Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Nakubaliana na wewe kabisa hizi habari ni za kutungwa na zilifichwa ila kwa Sasa zinaanza kufunguka na watu wanaanza kuelewa hizi story

Kiufupi,Mungu ni mawazo ya Binadamu tu , Bila Binadamu hakuna Mungu
Naam.

Tatizo kuna watu wamekariri sana hizo stories mpaka contradictions za wazi kabisa wanashindwa kuziona.

Ni kama vile wana cognitive dissonance kubwa sana hata wakigundua Mungu hayupo wataendelea kudai yupo.

Kwa sababu maisha yao yote yamejengwa kwenye nguzo ya kuamini Mungu yupo, ukiiondoa nguzo hiyo, unayumbisha maisha yao yote.

Ukifuatilia majibizano nao hapa unaona ama wana uwezo mdogo wa kufikiri kiasi kwamba hawaoni hizo contradictions, ama wana bias za kiutamaduni na cognitive dissonance kiasi kwamba wanaona hizo contradictions, ila wanazipotezea na kutafuta stories za kuzi justify imani zao tu.
 
Tatizo lako huelewi tofauti kati ya mimi kuunda taswira ya Mungu ninayemtaka mimi na mimi kutumia tabia za Mungu mlizozisema nyie wenyewe mnaomuamini Mungu na kuonesha logical inconsistencies na contradictions tu.

Hakuna niliopoweka taswira na tabia za Mungu ninazotaka mimi. Nimenukuu tu tabia za Mungu ambazo zinatajwa na waumini. Nikaonesha makosa ya dhana ya Mungu huyo kuwepo.

Mimi si niliyesema Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Waumini ndiyo mmesema hivyo.

Mimi ninachosema ni kwamba, kama kweli Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, Mungu huyo kuumba ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwepo ni contradiction.

Kwanza kabisa, umeelewa contradiction hiyo?

Unasema Mungu ni mwenye huruma kubwa.

Kwa nini Mungu mwenye huruma kubwa huyo aumbe dunia inayoweza kuwa na ubaya mkubwa kama tunaouona, ikiwa aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya kabisa?

Kwenye jibu lako la kwamba Mungu katupa mtihani. Mungu anayegawa kila kitu, ikiwa ni pamoja na kugawa uwezo wa kumuamini, kwa nini ahitaji kutupa mtihani wa kutupima tunavyomuamini?

Walimu wanatupa mitihaninkwa sababu hawajui uwezo wetu, wanataka kutupima. Mungu anayejua kila kitu, ambaye ndiye katupa uwezo wa kumuamini au kutomuamini, anatupa mtihani ili iweje?

Yani yeye anajua kila kitu, anajua tutakachofanya kabla hatujakifanya. Yeye ndiye katupa uwezo wa kumuamini au kutomuamini, kwa nini aone kutupa mtihani wa mabaya mengi kuwa ni kitu muhimu?

Unaelewa kuwa Mungu huyo unayemsema ni sadistic, si mwenye huruma yote? Huyo ni Mungu anayefurahia maumivu ya viumbe, kakaa anaangakia Simba anavyomka Swala, anafurahia movie aliyoitengeneza, wakati angeweza kutengeneza movie ambayo Simba na Swala wanakaa pamoja poa tu.

Yani Mungu huyo anakunyima neema ya kumjua, halafu anakupa mtihani wa kumjua, halafu ukishindwa kumjua, anakutupa motoni milele?

Unajua huyo Mungu anakuchoma motoni milele kwa kosa alilolisababisha yeye, wewe hata hujaomba kuzaliwa kwenye ulimwengu ambao yeye kauumba ambao unaruhusu mabaya, umejikuta umezaliwa tu?

Unajua kwamba kati ya Mungu aliyeumba ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwepo na mtu aliyejikuta tu kazaliwa katika huo ulimwengu, akafanya mabaya, huyo Mungu ndiye ana kosa kubwa hapo, kwa sababu yeye ndiye muumbaji wa ulimwengu unaoruhusu mabaya, bila yeye kuuumba ulimwengu unaoruhusu mabaya hakuna kiumbe ambacho kingeweza kufanya baya lolote?
Kuumba ulimwengu ambao unajumuisha mema na mabaya ni matakwa yake yeye Mungu....Ametaka iwe hivyo na ikaea hivyo kutokana na elimu na ujuzi wake.

Angetaka wanaadamu wote tuwe wema tu bila ya kufanya maovu angetuumba mithili ya malaika ila hakutaka iwe hivyo.


Malaika amewaumba wakiwa na tabia ya kufanya mema tu,hawana matamanio ya kimwili, hawali wala hawanywi, hawaasi amri zake na wala hawafanyi maovu.

Wanaadamu na majini amewaumba wakiwa na uwezo wa kufanya mema na maovu,kutii amri zake na kuasi amari zake, wana matamanio ya kimwili , wanakula na wanakunywa.

MUNGU hapangiwi anafanya lile analolitaka kwa elimu na hekima zake....ila Kiranga unalazimisha Mungu awe ama atende mambo yake vile yanavyokutuma matamanio ya nafsi yako.
 
Unaelewa kwamba, kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, habari njema za Mungu kuhubiriwa "karibu" dunia yote ni ukatili mkubwa?

Kwa nini Mungu huyo hakuweka habari njema zote kwenye DNA zetu kiasi cha kwamba watu wamuelewe Mungu bika kuhitaji mahubiri?

Mahubiri yana matatizo ya tafsiri, matatizo ya lugha, matatizo ya siasa, matatizo mengi sana.

Pia kuna mahubiri kuhusu maelfu na maelfu ya miungu, kupitia maelfu na maelfu ya dini, watu hawajui washije lipi.

Huoni kuwa hilo linaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo? Huoni Mungu huyo angekuwepo, angeweka habari zake zote kwenye DNA ya kila kiumbe kwa njia ambayo kila kiumbe kingemjua, kingemjua jwa ukamilifu, bila utata na bila ya kuhitaji mahubiri?
MUNGU ameeleza wazi kuwa amemuumba mwanadamu na kumuweka katika dunia hii ili iwe kama mtihani kwake..ndio maana ameumba kifo na siku ya mwisho (siku ya hukumu) ili wafu watakapofufuliwa walipwe kwa yale waliyoyatenda hapa duniani.

Hapa duniani tupo kwenye chumba cha mtihani, ili Mungu asiwe muonevu akaamua atuletee Mitume na vitabu vyake vitukufu ili vitupe maelekezo jinsi ya kuufaulu huu mtihani.


Mtihani huu una muda maalumu kwa kila mtahiniwa na kengele itakapolia kwa maana ya (KIFO) utatakiwa kuacha kuandika chochote katika karatasi la matendo yako....Mtihani wako unakusanywa na kurudishwa kwa Mungu ili usubiri siku ya hukumu (Qiyama) usahihishwe na wale watakaofaulu wapewe zawadi na wale watakaofeli waadhibiwe.

Maelekezo unayotaka yawe kwenye DNA yako yapo kwenye Vitabu vitakatifu, Mungu amekupa macho ,masikio na akili kuweza kuchanganua mambo ili uweze kuufaulu huu mtihani.


Msiomuamini Mungu ni sawa na yule mwanafunzi aliyeacha kuhudhuria masomo darasani na akawapuuza walimu , na bado akajipa moyo kuwa hakutakuwa na mtihani wala ukifaulu ama kufeli hutaadhibiwa.

Siku ya mtihani inafika anajikuta hana ajualo amebaki kutoa macho huku akiwa haamini kuwa atakutana na mtihani.
 
Kuumba ulimwengu ambao unajumuisha mema na mabaya ni matakwa yake yeye Mungu....Ametaka iwe hivyo na ikaea hivyo kutokana na elimu na ujuzi wake.

