Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Kindly refer to the heading above..


Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]

Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.

Au,

AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337

Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.

Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .

Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).

Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh baby nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k

Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.

Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.

N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Nimecheka 🤣🤣🤣
Ila naamini wanaume wa hivi wapo.
 
Utakapo kuta huo Mwamala ameutransfer kwa Bwana Wake kama ulivyo usianze kule nyuzi za masikitiko humu.

Ukiskia mwanume kamuua mwanamke au kumdhuru ni baada ya kufanya ujinga kama huu akiamini Mwanamke atampenda.

Hiyo miamala watumie malaya tu watakulamba hadi makalio.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna kipindi kila nikitoka ofisini Nampa yule receptionist elfu ishirini. Eebwanaee yule mmama naona kila akiniona kisimi kina pwita.
Halafu sikuwahi kumuomba utelezi.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ngoja waamke baada ya hangover ya jana kuisha [emoji28][emoji28]

Mnisaidie tu kujibu mashambulizi [emoji23][emoji23]
Utakuwa na sura nzito na ngumu sana ambayo haina kabisa ufanano na binadamu ndiyo maana unatumia pesa isivyo hitajika.

Wakati mie najilia k za bure kabisa za kila aina kumbe kuna watu mnataabika kiasi hiki kupata k?

Yaani watoto wazuri hawakauki kujipitisha na nilivyo mkware huwa sibakishi kitu lazima aliwe ili kulinda brand.

Badilika mkuu wanaume hatupo hivyo kikubwa tunatimiza wajibu wa haki kwa wake zetu na sio vinginevyo.
 
Huyu atafutiwe sehemu nzuri sana....tupande na maua kabisa, tutakua tunaenda kupiga selfie pale.😂

Sanamu la tina tutazungushia nyaya za umeme, wanaume wana hasira nae sana
Mkuu na wewe kabisa umeamini huyu ni mwanaume?

Huyu ni dada anayejifanya mwanaume ili awashawishi wanaume halisi wawe wanachezea hela pasipo sababu za msingi.

Pesa za wanaume halisi huwa ni kwa ajili ya maendeleo na kuwawekea watoto future njema sio vinginevyo.
 
Tupo mama [emoji28]

Halafu mbona umeadimika sana mtumishi?
Una mbinu dhaifu sana za kuwatongoza wadada mkuu.

Yaani huu uzi wako ni kama ulimbo ili wadada wapenda mtelezo waamini upo hivyo waje kwako halafu wakutane unaishi kwa shangazi yako na unagombania uporo wa wali maharage na watoto wa shangazi kwa kukosa hela ya vitafunwa.
 
Mkuu na wewe kabisa umeamini huyu ni mwanaume?

Huyu ni dada anayejifanya mwanaume ili awashawishi wanaume halisi wawe wanachezea hela pasipo sababu za msingi.

Pesa za wanaume halisi huwa ni kwa ajili ya maendeleo na kuwawekea watoto future njema sio vinginevyo.
Tafuta pesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una mbinu dhaifu sana za kuwatongoza wadada mkuu.

Yaani huu uzi wako ni kama ulimbo ili wadada wapenda mtelezo waamini upo hivyo waje kwako halafu wakutane unaishi kwa shangazi yako na unagombania uporo wa wali maharage na watoto wa shangazi kwa kukosa hela ya vitafunwa.
Tafuta hela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chai .. naona unataka attention tu humu ...
Hebu tuma screenshot ya hio miamala tuone ,
Attention kwa watu tusiofahamiana [emoji23][emoji23]

Tafuta pesa kijana, hutakuwa na haya makasiriko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom