Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Ahsante sana aise nilikuwa sina kitu mfukoni umeshamtumia sasa amenipigia tukaenjooooy! Message yake hii hapa 👇

Millie: Babe, Uko wapi? Yule bwege ninayemkamua kashatuma laki mbili nataka nije uni**** mpaka niridhike.Hotel ileile ya siku ile

Mimi: Usijali babe, On my way
 
Mm kutokana na approch yangu kwa mademu ya upole na full time care hujikuta wanashindwa kuniomba hela .Basi hulazimika kutumia hii sana .yaan huwa najiweka karibu na mwanamke wangu nijue issues zake kisha nakisia huyu ana shida na laki 3 .naamka tu namtumia laki 3.5 namwambia "bby najua mi sio tajiri ila naomba uipunguzie ulipokwama,love u "
Ha ha ha aisee!
 
Kinachonifurahisha ni kwamba, hawa mnaowapa pesa na kuwalipia kodi ndio wanaotutunuku bure huku mitaani.

Binti mmepanga sehemu moja anashushwa na Prado Ila baada ya dk 20 anakwambia ameboeka uende chumbani kwake umpe kampani 😂😂😂😂
 
Mkuu wewe unaonekana ni mtu wa upendo sana
Marejeo nyuzi zako 'mwanaume uliyeoa mwanamke mwenye gari.....'
'Kuna wanawake ni wema ila wanauza bar' na uzi wako huu wa leo
Hongera!
Mkuu, nashukuru kwa kunitia moyo [emoji4]

Mimi mwenyewe huwa sijioni kama nina upendo ingawa I am trying to show love.

Nitaongeza maradufu.
 
Utakapo kuta huo Mwamala ameutransfer kwa Bwana Wake kama ulivyo usianze kule nyuzi za masikitiko humu.

Ukiskia mwanume kamuua mwanamke au kumdhuru ni baada ya kufanya ujinga kama huu akiamini Mwanamke atampenda.

Hiyo miamala watumie malaya tu watakulamba hadi makalio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Comeback ya kibabe hii
 
Back
Top Bottom