Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

[emoji1666]

Safi sana mkuu, wewe naona tumeelewana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nobody cares [emoji57]
 
Unapata hela kimagendo magendo, easy money..

Unataka kutufunza matumizi.ya hovyo sisi tunao hangaikia hela kwa jasho na damu.

Wewe honga tu mkuu ila kaa ukijua atazoea hiyo style yako akishazoea utamsaidia kutumia hela yako kuwahonga wanaume marijali na wahuni wanaomsugua hadi anahama kitandani anaanguka chini sakafuni pwaaah .
 
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…