Angetaka wanaadamu wote tuwe wema tu bila ya kufanya maovu angetuumba mithili ya malaika ila hakutaka iwe hivyo.


Malaika amewaumba wakiwa na tabia ya kufanya mema tu,hawana matamanio ya kimwili, hawali wala hawanywi, hawaasi amri zake na wala hawafanyi maovu.

Wanaadamu na majini amewaumba wakiwa na uwezo wa kufanya mema na maovu,kutii amri zake na kuasi amari zake, wana matamanio ya kimwili , wanakula na wanakunywa.

MUNGU hapangiwi anafanya lile analolitaka kwa elimu na hekima zake....ila Kiranga unalazimisha Mungu awe ama atende mambo yake vile yanavyokutuma matamanio ya nafsi yako.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuruhusu mabaya ni logical contradiction.

Yani huyo Mungu kidhahania tu yeye mwenyewe kashajipinga uwepo wake kabla mimi sijapinga.

Unaelewa hilo?
 
Unaelewa kwamba, kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, habari njema za Mungu kuhubiriwa "karibu" dunia yote ni ukatili mkubwa?

Kwa nini Mungu huyo hakuweka habari njema zote kwenye DNA zetu kiasi cha kwamba watu wamuelewe Mungu bika kuhitaji mahubiri?

Mahubiri yana matatizo ya tafsiri, matatizo ya lugha, matatizo ya siasa, matatizo mengi sana.

Pia kuna mahubiri kuhusu maelfu na maelfu ya miungu, kupitia maelfu na maelfu ya dini, watu hawajui washije lipi.

Huoni kuwa hilo linaonesha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo? Huoni Mungu huyo angekuwepo, angeweka habari zake zote kwenye DNA ya kila kiumbe kwa njia ambayo kila kiumbe kingemjua, kingemjua jwa ukamilifu, bila utata na bila ya kuhitaji mahubiri?
Maswali yako mengi unayouliza na unayorudia kuuliza sitakueleza kwa kumtumia sayansi psychology au logic Sasa ivi naomba Nitumie BUSARA(WISDOM);

KATIKA ULIMWENGU WA KIROHO NDIO KWENYE SIRI YA HAYA MASWALI NA CONTRADICTION ZOTE

Mkuu unatakiwa uelewa misingi mikuu na namna binadamu aliyoubwa na misingi hiyo inatendaje kazi.

Kama unavyoona binadamu muundo wake umejumuishwa na vitu hivi;

A).LEVEL 1.
1. Mifupa(skeleton)
2. Nyama(skeleton muscles)
3. Mishipa ya fahamu(nerve brain & spinal)

B). LEVEL 2.
1. Mwili (human body)
Mwili unahusisha viungo vyote vya mwili tunavyoviona kwa macho na ndio vinavyotuwezesha kuishi kwenye dunia(designed to conform to the planet earth, ukipelekwa planet nyingine itatokea shida).

2. Nafsi(soul)
Nafsi inahusika na fikra upeo, utashi, hiyari ya mtu. Hapa ndipo kuna minds(conscious unconscious na subconscious)

Katika nafsi, ndio pana daraja/link kati ya ulimwengu wa mwili na wa rohoni na hiyo link ni kama chujio ina filter na ku-select mambo yakuwasilishwa rohoni

Yaani kama hauna imani na unachokiomba, unamashaka, hakuna nia ya dhati, unajaribu(inamaana hauna uhakika). Kwa lugha nyingine yaani hauko serious na Ukitakacho, taarifa zako hazitavuka kwenda ulimwengu wa kiroho yaani hilo sahau kabisa.

SOMA HAPA;

Na ndio maana zamani zilikuwa zinatolewa sadaka za kuchinja wanyama sometimes hata mtu anatolewa kafara moja ya lengo kuu ni kumuandaa kisaikolojia mhusika hata kama alikua anatania automatically anaona kumbe haya mambo yako serious hapo atakua makini sana Sasa mtu akishakua kwenye hali hii imani yake inaongezeka katika conscious mind yake (na hata iwe kidogo tu inaweza kuhamisha mlima kama huyo mtu ataamuru hivyo)

Hivyo taarifa zitapokelewa na subconscious mind na hii subconscious mind haipokei tu taarifa ni mpaka uishawishi... Hadi apo taarifa zinakua zimepata kibali kuingia ulimwengu wa kiroho Sasa hapa kwenye hii Junction kuna wadukuzi wanaweza waka-hack taarifa zikaenda kusiko takiwa hii itatokea tu kama hauna ulinzi au nguvu kiroho... Na kwanini wahaki ni kwasababu kuna ulimwengu wa Roho wa NURU na wa giza washirikina wanaweza wakakwamisha maombi yako au baraka zako (nyota)

Kwa wale wanaotegemea binadamu wenzao/waganga wa jadi wa ramli hiki ndio huwa kinafanyika (mechanism behind katika tasnia ya uganga. Ili taarifa zako zimfikie shetani ajue namna ya kukusaidia ni lazima wewe mhusika uziruhusu sasa unaziruhusu vipi na hauna imani ya kutosha ndio yanatengenezwa mazingira ya wewe kua serious na jambo unalolitaka(ndio imani yenyewe hiyo) Mganga naye pasipo kujua anaamrishwa tu na mapepo/majini anajikuta anakupa masharti, ugumu na urahisi wa masharti utategemea na uzito/ugumu wa moyo wako kuamini kama jambo lako ni kubwa na unawaziwasi Mganga hataliweza basi majini ya mganga yanamuelekeza mganga kuwa huyo itatakiwa amtoe mama yake(kwanini mama? wewe mwenyewe fikilia kati ya mama na baba yupi anauzito kwako yupi akifa utaumia zaidi)

Sasa mganga akikutajia masharti hayo lazima medula ublongata itikisike na lengo linakua limetimia kuwa wewe mwenye shida nafsi yako imefanikisha kuwasilisha taarifa katika ulimwengu wa Roho wa giza.

Sasa kwa upande wa MUNGU ulimwengu wa ROHO WA NURU aliboresha/ali-update namna ya kuwasiliana nae. Alitambua kua kuna kuna watu watakua na hali tofauti masikini, matajili wengine ni wagumu tu (DNA kizazi cha kwanza kinaweza kua kipore kikarimu lakini kwasababu kunamuungiliano vizazi vinavyofaatia vitakengeuka katika vinasaba(Genetic Segregation))

Hivyo basi MUNGU akaja na mpango wa YESU (Hii ni kitaalumu sana ndio maana watu wengi pasipo uwezo wa roho mtakatifu hawaelewi na wanaweza wakaendelea kubisha, very very technical).

Katika hii new testament au new Updated and simplified version) hatuhitaji tena mambo ya kafara. Anatakiwa YESU. Kwanini kwasababu Yesu amekuja na ulinzi security patch level ambayo ukituma maombi kwa MUNGU BABA kwa kuambatanisha na jina la YESU basi taarifa hiyo katika subconscious mind haitadukuliwa na wadukuzi/hacker katika ile link ya kuingia ulimwengu wa Roho wa Nuru.

Sasa Yesu Aliijua kua kuna hii (subconscious mind) link kati ya duniani na Rohoni na Alijua kua mtu ukiwa unajitosheleza kwa mali afya nk kisaikolokjia utakua umebweteka/comfortable hivyo hautakua na nguvu au imani yakuishawishi subconscious mind yako ukuunganishe na ulimwengu wa rohoni.

Na ndio maana alipoulizwa na matajili kua wao wanatekeleza mapenzi ya MUNGU je wafanye nini cha ziada Yesu akawaambia Wauze mali zao zote, kisaikolojia lengo linakua ni hilo ukikosa mali huwezi kua comfortable na lazima uwajibike kwa majukumu yatakayokukabili na utakua na imani.

