Jifunze kumuacha aende

Jifunze kumuacha aende

Motivesheno spika bwana [emoji16][emoji16][emoji16]

Muziki wa kuachwa na mtu umpendaye kikweli usikie tu. Na wanasaikolojia wanashauri sana kufuata taratibu na kuupa muda nafasi yake ili uweze kuponyesha majeraha vinginevyo mtu unaweza kubakia na makovu ya kudumu. Mtu aliyeachwa anakuwa na mtafaruku ule ule wa kisaikolojia kama mtu aliyefiwa na ndugu wa karibu. Kote kunahitajika healing pole pole...japo inategemea mtu na mtu lakini usipojiangalia unaweza kujikuta unageuka katili usiyejali na usiyeamini mtu tena....Be careful please!
 
Hali hii inanitesa nilmpenda Sana na kwel akaonyesha interested ya kuwa na mm tulifurahia couple yetu for short moment but suddenly akaanza kutojibu sms,call kibaya zaid kanipiga block kote cjui nmemfanyia nn kibaya kpnz changu huyu,nilmnunulia infinix hot 8,nimemshonea nguo kila mtindo,nampa hela ya matumiz 20k up 40 per month but bado cjajua nmekosea wapi😭😭😭😭mapenzi yameondoa furaha ya moyo wangu naonekana naumwa kumbe n love disease
 
Hali hii inanitesa nilmpenda Sana na kwel akaonyesha interested ya kuwa na mm tulifurahia couple yetu for short moment but suddenly akaanza kutojibu sms,call kibaya zaid kanipiga block kote cjui nmemfanyia nn kibaya kpnz changu huyu,nilmnunulia infinix hot 8,nimemshonea nguo kila mtindo,nampa hela ya matumiz 20k up 40 per month but bado cjajua nmekosea wapi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mapenzi yameondoa furaha ya moyo wangu naonekana naumwa kumbe n love disease
Usihuzunike
Jifunze kutokana na makosa
usimuoneshe mwanamke kuwa unampenda sana na unamtegemea ni kosa

Piga kimya atakutafuta tu

na hata asipokutafuta sio mbaya move on
 
Hali hii inanitesa nilmpenda Sana na kwel akaonyesha interested ya kuwa na mm tulifurahia couple yetu for short moment but suddenly akaanza kutojibu sms,call kibaya zaid kanipiga block kote cjui nmemfanyia nn kibaya kpnz changu huyu,nilmnunulia infinix hot 8,nimemshonea nguo kila mtindo,nampa hela ya matumiz 20k up 40 per month but bado cjajua nmekosea wapi😭😭😭😭mapenzi yameondoa furaha ya moyo wangu naonekana naumwa kumbe n love disease

Anaitwa nani au jina lake linaanza na herufi gani?
 
Usihuzunike
Jifunze kutokana na makosa
usimuoneshe mwanamke kuwa unampenda sana na unamtegemea ni kosa

Piga kimya atakutafuta tu

na hata asipokutafuta sio mbaya move on
Daaaa na kwel nmemuonyesha nampenda na hilo amegundua,nateseka kwa ajili ya huyu binti kinachoniumiza Zaid vile alivyokuwa ananidatisha kwa mahaba mazito,naumia kila nkimkumbuka huyu dear wangu
 
Si kazi rahisi..ila itabidi tuwaache waende
 
Unafikiri haya watu hawayajui?

Mkuu yakikufika hapa, sijui inakuwagaje....

Kupenda upofu, mkuu...
 
Tatizo utakuta kuna mwanamke anakupenda na yuko tayari kufa juu yako lakini wewe hauna mapenzi naye kama akupendavyo. Utajitahidi kutompigia simu au kutomuona, utashangaa siku ya siku anakupigia simu anataka kujuwa uko wapi na unafanya nini, huku akikulaumu mbona haumtafuti. Mimi ilinikuta hii, kuna mdada alitaka nimgegede akidai ana miaka miwili hajasuguliwa, kwa huruma wangu nikampoza kwa kumpa raha ya mbinguni.

Cha kushangaza, yeye akawa anawaambia wenzake mtaani kuwa mimi ni mtu wake wakati si kweli, mimi sikuwa na sijawahi kumpenda yule demu hata kidogo na hatuendani hata kidogo. Hapa najuta kwanini nilimpa uroda yule mdada, yaani sina hata chembe moja ndani ya moyo wangu inayompenda yeye, nashangaa sasa hivi yuko anawaambia wenzake kuwa mimi mshenzi, mwanamke feki, sina issue. Kwenye Instagram yake aachi kubandika status za kijinga kuwa alimpenda mtu na kuchezewa, niligundua hili baada ya yeye mwenyewe kuniambia nicheki status yake.

Kuna wanawake wajinga sana, unapenda mtu asiyekupenda kweli kisha unajichanganya akili?
We Jamaa_Mbishi kweli ungemkubalia tu kua naye. [emoji41]
 
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

Muache aende!
• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

Muache aende!
• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

Muache aende!
• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

Muache aende!
• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

Muache aende!
• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

Muache aende!
• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...
Na unaamini hukumkosea basi usiumie sana Mungu yupo na ni niwakwetu sote razima tu alipe kwa alio yafanya ata kama ni lini
MUACHE AENDE!

Cha kujifunza

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

...Kusema Rahisi....
 
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

Muache aende!
• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

Muache aende!
• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

Muache aende!
• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

Muache aende!
• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

Muache aende!
• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

Muache aende!
• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...
Na unaamini hukumkosea basi usiumie sana Mungu yupo na ni niwakwetu sote razima tu alipe kwa alio yafanya ata kama ni lini
MUACHE AENDE!

Cha kujifunza

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

Exactly
 
Back
Top Bottom