Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #141
Leo mmeweza kunipa back up ya maana aisee[emoji28][emoji28]Wala haitaki hasira, mtoa mada asikilizwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo mmeweza kunipa back up ya maana aisee[emoji28][emoji28]Wala haitaki hasira, mtoa mada asikilizwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wazo lako liheshimiwe mkuu.Kwa kipi kipya wapewe hela yote hiyo mimi hata niwe na hela.
Nyingi siwez fanya ujinga huo ni bora nimfungulie mtaji na atakuwa ananipa hela mdogo mdogo
Mama anapata zaidi ya hii.Miamala kama hiyo inatakiwa iende kwa mama yako au mke wa ndoa.
Mkuu nisije nikazima tu na haya mapombe [emoji2][emoji2]
Thank you [emoji4]Kwa sisi ambao hatuchezei hela hatuwezi kufanya upumbavu kama huo hiyo hela si bora nikasaidie masikini,k*m* zipo popote tu.What a worse thread of all time"
Ha ha ha aisee!Mm kutokana na approch yangu kwa mademu ya upole na full time care hujikuta wanashindwa kuniomba hela .Basi hulazimika kutumia hii sana .yaan huwa najiweka karibu na mwanamke wangu nijue issues zake kisha nakisia huyu ana shida na laki 3 .naamka tu namtumia laki 3.5 namwambia "bby najua mi sio tajiri ila naomba uipunguzie ulipokwama,love u "
Malizia kabisa.Ngoja wanaume wakware waje hapa na kasi ya kimbunga....[emoji81]
Mkuu, nashukuru kwa kunitia moyo [emoji4]Mkuu wewe unaonekana ni mtu wa upendo sana
Marejeo nyuzi zako 'mwanaume uliyeoa mwanamke mwenye gari.....'
'Kuna wanawake ni wema ila wanauza bar' na uzi wako huu wa leo
Hongera!
Mkuu usi-mind sana basi, easy [emoji23][emoji23]Hawezi kutushurutisha. Ameshauri tu.
Kwani yeye hawezi kuwapa hela?
Mkuu hujasahau tu [emoji23]Utoto raha sana..
Vipi yule baamed mshamalizana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakapo kuta huo Mwamala ameutransfer kwa Bwana Wake kama ulivyo usianze kule nyuzi za masikitiko humu.
Ukiskia mwanume kamuua mwanamke au kumdhuru ni baada ya kufanya ujinga kama huu akiamini Mwanamke atampenda.
Hiyo miamala watumie malaya tu watakulamba hadi makalio.
Mkuu take it easy [emoji23][emoji23][emoji23]Saa Saba usiku badala ya kulala unahangaika kutuma pesa kwa demu, na haina udharura wowote.
kuna shida mahala.
Thank you, don't thank meThank you [emoji4]
Maisha magum afu tunachezewa akili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kisha unakuta heading mwanaume mmoja amkata mpenzi wake na kumuweka kwenye kiroba
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimegugo miamala ya Bil gate kwa Belinda