Na ndio maana alisema ni vigumu kwa tajiri kuingia ufalme wambinguni kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Na saikolojia hii hii ndio inaweza kuelezea kwanini watoto wamatajili walio wengi wanakuaga na changamoto.


SASA KATIKA HAYO MATABAKA MAWILI (MWILI NA NAFSI) NDIO YANACHUNGUZIKA KIMANTIKI NA KISAYANSI.

ILA HILI TABAKA LA KIROHO NI MFUMO TOFAUTI KABISA UFAHAMU WETU KIULIMWENGUNI MWENGUNI AIDHA IWE UNIVERSE AMA MULTIVERSE HAUWEZI KUNG'AMUA.

KWAHIYO KINACHOTAKIWA NI UAMINI(IMANI) TU KAMA NI RIZIKI MILANGO ITAFUNGUKA, UFAHAMU UTAONGEZEKA, KAMA NI KUVUMBUA TECHNOLIGIA MPYA ITAVUMBUKA,NAKADHALIKA LAKINI KUJUA IMEKUAJEKUAJE WALA USIPOTEZE MUDA UTAJUA UKIFIKA HUKOHUKO MUDA UKIFIKA.


3. Roho (spirit(Holly spirit)
HUKU KUKO ABOVE MY PAYCHECK.

Sasa mkuu Kiranga mimi naona huwezi kutumia elimination method wakati kuna kigezo cha kiroho hujakizingatia.
Na isitoshe kwani mwanasayansi yeye ndio nani Yani!? hadi aseti standards za ulimwengu huu, ye si ni sehemu ya uumbaji wa MWENYEZI MUNGU. kama kuna vitu viko nje ya ufahamu wetu wakubali yaishe... Kama watakomaa basi watakomaa mpaka watakua skeleton makabbulini.

Mwenye kukosoa, kuongeza, kuuliza Karibuni sana.
 
Katika ulimwengu wa kimwili utaona kama watu wanamtindio wa ubongo mimi mwenyewe nikishafikia hatua hiyo na Nilikuwa nikiona msomi anaangaika na hizi dini nilikua namuonea huruma sana yaani nasikitika nasema huyu elimu haijamkomboa mara nyingi nilikua nahisi hawa ndio wale wasomi waliofika level ya juu ya elimu kwa kukalili...

Kwasababu ulikua hainiingi akilini kabisa kua mtu msomi mzima unashindwaje kuona mazaifu muda mwingine unakutana na movie au novel imetungwa imesimama/imenyooka kushinda hata habari za kwenye bitabu vya dini(najua kuna vitabu vimechakachuliwa na wanadamu walidhani wanamsaidia Mungu kumbe wanaharibu na wameleta contradiction katika jamii.),

Lakini/kumbe kuna exposure nyingine /ulimwengu mwingine ambao ni Ulimwengu wa Kiroho.

Sasa mkuu Kiranga bila shaka hata uchawi huamini au unaamini?
Ukifuatilia majibizano nao hapa unaona ama wana uwezo mdogo wa kufikiri kiasi kwamba hawaoni hizo contradictions, ama wana bias za kiutamaduni na cognitive dissonance kiasi kwamba wanaona hizo contradictions, ila wanazipotezea na kutafuta stories za kuzi justify imani zao tu.
 
Maswali yako mengi unayouliza na unayorudia kuuliza sitakueleza kwa kumtumia sayansi psychology au logic Sasa ivi naomba Nitumie BUSARA(WISDOM);

KATIKA ULIMWENGU WA KIROHO NDIO KWENYE SIRI YA HAYA MASWALI NA CONTRADICTION ZOTE

Mkuu unatakiwa uelewa misingi mikuu na namna binadamu aliyoubwa na misingi hiyo inatendaje kazi.

Kama unavyoona binadamu muundo wake umejumuishwa na vitu hivi;

A).LEVEL 1.
1. Mifupa(skeleton)
2. Nyama(skeleton muscles)
3. Mishipa ya fahamu(nerve brain & spinal)

B). LEVEL 2.
1. Mwili (human body)
Mwili unahusisha viungo vyote vya mwili tunavyoviona kwa macho na ndio vinavyotuwezesha kuishi kwenye dunia(designed to conform to the planet earth, ukipelekwa planet nyingine itatokea shida).

2. Nafsi(soul)
Nafsi inahusika na fikra upeo, utashi, hiyari ya mtu. Hapa ndipo kuna minds(conscious unconscious na subconscious)

Katika nafsi, ndio pana darana/link kati ya ulimwengu wa mwili na wa rohoni na hiyo link ni kama chujio ina filter na ku-select mambo yakuwasilishwa rohoni

Yaani kama hauna imani na unachokiomba, unamashaka, hakuna nia ya dhati, unajaribu(inamaana hakuna uhakika). Kwa lugha nyingine yaani hauko serious na Ukitakacho, taarifa zako hazitavuka kwenda ulimwengu wa kiroho yaani hilo sahau kabisa.

SOMA HAPA;

Na ndio maana zamani zilikuwa zinatolewa sadaka za kuchinja wanyama sometimes hata mtu anatolewa hafara moja ya lengo kuu ni kumuandaa kisaikolojia mhusika hata kama alikua anatania automatically anaona kumbe haya mambo yako serious hapo atakua makini sana Sasa mtu akishakua kwenye hali imani yake inaongezeka katika conscious mind yake (na hata iwe kidogo tu inaweza kuhamisha mlima kama huyo mtu ataamuru hivyo)

Hivyo taarifa zitapokelewa na subconscious mind na hii subconscious mind haipokei tu taarifa ni mpaka uishawishi... Hadi apo taarifa zinakua zimepata kibali kuingia ulimwengu wa kiroho Sasa hapa kwenye hii Junction kuna wadukuzi wanaweza waka-hack taarifa zikaenda kusiko takiwa hii itatokea tu kama hauna ulinzi au nguvu kiroho... Na kwanini wahaki ni kwasababu kuna ulimwengu wa Roho wa NURU na wa giza washirikina wanaweza wakakwamisha maombi yako au baraka zako (nyota)

Kwa wale wanaotegemea binadamu wenzao/waganga wa jadi wa ramli hiki ndio huwa kinafanyika (mechanism behind katika tasnia ya uganga. Ili taarifa zako zimfikie shetani ajue namna ya kukusaidia ni lazima wewe mhusika uziruhusu sasa unaziruhusu vipi na hauna imani ya kutosha ndio yanatengenezwa mazingira ya wewe kua serious na jambo unalolitaka(ndio imani yenyewe hiyo) Mganga naye pasipo kujua anaamrisha tu na mapepo/majini anajikuta anakupa masharti, ugumu na urahisi wa masharti utategemea na uzito/ugumu wa moyo wako kuamini kama jambo lako ni kubwa na unawaziwasi Mganga hataliweza basi majini ya mganga yanamuelekeza mganga kuwa huyo itatakiwa amtoe mama yake(kwanini mama? wewe mwenyewe fikilia kati ya mama na baba yupi anauzito kwako yupi akifa utaumia zaidi)

Sasa mganga akikutajia masharti hayo lazima medula ublongats itikisike na lengo linakua limetimia kuwa wewe mwenye shida nafsi yako imefanikisha kuwasilisha taarifa katika ulimwengu wa Roho wa giza.

Sasa kwa upande wa MUNGU ulimwengu wa ROHO WA NURU aliboresha/ali-update namna ya kuwasiliana nae. Alitambua kua kuna kuna watu watakua na hali tofauti masikini, matajili wengine ni wagumu tu (DNA kizazi cha kwanza kinaweza kua kipore kikarimu lakini kwasababu kunamuungiliano vizazi vinavyofaatia vitakengeuka katika vinasana(Genetic Segregation))

Hivyo basi MUNGU akaja na mpango wa YESU (Hii ni kitaalumu sana ndio maana watu wengi pasipo uwezo wa roho mtakatifu hawaelewi na wanaweza wakaendelea kubisha, very very technical).

