Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Aaah experience yako mbovu usituhusishe wanawake wote bwana. Huyo kuna mahali ulimkosea🤣
 
Ingekuwa kwenye vitabu vya Dini wameelekeza hivyo sawa tungetekeleza. Ila hata vitabu vya MUNGU havitaki.

Vitu viwili utapata kwa kumpa hela mwanamke bila sababu ni moja Magonjwa ya zinaa au mbili Kusalitiwa na kuumizwa hisia zako bure. Au ukiwa na bahati unaweza pata vyote.

Ungekuja na hoja kuwa tuwape wazazi wetu pesa bila sababu nadhani ungekuwa umeongea point ila sio huu upuuzi hapa.
 
Huyu atafutiwe sehemu nzuri sana....tupande na maua kabisa, tutakua tunaenda kupiga selfie pale.[emoji23]

Sanamu la tina tutazungushia nyaya za umeme, wanaume wana hasira nae sana
Unaona sasa shukrani zenu wanawake. Mtu anawapigia chapuo mpewe hela nilitegemea mseme atengewe chumba ili mkamtuku gemu hadi akatae mwenyewe ninyi mnasema kupiga nae picha, kweli? [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…