The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Mkuu lengo lako ni nini hasa la kuleta huy uzi? Tuonekane wengine hatujui kupenda?
Ladies naomba muupuuze huu uzi.
Ladies naomba muupuuze huu uzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uhalisia mkuu.unajua kuwadanganya mkuu
[emoji28][emoji28] ila mimi simosijui nimtag
Asante mama!Tanzania iwekeze kwenye elimu tu na ibadilishe mfumo wa elimu kabisa. Ndipo itaanza kuona maendeleo baada ya miaka 15 mpaka 20 ya mabadiliko ya aina ya elimu yetu.
Kama hatutobadili mfumo wa limu nje ndani, maendeleo ya kweli tusahau, tutabaki kuwa ombaomba tu.
Kwa o,mbaomba namaanisha tegemezi, mfumo wetu wa elimu siyo wa mtu binafsi kujitegemea, ni wa kila mtu kutegemea afanyiwe.
Mie mtabiri....nisubirie hapo, ukiona mshangazi wa maana unaingia ni mieMkuu umejuaje nipo karibu na KMKM? [emoji3064][emoji3064]
Wewe mganga wa kienyeji nini? [emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28]Tehteh..! mkuu kaza utafka mbalii sanaa
Basi nendeni kwake kama pumzi yake haitakata.Hatuwezi kumpuuza kabisa, huyu tuko pamoja nae🤣🤣
Nimekuelewa mkuu, nimeifuta kauli yangu.Acha uchochezi wewe! Wanawake hatujuagi kusaliti.
Luka 4:12
WEWE ni mtu wa maana,Leo nitakuweka kwenye maombi yangu.Kindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Kwa hiyo hata sisi tunaolipwa 60k kwa kazi za ulinzi, tunahusika?Kindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Fanya muamala chap bibie afurahiHahah hiyo itakuwa Lucas 4:12 na sio Luka ile ya kwenye Biblia...
Kwa kipi kipya wapewe hela yote hiyo mimi hata niwe na hela.Kabisa mkuu wangu, pale inapobidi lazima dau lipande [emoji28][emoji28]
If you want your woman to feel like a real woman kuna baadhi ya mambo lazima umfanyie aisee, sio ufundi tu kitandani, ni zaidi ya hapo.Ukweli usemwe!
Sio tu kwa wanawake hata wanaume umekaa zako huna hili wala lile unashangaa msg ya muamala imeingia lazima ufurahi! Tena uombe siku hiyo uwe huna hela
Kuomba hela inachosha, sanasana ukifikilia kila mtu ana shida zake bora usubiri mtu akupe yeye mwenyewe[emoji1732]
Wala haitaki hasira, mtoa mada asikilizwe🤣🤣🤣Basi nendeni kwake kama pumzi yake haitakata.
Hawezi kuwapa hela wote eti 200k, sijui 150k aiseee🙌
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Prondo, wazee wa road trips tusio na hela tutengeneze chama chetu cha kukokotana na kupeana miujuzi ya kuwakamata wanaopewa miamala na mabwana zao[emoji3][emoji3]