Katika hii new testament au new Updated and simplified version) hatuhitaji tena mambo ya kafara. Anatakiwa YESU. Kwanini kwasababu Yesu amekuja na ulinzi security patch level ambayo ukituma maombi kwa MUNGU BABA kwa kuambatanisha na jina la YESU basi taarifa hiyo katika subconscious mind haitadukuliwa na wadukuzi/hacker katika ile link ya kuingia ulimwengu wa Roho wa Nuru.

Sasa Yesu Aliijua kua kuna hii (subconscious mind) link kati ya duniani na Rohoni na Alijua kua mtu ukiwa unajitosheleza kwa mali afya nk kisaikolokjia utakua umebweteka/comfortable hivyo hautakua na nguvu au imani yakuishawishi subconscious mind yako ukuunganishe na ulimwengu wa rohoni.

Na ndio maana alipouliza na matajili kua wao wanatekeleza mapenzi ya MUNGU je wafanye nini cha ziada Yesu akawaambia Wauze mali zao zote, kisaikolojia lengo linakua ni hilo ukikosa mali huwezi kua comfortable na lazima uwajibike kwa majukumu yatakayokukabili na utakua na imani.

Na ndio maana alisema ni vigumu kwa tajiri kuingia ufalme wambinguni kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Na saikolojia hii hii ndio inaweza kuelezea kwanini watoto wamatajili walio wengi wanakuaga na changamoto.


SASA KATIKA HAYO MATABAKA MAWILI (MWILI NA NAFSI) NDIO YANACHUNGUZIKA KIMANTIKI NA KISAYANSI.

ILA HILI TABAKA LA KIROHO NI MFUMO TOFAUTI KABISA UFAHAMU WETU KIULIMWENGUNI MWENGUNI AIDHA IWE UNIVERSE AMA MULTIVERSE HAUWEZI KUNG'AMUA.

KWAHIYO KINACHOTAKIWA NI UAMINI(IMANI) TU KAMA NI RIZIKI MILANGO ITAFUNGUKA, UFAHAMU UTAONGEZEKA, KAMA NI KUVUMBUA TECHNOLIGIA MPYA ITAVUMBUKA,NAKADHALIKA LAKINI KUJUA IMEKUAJEKUAJE WALA USIPOTEZE MUDA UTAJUA UKIFIKA HUKOHUKO MUDA UKIFIKA.


3. Roho (spirit(Holly spirit)
HUKU KUKO ABOVE MY PAYCHECK.

Sasa mkuu Kiranga mimi naona huwezi kutumia elimination method wakati kuna kigezo cha kiroho hujakizingatia.
Na isitoshe kwani mwanasayansi yeye ndio nani Yani!? hadi aseti standards za ulimwengu huu, ye si ni sehemu ya uumbaji wa MWENYEZI MUNGU. kama kuna vitu viko nje ya ufahamu wetu wakubali yaishe... Kama watakomaa basi watakomaa mpaka watakua skeleton makabbulini.

Mwenye kukosoa, kuongeza, kuuliza Karibuni sana.
Unajua kwamba ukishatumia lugha, maandishi, alphabet, numbers,ushatumia logic?

Sasa, wewe unaniambia maswali yangu utanijibu bila kutumia logic, halafu unatumia lugha, maandishi, alphabet, numbwrs, unapanga mawazo kunijibu.

Unaelewa kuwa ushatumia logic hapo?
 
Katika ulimwengu wa kimwili utaona kama watu wanamtindio wa ubongo mimi mwenyewe nikishafikia hatua hiyo na Nilikuwa nikiona msomi anaangaika na hizi dini nilikua namuonea huruma sana yaani nasikitika nasema huyu elimu haijamkomboa mara nyingi nilikua nahisi hawa ndio wale wasomi waliofika level ya juu ya elimu kwa kukalili...

Kwasababu ulikua hainiingi akilini kabisa kua mtu msomi mzima unashindwaje kuona mazaifu muda mwingine unakutana na movie au novel imetungwa imesimama/imenyooka kushinda hata habari za kwenye bitabu vya dini(najua kuna vitabu vimechakachuliwa na wanadamu walidhani wanamsaidia Mungu kumbe wanaharibu na wameleta contradiction katika jamii.),

Lakini/kumbe kuna exposure nyingine /ulimwengu mwingine ambao ni Ulimwengu wa Kiroho.

Sasa mkuu Kiranga bila shaka hata uchawi huamini au unaamini?
Roho ni nini na uchawi ni nini?

Unathibitishaje roho ipo? Unathibitishaje uchawi upo kweli?
 
Watu washaaribu uzi Mada nyingine kinachojadiliwa kingine
 
Mkuu,

Mungu huyo mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Huyo Mungu, kidhahania, ni Mungu mwenye tabia poa sana huyo Mungu ni wa peace and love, hana tatizo na kiumbe chochote huyo, yani fikiria wema wowote unaoweza kufanyika, wema wake ni mara infinity ya huo, angekuwa kweli yupo, asingeumba ulimwengu unaoruhusu njaa iwepo.

Huyo Mungu angekuwa yupo na kaumba ulimwengu, mabaya yote yasingewezekana kufanyika, kila kiumbe kingemjua Mungu bila utata. Ulimwengu usingeweza kuwa na tatizo lolote.

Hivyo, kuwepo kwa njaa ni uthibitisho huyo Mungu hayupo.
Kiranga (tatizo, balaa)
 
Maswali yako mengi unayouliza na unayorudia kuuliza sitakueleza kwa kumtumia sayansi psychology au logic Sasa ivi naomba Nitumie BUSARA(WISDOM);

KATIKA ULIMWENGU WA KIROHO NDIO KWENYE SIRI YA HAYA MASWALI NA CONTRADICTION ZOTE

Mkuu unatakiwa uelewa misingi mikuu na namna binadamu aliyoubwa na misingi hiyo inatendaje kazi.

Kama unavyoona binadamu muundo wake umejumuishwa na vitu hivi;

A).LEVEL 1.
1. Mifupa(skeleton)
2. Nyama(skeleton muscles)
3. Mishipa ya fahamu(nerve brain & spinal)

B). LEVEL 2.
1. Mwili (human body)
Mwili unahusisha viungo vyote vya mwili tunavyoviona kwa macho na ndio vinavyotuwezesha kuishi kwenye dunia(designed to conform to the planet earth, ukipelekwa planet nyingine itatokea shida).

2. Nafsi(soul)
Nafsi inahusika na fikra upeo, utashi, hiyari ya mtu. Hapa ndipo kuna minds(conscious unconscious na subconscious)

Katika nafsi, ndio pana darana/link kati ya ulimwengu wa mwili na wa rohoni na hiyo link ni kama chujio ina filter na ku-select mambo yakuwasilishwa rohoni

Yaani kama hauna imani na unachokiomba, unamashaka, hakuna nia ya dhati, unajaribu(inamaana hakuna uhakika). Kwa lugha nyingine yaani hauko serious na Ukitakacho, taarifa zako hazitavuka kwenda ulimwengu wa kiroho yaani hilo sahau kabisa.

