Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #401
Ila coca tuna jambo letu halijaisha bado ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajijua mwenyewee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila coca tuna jambo letu halijaisha bado ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajijua mwenyewee.
[emoji23][emoji23][emoji23]Naona umemuelewa ki Cuba
We ulisikia wapi [emoji23][emoji23][emoji23]Day one ya kukutana tu
Eeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Tena kimbunga Jacob [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kimbunga Hidaya..
Tafuta pesa bro acha makasiriko [emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada usikute anakaa kwa Shemeji yake na hapa kaagizwa akalete karanga mbichi na shemeji yake ili amshughulikie vilivyo dada ake.
Nirudi ktk Mada.
Kutuma tuma hela kipumbavu unamjenga Mwanamke wako kuwa Mpumbavu na Mtegemezi.
Mama ako au Baba ako uliwahi kumtumia hela bila kuomba mara kwa mara kama unavyowatumia hao Malaya?
Binafsi natuma hela ila yenye maelezo yanayoeleweka yaani hela nitatuma ila uje na hoja za msingi na si vinginevyo, unaweza kuomba laki 3 kama hoja yako ni nzito utatumiwa hata laki 5.
Aya umeshinda basiUsijali, tutakulipa ili ulinde.
Kila mtu analo linalomfurahisha kufanya..mtoa mada kwa hakika hana hiyana...Mtoa mada usikute anakaa kwa Shemeji yake na hapa kaagizwa akalete karanga mbichi na shemeji yake ili amshughulikie vilivyo dada ake.
Nirudi ktk Mada.
Kutuma tuma hela kipumbavu unamjenga Mwanamke wako kuwa Mpumbavu na Mtegemezi.
Mama ako au Baba ako uliwahi kumtumia hela bila kuomba mara kwa mara kama unavyowatumia hao Malaya?
Binafsi natuma hela ila yenye maelezo yanayoeleweka yaani hela nitatuma ila uje na hoja za msingi na si vinginevyo, unaweza kuomba laki 3 kama hoja yako ni nzito utatumiwa hata laki 5.
Kindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh baby nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Nitume kwenye namba ipi?Wewe toa uone kama utaishiwa😂
Hela ninayo ya kutosha kijana.Tafuta pesa bro acha makasiriko [emoji23][emoji23][emoji23]
Jambo gani tena? Mbona sikumbukii?Ila coca tuna jambo letu halijaisha bado ujue [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
😂😂😂Sio unafki ni mahaba 😂😂unafiki wa kiwango cha anga za mbali