubwa kwa mwanadamu kama hasara ya kufa hali ya kuwa hakumuamini mola wake na mitume yake. Hasara hii ni ya kwenda kuishi ndani ya moto wa jahannam milele ,anaungua pasi na kufa. Jaribu kufikiria maumivu yake na Mungu anasema kila ngozi zao zitakapoungua atakuwa anazirudisha upya ili waendelee kuionja adhabu chungu.

Imagine unaungua mwili mzima na hufi.
MUNGU ni katili sana.?
 
Bado anakupenda na anakuhitaji pia ni wewe tu ndiyo ulimtelekeza. Alafu embu tafuta uzi wangu wa "wa dalili za mtu anayekaribia kufa" soma alafu nitakuja kukushauri kitu cha maana.
afu mkuu unatuchanganya sana. unaongea vitu hadi hatukuelewi. hatujui upo upande wa Mungu au shetani
unaelekeza hadi ushetani ,pia unaelekeza mambo ya Nuru
hebu chagua upande

Ufu 3:15-16​

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
 
afu mkuu unatuchanganya sana. unaongea vitu hadi hatukuelewi. hatujui upo upande wa Mungu au shetani
unaelekeza hadi ushetani ,pia unaelekeza mambo ya Nuru
hebu chagua upande

Ufu 3:15-16​

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
Inategemea unanipima kutoka pembe ipi,na pia unasahau kupima uwezo wako wa macho (unaweza kudhani unaona sawa sawa kumbe bado).
 
Nianze na salamu za mwaka huu wa 2024 kwa wanajukwaa wote,nilibanwa kidogo na shughuli nyingi mwaka huu ila sasa nimerudi tena jukwaani.

Tunaanza; Tambua kuwa nafsi ndiyo sehemu ya mtu iliyobeba hatma yake yote awapo hapa duniani. Kazi ya roho ni kutia nguvu tu vilivyopo kwenye nafsi ili mtu aweze kuishi katika kiwango chake cha maisha.

Sasa, ili uweze kufanikiwa katika haya maisha na watu wote ambao tayari wameshafanikiwa, ni lazima uwe na uwezo mkubwa wa ku control (kuendesha) nafsi za wengine ili zikutumikie kwa vipawa vilivyopo ndani yake ndipo ufanikiwe.

Namaanisha kuwa unaweza kuishi hapa duniani na ukawa unatumikia watu wengine maisha yako yote kwa nafsi yako kukamatwa na kuendeshwa na watu hao.

Hapa tunazungumzia masuala ya kiroho. Katika ulimwengu wa kiroho upande wa nuru na upande wa giza,wote huvuta watu,kuwafunga na kuwaendesha kwa namna watakavyo wao ili wao waweze kufikia hatma zao.

Tuangalie mifano kidogo, wafanyabiashara; ili bidhaa zao ziuzike lazima wavute na ku control nafsi za watu, usije ukaona unapendelea kununua bidhaa zako sehemu fulani ukafikiri ni kawaida tu!,nafsi imekamatwa hapo. Watu wengine ni wanasiasa, kwenye mipira,kwenye uongozi, kwenye kuvuta wateja kwenye taasisi na mashirika mbalimbali hususani sekta binafsi na wahubiri wakubwa.

Wote hawa wakikosa nguvu za kuvuta na ku control nafsi za watu ili ziwatumikie,kamwe hawataweza kufanikiwa!. Sasa kazi itaanzia hapa kwa kujifunza vitu wanavyotumia kuvuta na ku control nafsi za watu katika pande zote za nuru na za giza. Vitu vinavyotumika ni;

1. Kiapo (maneno yenye ahadi kamili).

2. Sadaka (fedha au chochote kwa lengo maalumu).

3. Maneno/Maombi (yenye roho ndani yake).

4. Kiwakilishi chako chochote (mfano nguo au picha).

Nitakuwa nachambua kimoja kimoja kadri muda utakavyokuwa unapatikana na ninaimani watu wengi sana watajikomboa kutoka kutumikishwa na watu wengine na watajua mengi sana na siri nyingi sana na kuwa huru kuendesha maisha yao.

NB; Hakuna nafsi yoyote ya mwanadamu isiyokuwa na thamani,kama unataka kuamini we nenda kwa Mungu au kwa shetani ukiwa hali yoyote uone kama atakukataa!,na ukifuata masharti yao kikamilifu utakuwa milionea pasipo kujali ulikuwa katika hali gani ya nafsi yako.
Mkuu nimekuelewa sana, tuachane na mada, una buku ya karibu hapo?
 
kama makamanda wa CDM huwa wanacontrol mihemko yako kwenye kuporomosha matusi ya nguvu tu, baada ya kukurupushwa kwa hoja nzito nzito kutoka kwa vijana makini sana wa kazi wa CCM [emoji205]
Jifunze kutembelea nyota ya majira na nyakati ili kiu yako ya uongozi iwe rahisi na fupi.
 
Jifunze kutembelea nyota ya majira na nyakati ili kiu yako ya uongozi iwe rahisi na fupi.
mambo ya kishirikina staki kabisaa bora hawa wanainchi ambao wananipenda sana na mimi nawafanyia kazi yao ya maendeleo vizur na kwa bidii sana, waniambe sasa mh.tafuta kazi ingine 🐒

hata hiyo,
Mungu ni mwema sana kati yangu na wanainchi, daima tunaambatana na kuandamana pamoja katika kila hatua ya kufikia malengo ya vipaumbele vyao ambayo tulipanga na kuamua kuyafikia pamoja na mimi 🐒

hii ndio muhimu zaidi kwangu, na si kwamba napuuza ushauri wako ilia nauchukua na kuufanya kama fursa ya kujifunza zaidi mambo haya ya dunia. si unajua tena Elimu haina mwisho 🐒
 
Back
Top Bottom