SOMA HAPA;

Na ndio maana zamani zilikuwa zinatolewa sadaka za kuchinja wanyama sometimes hata mtu anatolewa hafara moja ya lengo kuu ni kumuandaa kisaikolojia mhusika hata kama alikua anatania automatically anaona kumbe haya mambo yako serious hapo atakua makini sana Sasa mtu akishakua kwenye hali imani yake inaongezeka katika conscious mind yake (na hata iwe kidogo tu inaweza kuhamisha mlima kama huyo mtu ataamuru hivyo)

Hivyo taarifa zitapokelewa na subconscious mind na hii subconscious mind haipokei tu taarifa ni mpaka uishawishi... Hadi apo taarifa zinakua zimepata kibali kuingia ulimwengu wa kiroho Sasa hapa kwenye hii Junction kuna wadukuzi wanaweza waka-hack taarifa zikaenda kusiko takiwa hii itatokea tu kama hauna ulinzi au nguvu kiroho... Na kwanini wahaki ni kwasababu kuna ulimwengu wa Roho wa NURU na wa giza washirikina wanaweza wakakwamisha maombi yako au baraka zako (nyota)

Kwa wale wanaotegemea binadamu wenzao/waganga wa jadi wa ramli hiki ndio huwa kinafanyika (mechanism behind katika tasnia ya uganga. Ili taarifa zako zimfikie shetani ajue namna ya kukusaidia ni lazima wewe mhusika uziruhusu sasa unaziruhusu vipi na hauna imani ya kutosha ndio yanatengenezwa mazingira ya wewe kua serious na jambo unalolitaka(ndio imani yenyewe hiyo) Mganga naye pasipo kujua anaamrisha tu na mapepo/majini anajikuta anakupa masharti, ugumu na urahisi wa masharti utategemea na uzito/ugumu wa moyo wako kuamini kama jambo lako ni kubwa na unawaziwasi Mganga hataliweza basi majini ya mganga yanamuelekeza mganga kuwa huyo itatakiwa amtoe mama yake(kwanini mama? wewe mwenyewe fikilia kati ya mama na baba yupi anauzito kwako yupi akifa utaumia zaidi)

Sasa mganga akikutajia masharti hayo lazima medula ublongats itikisike na lengo linakua limetimia kuwa wewe mwenye shida nafsi yako imefanikisha kuwasilisha taarifa katika ulimwengu wa Roho wa giza.

Sasa kwa upande wa MUNGU ulimwengu wa ROHO WA NURU aliboresha/ali-update namna ya kuwasiliana nae. Alitambua kua kuna kuna watu watakua na hali tofauti masikini, matajili wengine ni wagumu tu (DNA kizazi cha kwanza kinaweza kua kipore kikarimu lakini kwasababu kunamuungiliano vizazi vinavyofaatia vitakengeuka katika vinasana(Genetic Segregation))

Hivyo basi MUNGU akaja na mpango wa YESU (Hii ni kitaalumu sana ndio maana watu wengi pasipo uwezo wa roho mtakatifu hawaelewi na wanaweza wakaendelea kubisha, very very technical).

Katika hii new testament au new Updated and simplified version) hatuhitaji tena mambo ya kafara. Anatakiwa YESU. Kwanini kwasababu Yesu amekuja na ulinzi security patch level ambayo ukituma maombi kwa MUNGU BABA kwa kuambatanisha na jina la YESU basi taarifa hiyo katika subconscious mind haitadukuliwa na wadukuzi/hacker katika ile link ya kuingia ulimwengu wa Roho wa Nuru.

Sasa Yesu Aliijua kua kuna hii (subconscious mind) link kati ya duniani na Rohoni na Alijua kua mtu ukiwa unajitosheleza kwa mali afya nk kisaikolokjia utakua umebweteka/comfortable hivyo hautakua na nguvu au imani yakuishawishi subconscious mind yako ukuunganishe na ulimwengu wa rohoni.

Na ndio maana alipouliza na matajili kua wao wanatekeleza mapenzi ya MUNGU je wafanye nini cha ziada Yesu akawaambia Wauze mali zao zote, kisaikolojia lengo linakua ni hilo ukikosa mali huwezi kua comfortable na lazima uwajibike kwa majukumu yatakayokukabili na utakua na imani.

Na ndio maana alisema ni vigumu kwa tajiri kuingia ufalme wambinguni kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Na saikolojia hii hii ndio inaweza kuelezea kwanini watoto wamatajili walio wengi wanakuaga na changamoto.


SASA KATIKA HAYO MATABAKA MAWILI (MWILI NA NAFSI) NDIO YANACHUNGUZIKA KIMANTIKI NA KISAYANSI.

ILA HILI TABAKA LA KIROHO NI MFUMO TOFAUTI KABISA UFAHAMU WETU KIULIMWENGUNI MWENGUNI AIDHA IWE UNIVERSE AMA MULTIVERSE HAUWEZI KUNG'AMUA.

KWAHIYO KINACHOTAKIWA NI UAMINI(IMANI) TU KAMA NI RIZIKI MILANGO ITAFUNGUKA, UFAHAMU UTAONGEZEKA, KAMA NI KUVUMBUA TECHNOLIGIA MPYA ITAVUMBUKA,NAKADHALIKA LAKINI KUJUA IMEKUAJEKUAJE WALA USIPOTEZE MUDA UTAJUA UKIFIKA HUKOHUKO MUDA UKIFIKA.


3. Roho (spirit(Holly spirit)
HUKU KUKO ABOVE MY PAYCHECK.

Sasa mkuu Kiranga mimi naona huwezi kutumia elimination method wakati kuna kigezo cha kiroho hujakizingatia.
Na isitoshe kwani mwanasayansi yeye ndio nani Yani!? hadi aseti standards za ulimwengu huu, ye si ni sehemu ya uumbaji wa MWENYEZI MUNGU. kama kuna vitu viko nje ya ufahamu wetu wakubali yaishe... Kama watakomaa basi watakomaa mpaka watakua skeleton makabbulini.

Mwenye kukosoa, kuongeza, kuuliza Karibuni sana.
Kuna kitu nimepata. Kumbe ndio maana tukitaka kufanya maombi hatuanzi direct bali tunaimba kwanza nyimbo za kusifu na kuabudu ili kuishawishi Subconscious mind si ndio au nimeelewa tofauti.
 
Ni sawa kabisa pale unakua unauandaa ufahamu wako katika uwepo wa tukio husika.

Kuna kitu kingine sikukigusia katika comment niliyochangia ambacho ni;

KUFUNGA(FASTING).
Katika conscious mind huu ufahamu wakawaida, binadamu yeyote akiwa karidhika/anafarijika/hana stress/anafaraja/anamatumaini mtu akiwa katika hari kama hii mara nyingi anakuwa hana uwezo wakuomba/ maombi yake yanakosa nguvu/ kuomba unaomba lakini majibu hupati.

Katika hali hiyo unaweza ukaamua kua serious unaingia ibadani ukiwa kauzu yaani kimuonekano(physically) unaonekana unajitahidi kua na heshima na nidhamu katika ibada lakini katika nafsi yako(deep down) unaamani kwakua unajimudu kiuchumi(huna shida)

Sasa kitendo cha wewe kua na tumaini nafsini katikati ufahamu consciousness kunakuondoleea uwezo wa nafsi yako kuishawishi subconscious mind.... kwanini? Ni kwasababu subconscious mind huwa inachukua/Nakili taarifa(maombi au dua) yaliyo halisi/ya dhati/ya uaminifu, na siyo yakuigiza na pengine haugizi ila hauna uhitaji kiviile! Yenyewe inajua.

Sasa katika kufunga(mfungo/fasting) ukiwa katika mfungo unakua katika hali nzuri kisaikolojia katika kuandaa utimamu (conscious mind) kuwa na nguvu/uwezo wa kuishawishi subconscious mind ichukue taarifa/maombi/dua muda mwingine hata matamko(spells) utakayo jitamkia au kumtamkia mtu.

