Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe mjeda!!?Kunywa soda nakuja kulipa
Tokea may ianze huu ndo uzi mzuri kwangu
Happy New Month to you🥂
🤣🤣🤣🥴 wakujichanganya kwako sasa🤣😁😁😁Inatakiwa tuwe tunawapa hata milioni 5 na sio afu tatu 😂😁
😂😁😁😎😎😎🤣🤣🤣🥴 wakujichanganya kwako sasa
Huyu atafutiwe sehemu nzuri sana....tupande na maua kabisa, tutakua tunaenda kupiga selfie pale.😂Mwenyekiti sanamu la mtoa mada tunajenga karibu na la tina au?
😂😂😂😂namsikitikia aisee😂😁😁😎😎😎
Wa aina yako watajulikana tu kupitia nyuzi kama hizi😆😆Kunywa soda nakuja kulipa
Tokea may ianze huu ndo uzi mzuri kwangu
Happy New Month to you🥂
Jamani 😭🥴😁😁😁 ila hawezi kunisaliti 😁😂😂😂😂namsikitikia aisee
🥴mpe hongera sana wife mnavumilianaJamani 😭🥴😁😁😁 ila hawezi kunisaliti 😁
Basi kazi na iendelee.Huyu atafutiwe sehemu nzuri sana....tupande na maua kabisa, tutakua tunaenda kupiga selfie pale.😂
Sanamu la tina tutazungushia nyaya za umeme, wanaume wana hasira nae sana
Mawazo haya yanakuwaga mengi wakati hakuna kitu, ila kikishapatikana hakuna wazo kama hili litakalofanyiwa kazi zaidi ya dhihaka kwa wahitaji.Haya ndio mawazo ya watu tusio na hela na hatujiamini.
Waniue tena mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Tupo na wewe hadi wakuuwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa yaani tumekuja na Hidaya .
Huyu jamaa ni mchochezi msimsikilize![emoji4]
Endelea kuwepo usome commentsWa aina yako watajulikana tu kupitia nyuzi kama hizi😆😆
Mjeda nae anayo haki ya kufurahishwaNdio, mpe mwanamke wako pesa na yeye ampe baasha wake. Tumekuelewa.
[emoji28][emoji28][emoji28]Mwenyekiti sanamu la mtoa mada tunajenga karibu na la tina au?
Nisubirie hapo kmkm agiza kilo 2, ndizi 2 na kreti la safari....nakuja kulipa.Waniue tena mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]