Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Mpaka sasa nishawaona wawili wewe na Evelyn Salt 😀😀
Ukweli usemwe!
Sio tu kwa wanawake hata wanaume umekaa zako huna hili wala lile unashangaa msg ya muamala imeingia lazima ufurahi! Tena uombe siku hiyo uwe huna hela
Kuomba hela inachosha, sanasana ukifikilia kila mtu ana shida zake bora usubiri mtu akupe yeye mwenyewe🤸
 
Ukweli usemwe!
Sio tu kwa wanawake hata wanaume umekaa zako huna hili wala lile unashangaa msg ya muamala imeingia lazima ufurahi! Tena uombe siku hiyo uwe huna hela
Kuomba hela inachosha, sanasana ukifikilia kila mtu ana shida zake bora usubiri mtu akupe yeye mwenyewe🤸
Upo sahihi kwasababu hakuna asiyependa hela, Ila ya nikijisikia tu nisend miamala bila kujua status yako kwa muda huo hapana🙌
 
Kindly refer to the heading above..


Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]

Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.

Au,

AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337

Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.

Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .

Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).

Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k

Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.

Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.

N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Nikki wa Pili kafanya haya yote na bado kaambulia za uso.
We unatuma na kisha ulizotuma anatumiwa mwingine na huyo mwingine anamtumia mwingine. Ukija kufahamu tunasikia alimchoma kwa gunia la mkaa. Crime of passion
 
Milungi mishisha mibangi selemani
Hili uji kulipa unadangia tu mezani
Milungi mishisha mibangi selemani
Kujipostisha kama wee boss yani
We selemani we sele sele sele
We selemani we sele sele sele
We selemani we sele sele sele
Eh selemani eeh sele sele sele
We selemani we sele sele sele
Eh selemani eeh sele sel sele
[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kindly refer to the heading above..


Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]

Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.

Au,

AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337

Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.

Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .

Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).

Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k

Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.

Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.

N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Akagaawee kwa mume mwenza bila sababuu utakuja nishukuruù
 
Tanzania iwekeze kwenye elimu tu na ibadilishe mfumo wa elimu kabisa. Ndipo itaanza kuona maendeleo baada ya miaka 15 mpaka 20 ya mabadiliko ya aina ya elimu yetu.

Kama hatutobadili mfumo wa limu nje ndani, maendeleo ya kweli tusahau, tutabaki kuwa ombaomba tu.

Kwa o,mbaomba namaanisha tegemezi, mfumo wetu wa elimu siyo wa mtu binafsi kujitegemea, ni wa kila mtu kutegemea afanyiwe.
Hili linawezakana iwapo atapatikana rais mwenye maono na asiye mbinafsi. Rais ambaye yuko tayari ku-sacrify ufalme wake na wanamzunguka kwa Tanzania ijayo. Anafumua kwanza mfumo wote wa uongozi na kubadilisha culture ambayo wananchi tunayo, culture ya kila mtu ''kusali'' ile sala ya ''tunaomba rais wetu msikivu aliangalie hili....''. Asante kwa kuiona hili kwani sisi tukisema kuwa kuna sehemu tumekwama, hebu tujitafakari kwanza, tunaambiwa tuko kwenye right direction...
 
Back
Top Bottom