Ni kivipi mtu akiwa katika mfungo anakua na nguvu kiroho na imani au wengine wanasemaga ukifunga imani inakua/unakua karibu na MUNGU. Ni hivi;

Mtu akifunga kunakuwa na kupungua kama sio kuisha kabisa kwa faraja/ matumaini/furaha, na kadri Njaa inavyozidi kuuma/swaumu kua kali ndio hali inazidi kua mbaya kisaikolojia katika utimamu wake conscious. Mind yake anakua na dhiki kuu/mfadhaiko/hana furaha/matumaini yanapungua, sasa katika hali kama hiyo mawazo na matamko yake yanakua thabiti/dhahiri/dhati/unyenyekevu... sio rahisi mtu kufanya mzaha, maigizo, kutozingatia mambo akiwa na njaa kali, Kiufupi anakua na nidhamu ya hali ya juu na uhitaji wa kitu anachokiomba unaongezeka. Sasa conscious mind ya mtu aliye kwenye hali hii inakua na uwezo mkubwa wa kuishawishi subconscious mind ipokee taarifa za dua ama maombi na kuziwakilisha katika ulimwengu wa ROHO na kuratibiwa ipasavyo.
Kuna kitu nimepata. Kumbe ndio maana tukitaka kufanya maombi hatuanzi direct bali tunaimba kwanza nyimbo za kusifu na kuabudu ili kuishawishi Subconscious mind si ndio au nimeelewa tofauti.
 
Nikushukuru mtoa mada kwa somo zuri sana la kumjua Mungu wa kweli.
Kuna mtu amekuja kuomba ushauri kwangu na mimi nimeona niwashirikishe wana wa Mungu, jambo hili.

Jamaa ameoa ndoa takatifu yapata miaka 10 iliyopita na wana watoto watatu na mke wake. Kwa kusudi la Mungu mwanamke akabahatika kupata kazi na kuanza kuiendesha familia.
Miaka ikapita siku moja akafumania meseji za mapenzi kwenye simu ya mke wake ukatokea ugomvi wakasuluhishwa yakaisha.
Akaja kufuma tena meseji za mtu mwingine pia yakasuluhishwa yakaisha
Baada ya matukio hayo mwanaume uaminifu ukapungua kwa mke wake, ikawa ni vurugu na vipigo ndoa ikawa shubiri, mwanaume akajifunza kunywa na pombe baada ya stress zilizompata.
Maisha yakaendelea ila hakuna amani,

Sasa kisa kikubwa kimetokea kama miezi mitatu iliyopita. Jamaa anasema baada ya kukosa uaminifu kwa mke wake akawa ni mtu wa kufuatilia nyendo zote za mke wake, na kwa bahati nzuri jamaa ni mtu mwenye machake hatari, yani akusema kitu lazima kitatokea maana mm ni rafiki yangu nina mifano yake mingi ya mambo anayoyasema na yanatokea hata mke wake alikuwa anamkanya navkumwambia vitu mke hata akibisha inakuha kutokea vilevile

Siku moja mke wake akatoka kazini njiani akampigia kuna mteja anakutana nae anataka kumpa fomu fulani ajaze. Jamaa akasema sawa, lakini kuna roho ikamwambia nenda hilo eneo alipo kweli akaenda akamuona mke wake yupo na jamaa kwenye gari wanaongea

Jamaa anasema akakaa pale kama dakika kumi na tano hivi harafu akampigia simu mke wake, vipi mteja amefika? Mke akajibu ndio, jamaa akamuuliza amefika saa ngapi, mke akajibu muda huu wakati kiuhalisia ni dakika zaidi ya kumi yupo nae
Jamaa akageuza gari akarudi nyumbani baadae kidogo mke nae akafika, alipofika tu akamchukua eneo la pembeni akaanza kumuuliza mbona unanidanganya? Mke akasema nn? Jamaa akamwambia nimekuwa pale muda wote mbona umesema kafika saa hizi wakati siyo kweli? Mke akasema nisamehe, jamaa akamwambia niambie sababu ya kunidanganya? Ipo sababu ipo? Mke akawa hataki kusema sababu,

Basi jamaa akamwambia utaniambia kwa lazima, akaingia ndani akatoka na kirungu amtishe ili aseme sababu, mke alipoona vile akainuka akaondoka.
Kumbe amekwenda kwa baba yake maana hakai mbali na pale wakaja usiku wa kama saa sita na baba yake na watu wengine wawili, kuja kuchukua nguo za mke ili waondoke nae akalale kwao, jamaa akagoma kutoa nguo, ukatokea ubishi mkubwa, jamaa akampiga kofi mke wake, ile anageuka, baba mtu akampiga ngumi ya taya jamaa na jamaa kwa hasira akarudisha ngumi kwa baba mkwe wake ikampata jichoni, ba mkwe akaondoka akaita defender jamaa akalala selo asubuhi akaachiwa,

Baadae askari wakasema haya ni mambo ya familia yamalizeni lakini ba mkwe akakomaa hadi kesi mahakamani
Kufika kule kuna wazee wakatafutwa ili kuyaweka mambo sawa ba mkwe akasema anataka milioni mbiki asamehe, kweli zikatafutwa akapewa kesi ikaisha na akasema amesamehe.
Mziki ukaja sasa mke itakuwaje? Vikaitishwa vikao, ndugu wakakubaliana watenganishwe kwa miezi miwili harafu warudiane maana ba mkwe alisema yeye amesamehe

Wakati ile miezi inakaribia kuisha ba mkwe wake akapata ajali akafariki, baada ya siku arobaini, jamaa anataka mke wake mziki mwingine ukatokea kumbe ba mkwe hakusamehe, alimwambia mtoto wake ukirudi kwa yule mume badili ubini wa ukoo wetu, na utarudi maiti
Maneno haya alimwambia mtoto wake na mtoto hakuwahi sema hadi mauti ikamkuta baba yake
Vikao vinatarajia kuendelea siku si nyingi lakini mke anaogopa kwa maana ndugu zake wamesema watamtenga, na kauli ya baba inamtesa juu ya ndoa yake na analalamika baba yake kupigwa na kuna siku jamaa anasema mke wake walikuwa na ugomvi aliwahi kumwambia huku ana hasira SIKUPENDI SIKUPENDI
(Note) baba mkwe maisha yake Aliishi na wanawake wanne, aliwaacha watatu, mmoja wa mwisho ndio alikuwa anaishi nae hadi umauti, na wote watatu wa kwanza alivyowaacha tu hawakukaa sana walikufa, upande wa mama wa mke wa jamaa, watoto sita kati ya saba ndoa zao zilivunjika wengine hawakuwahi kuoa au kuolewa wala watoto hawana kwa baba yake watoto watatu ndoa zao zimevunjika
JAMAA ANAOKOAJE NDOA YAKE INGAWA AMESHAOKOKA TAYARI NA POMBE AMEACHA ILA MKE WAKE HAMPENDI TENA NA HATAKI KURUDIANA NA JAMAA,
Watoto wa Yesu hapa jamaa afanyeje kiroho aokoe ndoa yake?
Wadau wa Bwana tumsaidie jamaa kwa mawazo ya KiMungu
 
Nikushukuru mtoa mada kwa somo zuri sana la kumjua Mungu wa kweli.
Kuna mtu amekuja kuomba ushauri kwangu na mimi nimeona niwashirikishe wana wa Mungu, jambo hili.

