Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Ni kama mfumo wa demoklasia ila huu ni wa aina yake ambayo maamuzi yake hayategemei idadi (kua wengi wape)

Ni haki bin haki ilimradi unastahili.. *
asa nibora anitishe au anisibitishie uwepo wake kuliko kuniacha ili badae anichome moto.!?
 
alieumba kilakitu.! muweza wayote katutelekeza huku dunia kasepa zake kaacha watu wake watudanganye.! kilakitu kimekaa kiuongo uongo tu duniani.!
Bado anakupenda na anakuhitaji pia ni wewe tu ndiyo ulimtelekeza. Alafu embu tafuta uzi wangu wa "wa dalili za mtu anayekaribia kufa" soma alafu nitakuja kukushauri kitu cha maana.
 
MUNGU ni katili sana.?
 
Bado anakupenda na anakuhitaji pia ni wewe tu ndiyo ulimtelekeza. Alafu embu tafuta uzi wangu wa "wa dalili za mtu anayekaribia kufa" soma alafu nitakuja kukushauri kitu cha maana.
afu mkuu unatuchanganya sana. unaongea vitu hadi hatukuelewi. hatujui upo upande wa Mungu au shetani
unaelekeza hadi ushetani ,pia unaelekeza mambo ya Nuru
hebu chagua upande

Ufu 3:15-16​

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
 
Inategemea unanipima kutoka pembe ipi,na pia unasahau kupima uwezo wako wa macho (unaweza kudhani unaona sawa sawa kumbe bado).
 
Mkuu nimekuelewa sana, tuachane na mada, una buku ya karibu hapo?
 
kama makamanda wa CDM huwa wanacontrol mihemko yako kwenye kuporomosha matusi ya nguvu tu, baada ya kukurupushwa kwa hoja nzito nzito kutoka kwa vijana makini sana wa kazi wa CCM [emoji205]
Jifunze kutembelea nyota ya majira na nyakati ili kiu yako ya uongozi iwe rahisi na fupi.
 
Jifunze kutembelea nyota ya majira na nyakati ili kiu yako ya uongozi iwe rahisi na fupi.
mambo ya kishirikina staki kabisaa bora hawa wanainchi ambao wananipenda sana na mimi nawafanyia kazi yao ya maendeleo vizur na kwa bidii sana, waniambe sasa mh.tafuta kazi ingine πŸ’

hata hiyo,
Mungu ni mwema sana kati yangu na wanainchi, daima tunaambatana na kuandamana pamoja katika kila hatua ya kufikia malengo ya vipaumbele vyao ambayo tulipanga na kuamua kuyafikia pamoja na mimi πŸ’

hii ndio muhimu zaidi kwangu, na si kwamba napuuza ushauri wako ilia nauchukua na kuufanya kama fursa ya kujifunza zaidi mambo haya ya dunia. si unajua tena Elimu haina mwisho πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…