Jamaa ameoa ndoa takatifu yapata miaka 10 iliyopita na wana watoto watatu na mke wake. Kwa kusudi la Mungu mwanamke akabahatika kupata kazi na kuanza kuiendesha familia.
Miaka ikapita siku moja akafumania meseji za mapenzi kwenye simu ya mke wake ukatokea ugomvi wakasuluhishwa yakaisha.
Akaja kufuma tena meseji za mtu mwingine pia yakasuluhishwa yakaisha
Baada ya matukio hayo mwanaume uaminifu ukapungua kwa mke wake, ikawa ni vurugu na vipigo ndoa ikawa shubiri, mwanaume akajifunza kunywa na pombe baada ya stress zilizompata.
Maisha yakaendelea ila hakuna amani,

Sasa kisa kikubwa kimetokea kama miezi mitatu iliyopita. Jamaa anasema baada ya kukosa uaminifu kwa mke wake akawa ni mtu wa kufuatilia nyendo zote za mke wake, na kwa bahati nzuri jamaa ni mtu mwenye machake hatari, yani akusema kitu lazima kitatokea maana mm ni rafiki yangu nina mifano yake mingi ya mambo anayoyasema na yanatokea hata mke wake alikuwa anamkanya navkumwambia vitu mke hata akibisha inakuha kutokea vilevile

Siku moja mke wake akatoka kazini njiani akampigia kuna mteja anakutana nae anataka kumpa fomu fulani ajaze. Jamaa akasema sawa, lakini kuna roho ikamwambia nenda hilo eneo alipo kweli akaenda akamuona mke wake yupo na jamaa kwenye gari wanaongea

Jamaa anasema akakaa pale kama dakika kumi na tano hivi harafu akampigia simu mke wake, vipi mteja amefika? Mke akajibu ndio, jamaa akamuuliza amefika saa ngapi, mke akajibu muda huu wakati kiuhalisia ni dakika zaidi ya kumi yupo nae
Jamaa akageuza gari akarudi nyumbani baadae kidogo mke nae akafika, alipofika tu akamchukua eneo la pembeni akaanza kumuuliza mbona unanidanganya? Mke akasema nn? Jamaa akamwambia nimekuwa pale muda wote mbona umesema kafika saa hizi wakati siyo kweli? Mke akasema nisamehe, jamaa akamwambia niambie sababu ya kunidanganya? Ipo sababu ipo? Mke akawa hataki kusema sababu,

Basi jamaa akamwambia utaniambia kwa lazima, akaingia ndani akatoka na kirungu amtishe ili aseme sababu, mke alipoona vile akainuka akaondoka.
Kumbe amekwenda kwa baba yake maana hakai mbali na pale wakaja usiku wa kama saa sita na baba yake na watu wengine wawili, kuja kuchukua nguo za mke ili waondoke nae akalale kwao, jamaa akagoma kutoa nguo, ukatokea ubishi mkubwa, jamaa akampiga kofi mke wake, ile anageuka, baba mtu akampiga ngumi ya taya jamaa na jamaa kwa hasira akarudisha ngumi kwa baba mkwe wake ikampata jichoni, ba mkwe akaondoka akaita defender jamaa akalala selo asubuhi akaachiwa,

Baadae askari wakasema haya ni mambo ya familia yamalizeni lakini ba mkwe akakomaa hadi kesi mahakamani
Kufika kule kuna wazee wakatafutwa ili kuyaweka mambo sawa ba mkwe akasema anataka milioni mbiki asamehe, kweli zikatafutwa akapewa kesi ikaisha na akasema amesamehe.
Mziki ukaja sasa mke itakuwaje? Vikaitishwa vikao, ndugu wakakubaliana watenganishwe kwa miezi miwili harafu warudiane maana ba mkwe alisema yeye amesamehe

Wakati ile miezi inakaribia kuisha ba mkwe wake akapata ajali akafariki, baada ya siku arobaini, jamaa anataka mke wake mziki mwingine ukatokea kumbe ba mkwe hakusamehe, alimwambia mtoto wake ukirudi kwa yule mume badili ubini wa ukoo wetu, na utarudi maiti
Maneno haya alimwambia mtoto wake na mtoto hakuwahi sema hadi mauti ikamkuta baba yake
Vikao vinatarajia kuendelea siku si nyingi lakini mke anaogopa kwa maana ndugu zake wamesema watamtenga, na kauli ya baba inamtesa juu ya ndoa yake na analalamika baba yake kupigwa na kuna siku jamaa anasema mke wake walikuwa na ugomvi aliwahi kumwambia huku ana hasira SIKUPENDI SIKUPENDI
(Note) baba mkwe maisha yake Aliishi na wanawake wanne, aliwaacha watatu, mmoja wa mwisho ndio alikuwa anaishi nae hadi umauti, na wote watatu wa kwanza alivyowaacha tu hawakukaa sana walikufa, upande wa mama wa mke wa jamaa, watoto sita kati ya saba ndoa zao zilivunjika wengine hawakuwahi kuoa au kuolewa wala watoto hawana kwa baba yake watoto watatu ndoa zao zimevunjika
JAMAA ANAOKOAJE NDOA YAKE INGAWA AMESHAOKOKA TAYARI NA POMBE AMEACHA ILA MKE WAKE HAMPENDI TENA NA HATAKI KURUDIANA NA JAMAA,
Watoto wa Yesu hapa jamaa afanyeje kiroho aokoe ndoa yake?
Wadau wa Bwana tumsaidie jamaa kwa mawazo ya KiMungu
Aoe tena, this time apate mke low key sio hao wa kufanya deals
 
Nikushukuru mtoa mada kwa somo zuri sana la kumjua Mungu wa kweli.
Kuna mtu amekuja kuomba ushauri kwangu na mimi nimeona niwashirikishe wana wa Mungu, jambo hili.

Jamaa ameoa ndoa takatifu yapata miaka 10 iliyopita na wana watoto watatu na mke wake. Kwa kusudi la Mungu mwanamke akabahatika kupata kazi na kuanza kuiendesha familia.
Miaka ikapita siku moja akafumania meseji za mapenzi kwenye simu ya mke wake ukatokea ugomvi wakasuluhishwa yakaisha.
Akaja kufuma tena meseji za mtu mwingine pia yakasuluhishwa yakaisha
Baada ya matukio hayo mwanaume uaminifu ukapungua kwa mke wake, ikawa ni vurugu na vipigo ndoa ikawa shubiri, mwanaume akajifunza kunywa na pombe baada ya stress zilizompata.
Maisha yakaendelea ila hakuna amani,

Sasa kisa kikubwa kimetokea kama miezi mitatu iliyopita. Jamaa anasema baada ya kukosa uaminifu kwa mke wake akawa ni mtu wa kufuatilia nyendo zote za mke wake, na kwa bahati nzuri jamaa ni mtu mwenye machake hatari, yani akusema kitu lazima kitatokea maana mm ni rafiki yangu nina mifano yake mingi ya mambo anayoyasema na yanatokea hata mke wake alikuwa anamkanya navkumwambia vitu mke hata akibisha inakuha kutokea vilevile

Siku moja mke wake akatoka kazini njiani akampigia kuna mteja anakutana nae anataka kumpa fomu fulani ajaze. Jamaa akasema sawa, lakini kuna roho ikamwambia nenda hilo eneo alipo kweli akaenda akamuona mke wake yupo na jamaa kwenye gari wanaongea

Jamaa anasema akakaa pale kama dakika kumi na tano hivi harafu akampigia simu mke wake, vipi mteja amefika? Mke akajibu ndio, jamaa akamuuliza amefika saa ngapi, mke akajibu muda huu wakati kiuhalisia ni dakika zaidi ya kumi yupo nae
Jamaa akageuza gari akarudi nyumbani baadae kidogo mke nae akafika, alipofika tu akamchukua eneo la pembeni akaanza kumuuliza mbona unanidanganya? Mke akasema nn? Jamaa akamwambia nimekuwa pale muda wote mbona umesema kafika saa hizi wakati siyo kweli? Mke akasema nisamehe, jamaa akamwambia niambie sababu ya kunidanganya? Ipo sababu ipo? Mke akawa hataki kusema sababu,

Basi jamaa akamwambia utaniambia kwa lazima, akaingia ndani akatoka na kirungu amtishe ili aseme sababu, mke alipoona vile akainuka akaondoka.
Kumbe amekwenda kwa baba yake maana hakai mbali na pale wakaja usiku wa kama saa sita na baba yake na watu wengine wawili, kuja kuchukua nguo za mke ili waondoke nae akalale kwao, jamaa akagoma kutoa nguo, ukatokea ubishi mkubwa, jamaa akampiga kofi mke wake, ile anageuka, baba mtu akampiga ngumi ya taya jamaa na jamaa kwa hasira akarudisha ngumi kwa baba mkwe wake ikampata jichoni, ba mkwe akaondoka akaita defender jamaa akalala selo asubuhi akaachiwa,

Baadae askari wakasema haya ni mambo ya familia yamalizeni lakini ba mkwe akakomaa hadi kesi mahakamani
Kufika kule kuna wazee wakatafutwa ili kuyaweka mambo sawa ba mkwe akasema anataka milioni mbiki asamehe, kweli zikatafutwa akapewa kesi ikaisha na akasema amesamehe.
Mziki ukaja sasa mke itakuwaje? Vikaitishwa vikao, ndugu wakakubaliana watenganishwe kwa miezi miwili harafu warudiane maana ba mkwe alisema yeye amesamehe

Wakati ile miezi inakaribia kuisha ba mkwe wake akapata ajali akafariki, baada ya siku arobaini, jamaa anataka mke wake mziki mwingine ukatokea kumbe ba mkwe hakusamehe, alimwambia mtoto wake ukirudi kwa yule mume badili ubini wa ukoo wetu, na utarudi maiti
Maneno haya alimwambia mtoto wake na mtoto hakuwahi sema hadi mauti ikamkuta baba yake
Vikao vinatarajia kuendelea siku si nyingi lakini mke anaogopa kwa maana ndugu zake wamesema watamtenga, na kauli ya baba inamtesa juu ya ndoa yake na analalamika baba yake kupigwa na kuna siku jamaa anasema mke wake walikuwa na ugomvi aliwahi kumwambia huku ana hasira SIKUPENDI SIKUPENDI
(Note) baba mkwe maisha yake Aliishi na wanawake wanne, aliwaacha watatu, mmoja wa mwisho ndio alikuwa anaishi nae hadi umauti, na wote watatu wa kwanza alivyowaacha tu hawakukaa sana walikufa, upande wa mama wa mke wa jamaa, watoto sita kati ya saba ndoa zao zilivunjika wengine hawakuwahi kuoa au kuolewa wala watoto hawana kwa baba yake watoto watatu ndoa zao zimevunjika
JAMAA ANAOKOAJE NDOA YAKE INGAWA AMESHAOKOKA TAYARI NA POMBE AMEACHA ILA MKE WAKE HAMPENDI TENA NA HATAKI KURUDIANA NA JAMAA,
Watoto wa Yesu hapa jamaa afanyeje kiroho aokoe ndoa yake?
Wadau wa Bwana tumsaidie jamaa kwa mawazo ya KiMungu
hakuna ndoa tena hapo, yamebaki mazoea
 
Biblia iko all over the place, inajibcontradict, ilisema Joshua alilisimamisha jua ili Waisraeli wapate advantage ya mwanga, kwa maana ya kwamba jua lilikuwa linaizunguka dunia.

Tunajua hayo ni makosa.

Biblia imeandika kwamba dunia haizunguki, kuna aya nyingi sana zipo kuhusu hili. Lakini leo tunajua dunia inazunguka jua na inazunguka kwenye mhimiki wake.

Psalm 104:5 ESV
He set the earth on its foundations, so that it should never be moved.

Joshua 10:13 ESV
And the sun stood still, and the moon stopped, until the nation took vengeance on their enemies. Is this not written in the Book of Jashar? The sun stopped in the midst of heaven and did not hurry to set for about a whole day.

Psalm 93:1 ESV / 54 helpful votes
The Lord reigns; he is robed in majesty; the Lord is robed; he has put on strength as his belt. Yes, the world is established; it shall never be moved.

1 Chronicles 16:30 ESV / 40 helpful votes
Tremble before him, all the earth; yes, the world is established; it shall never be moved.

Psalm 96:10 ESV
Say among the nations, “The Lord reigns! Yes, the world is established; it shall never be moved; he will judge the peoples with equity.”
Mkianza mambo ya vitabu vitakatifu(chenga) ndio mtavuruga kila kitu. Niko hapa nawazoom
 
UTANGULIZI SEHEMU B;MAANA YA NAFSI. Leo tunaendelea na somo baada ya upepo kutulia na wote kuishia mitini. Nafsi ni mtu halisi na ana vitu vyote vya mtu wa nje. Mtu wa nje (mwili) ni kama kivuli cha mtu wa ndani (nafsi). Vitu vikuu vinavyofanya nafsi ifanye kazi vizuri ni, Akili ambayo inabeba milango yote ya fahamu, utambuzi, fikra, maarifa; Hisia ambayo inabeba furaha, upendo, huzuni na chuki. Nafsi inaweza kuingia katika mwili wowote hata wa mnyama bila shida. Ukiona mchawi anajigeuza paka au nyoka tambua ni nafsi yake ameivalisha kwenye mwili huo. Mtoto anaweza kurithi vitu vilivyopo kwenye nafsi ya mama yake na baba yake ila roho anarithi kwa baba tu. Kazi ya roho ni kuitia nguvu nafsi ili ifanye kazi yake halisi iliyoumbiwa. Roho haiwezi kufanya kazi na nafsi iliyovurugwa maana nafsi iliwekwa iende automatic katika kazi yake. Kipawa 'nyota' cha mtu kimewekwa ndani ya nafsi na siyo rahisi akijue mpaka afuate hatua muhimu. Huwezi kuiba kipawa cha mtu maana hata shetani mwenyewe hakijui, bali ni nafsi tu ya mtu inavurugwa na kuipotezea mwelekeo na kutumikishwa kwa faida ya mtu mwingine. Nafsi inaweza kufungwa kwenye mti, inaweza kuwekwa ndani ya chupa, inaweza kufungwa chini ya bahari inaweza kufungwa ofisini au kwenye nyumba za ibada na sehemu yoyote ile kulingana na matakwa ya mfungaji na kuitumikisha kadri apendavyo. Njia rahisi sana ya kujua nafsi yako imefungiwa wapi ni kwa kupitia ndoto. Angalia unaota sana upo maeneo gani na unafanya nini. Ili unase na kuendesha nafsi ya mtu/watu kadri upendavyo inategemea sana na nguvu (roho) inayoipa nafsi hiyo nguvu. Lazima uwe na roho yenye nguvu zaidi. Na kuna vitu ambavyo nimeviorodhesha hapo juu ambavyo hutumika kukamata na kuendesha nafsi na tutavijadili mbeleni. Sasa embu jiulize kidogo itakuaje endapo unataka kufungua biashara yoyote au kuingia katika uongozi au siasa au huduma za kiroho na hauwezi kuvuta nafsi za watu!, ukweli ni kuwa hauwezi kupata watu wowote maana kunawenzako wanatumia sala au dua au uchawi kuvuta watu (nafsi). Fikiria kwenye kuoa uwe msichana au mvulana na unapendwa na wengi, kila mtu atakuvuta kwa njia yake na mwisho mwenye nguvu atashinda. Watu wengi wanachanganyikiwa kwa nafsi zao kuvutwa na watu na mwisho wanabaki katikati na kushindwa kujua waelekee wapi. Ni kama kuchukua sumaku mbili na kuweka chuma katikati na kuivuta huku na huku, chuma itacheza tu hapo katikati hadi ipate sumaku yenye nguvu zaidi. Mwisho, Nafsi haitakiwi kurudi nyuma bali inatakiwa kwenda mbele tu, ikirudi nyuma mtu atakuwa nyuma ya muda na siku zote mtu anatakiwa awe mbele ya muda ili atayarishe mazingira ya mbeleni. Na hapa ndipo wazungu wanapotushinda tu kwa kuwa mbele ya muda. Ukikomboa nafsi yako, umekomboa maisha yako na utaishi kwa uhuru wote na kwa mafanikio ya uhakika.
 
Back
Top Bottom